< Третья книга Царств 11 >
1 И царь Соломон бе женолюбив, и поя жены чуждыя, и дщерь фараоню, Моавитяныни, Амманитяныни, и Аморреаныни,
Basi mfalme Sulemani aliwapenda wanawake wengi wa kigeni: binti wa Farao na wanawake wa Wamoabu, Waamori, Waedomu, Wasidoni, na Wahiti - Haya na
2 от язык, ихже отрече Господь сыном Израилевым: не входите в ня, и тии да не входят в вас, да не отвратят душ ваших вслед идол своих: к тем прилепися Соломон любити,
mataifa ambayo BWANA alikuwa amewaambia Waisraeli kwamba, “Msiwaoe, wala binti zenu kuolewa nao, kwani kwa hakika wataigeuza mioyo yenu ili mfuate miungu yao.” Lakini Sulemani aliwapenda wanawake hao.
3 и быша ему жен началных седмь сот, и подложниц триста.
Sulemani alikuwa na wanawake halali mia saba na masuria mia tatu. Wake zake waliugeuza moyo wake.
4 И бысть в время старости Соломони, и совратиша жены чуждия сердце его вслед богов иных, и не бе сердце его совершенно с Господем Богом его, якоже сердце Давида отца его,
Kwa kuwa Sulemani alipozeeka, wake zake waliugeuza moyo wake kwa miungu mingine; hakuutoa moyo wake wote kwa BWANA, Mungu wake, kama ulivyokuwa moyo wa Daudi baba yake.
5 и хождаше Соломон вслед Астарта мерзости Сидонския и вслед царя их, идола сынов Аммоних.
Kwani Sulemani alimfuata Ashtoreth, mungu mke wa Wasidoni, na alimfuata Milkom, ambayo ni sanamu chukizo ya Waamori.
6 И сотвори Соломон лукавое пред Господем: и не хождаше вслед Господа, якоже Давид отец его.
Sulemani akafanya maovu mbele ya BWANA; hakumfuata BWANA kwa moyo wake wote, kama alivyofanya Daudi baba yake.
7 Тогда созда Соломон высоко (капище) Хамосу, идолу Моавлю, и царю их, идолу сынов Аммоних, и Астарте, мерзости Сидонстей, на горе яже пред Иерусалимом:
Kisha Sulemani akajenga mahali pa juu pa Kemoshi, ambayo ni sanamu chukizo ya Wamoabu, mashariki mwa Yerusalemu juu ya kilima, na vivyo hivyo na Moleki, Sanamu chukizo ya Waamoni.
8 и тако сотвори всем женам своим чуждим, яже кадяху и жряху идолом своим.
Na kadhalika ndivyo alivyowafanyia wake zake wa kigeni, ambao walifukiza uvumba na kutoa sadaka kwa miungu yao.
9 И разгневася Господь на Соломона, яко уклони сердце свое от Господа Бога Израилева, и явльшагося ему дважды
BWANA alichukizwa na Sulemani, kwa sababu moyo wake ulikuwa umemwacha Mungu wa Israeli, ingawa alikuwa amejionyesha kwake mara mbili
10 и заповедавшаго ему дважды о словеси сем, весма не ходити ему вслед богов инех, но хранити и творити яже заповеда ему Господь Бог,
na kumwamuru juu ya mambo haya, kwamba asiwaendee miungu wengine. Bali Sulemani hakutii kile ambacho BWANA alikuwa amemwamuru.
11 и рече Господь к Соломону: понеже быша сия с тобою, и не сохранил еси заповедий Моих и повелений Моих, яже заповедах тебе, раздирая раздеру царство твое из руку твоею и дам е рабу твоему:
Kwa hiyo BWANA akamwambia Sulemani, “Kwa kuwa umeyafanya haya haukulishika agano langu na maagizo ambayo nilikuamuru, basi nitaugawa ufalme kutoka kwako na kuwapatia watumishi wako.
12 обаче во дни твоя не сотворю сих Давида ради отца твоего: от руки же сына твоего отиму е:
Hata hivyo, kwa ajili ya Daudi, sitalifanya hilo wakati wa uhai wako, bali nitaugawa wakati ukiwa chini ya mwanao.
13 токмо всего царства не возму, скипетр един дам сыну твоему Давида ради раба Моего и Иерусалима ради града, егоже избрах.
Bado sitaugawanya ufalme wote; Nitampa mwanao kabila moja kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu, na kwa ajili ya Yerusalemu, ambayo nimeichagua.”
14 И воздвиже Господь противника на Соломона Адера Идумеанина от семене царска во Идумеи.
Kisha BWANA akamwinulia uadui Sulemani, Hadadi Mwedomu. Alikuwa anatoka kwenye familiia ya mfalme wa Edomu.
15 И бысть егда искорени Давид Едома, егда иде Иоав воевода вой погребати побиенныя, изсече всяк мужеск пол во Идумеи:
Daudi alipokuwa Edomu, Yoabu mkuu wa jeshi alikuwa ameenda kuzika mfu, kila mtu aliyekuwa ameuawa kule Edomu.
16 яко шесть месяц седяше тамо Иоав и весь Израиль во Идумеи, дондеже изби всяк мужеск пол в Идумеи:
Yoabu na Israeli yote walibaki huko kwa miezi sita mpaka alipokuwa amewaua wanaume wote wa Edomu.
17 и избеже Адер сам и вси мужие Идумейстии от отроков отца его с ним, и внидоша во Египет: Адер же бяше отрочищь мал.
Lakini Hadadi alichulukuliwa na Waedomu wengine na watumishi wa baba yake hadi Misri, kuanzia Hadadi alipokuwa mtoto mdogo.
18 И восташа мужие из града Мадиамска, и приидоша в Фаран, и взяша мужей с собою и приидоша к фараону царю Египетскому. И вниде Адер к фараону, и даде ему (царь) дом, и пищу определи ему, и землю даде ему.
Waliondoka Midiani wakaja Parani, ambapo walichukuliwa na wanaume mpaka Misri, kwa Farao wa Misri, ambaye alimpa nyumba na ardhi yenye chakula.
19 И обрете Адер благодать пред очима фараонима зело, и даде ему в жену сестру жены своея, сестру Фекемины болшую.
Hadadi alipata neema kubwa machoni pa Farao, kwa hiyoFarao akampatia mke, umbu wa mke wake mwenyewe, umbu la Tapenesi aliyekuwa Malkia.
20 И роди ему сестра Фекемины Адеру Ганивафа сына своего, и воскорми его Фекемина посреде сынов фараоних, и бе Ганиваф посреде сынов фараоних.
Naye huyo umbu la Tapenesi alimzalia Hadadi mwana. Wakamwita jina lake Genubathi. Tapenesi akamlea katika ikulu ya Farao. Kwa hiyo Genubathi alikulia kwenye ikulu ya Farao pamoja na watoto wa Farao.
21 И Адер услыша бо Египте, яко успе Давид со отцы своими, и яко умре Иоав воевода воинству, и рече Адер к фараону: отпусти мя, да возвращуся в землю мою.
Naye alipokuwa huko Misri, Hadadi alisikia kuwa Daudi alishalala na mababu zake na kwamba Yoabu mkuu wa majeshi alishakufa, Hadadi akamwambia Farao, “Acha niondoke nirudi nchini kwangu.”
22 И рече фараон Адеру: чим ты не доволен еси у мене? И се, ты просишися отити в землю свою? И рече ему Адер: яко отпущая да отпустиши мя. И возвратися Адер в землю свою.
Lakini Farao alimwambia, “Umepungukiwa nini kwangu, kwamba sasa unatafuta kurudi nchini kwako?” Naye Hadadi akamjibu, “Hapana kitu lakini tafadhali niache niende.”
23 И воздвиже Господь противника Соломону Разона, сына Елиадаева, иже убеже от Ададезера царя Сувска, господина своего.
Pia Mungu akamwinulia Sulemani adui mwingine, Rezoni mwana wa Eliada, aliyekuwa amemkimbia bwana wake Hadadezeri mfalme wa Soba.
24 И собрашася к нему мужие, и бе воевода полка мятежнаго, егда убиваше я Давид: и идоша в Дамаск, и седоша в нем, и воцаришася в Дамасце.
Rezoni alijikusanyia wanaume naye akawa mkuu wa jeshi dogo, Daudi ali owapiga wanaume wa Soba. Wale wanume Rezoni walienda Dameski kuishi huko, na Rezoni aliitawala Dameski.
25 И бе стужая Израилеви во вся дни Соломони: сия злоба Адера: и отягчи Израиля и воцарися в земли Едомстей.
Yeye akawa adui wa Israeli katika siku zote za mfalme Sulemani, zaidi ya madhara ambayo Hadadi alisababisha. Rezoni akawachukia Israeli na akawa juu ya Shamu
26 И Иеровоам сын Наватов, Ефрафянин от Сариры, сын жены вдовицы, раб Соломонов, и воздвиже руце на царя Соломона.
Kisha Yeroboamu mwana wa Nebati, mwefraimu wa Sereda, akida wa Sulemani, ambaye jina la mama yake lilikuwa Serua, mjane, pia akainua mkono wake dhidi ya mfalme.
27 И сия вина, яко воздвиже руце на царя Соломона: царь Соломон созидаше Краеградие и ограждаше стеною град Давида отца своего:
Kisa cha kuinua mkono wake kinyume cha mfalme ilikuwa ni mfalme Sulemani kujenga Milo na kufunga mahali palipobomoka katika mji wa Daudi baba yake.
28 Иеровоам же человек крепок силою. И виде Соломон отрока, яко муж дел есть, и постави его над бременами дому Иосифова.
Yeroboamu alikuwa mtu hodari na shujaa. Sulemani akaona kuwa huyo kijana alikuwa na bidii, kwa hiyo akampa kuwa na mamlaka juu ya wafanyakazi katika nyumba ya Yusufu.
29 И бысть во время оно, и Иеровоам изыде из Иерусалима, и обрете его Ахиа Силонитянин пророк на пути, и соврати его с пути: и бе Ахиа облечен в ризу нову: и (беста) оба едины на поли.
Wakati huo, Yeroboamu alipokuwa akitoka katika Yerusalemu, nabii Ahiya Mshilo akamkuta barabarani. Sasa Ahiya alikuwa amevaa vazi jipya na kwamba hawa wawili walikuwa pekee yao kondeni.
30 И взя Ахиа за ризу свою новую, яже бе на нем, и раздра ю на дванадесять жребий,
Kisha Ahiya akalishika lile vazi jipya ambalo alikuwa nalo na akalichana katika vipande kumi na viwili.
31 и рече Иеровоаму: приими себе десять жребий, яко тако глаголет Господь Бог Израилев: се, Аз отторгаю царство из руки Соломони, и дам ти хоругвий десять:
Akamwambia Yeroboamu. “Chukua vipande kumi, kwani BWANA, Mungu wa Israeli, anasema, 'Tazama, Nitaugawa ufalme toka katika mkono wa Sulemani nami nitakupa makabila kumi.
32 и две хоругви будут ему, раба ради Моего Давида и Иерусалима ради града, егоже избрах Себе от всех колен Израилевых,
(lakini Sulemani atabaki na kabila moja, kwa ajili ya mtumishi wangu Daudi na kwa ajili ya mji wangu Yerusalemu - mji ambao nimeuchagua toka kwenye kabila zote za Israeli),
33 занеже остави Мя и поклонися Астарте мерзости Сидонстей и Хамосу и кумиром Моавлим и царю их претыканию сынов Аммоних, и не пойде по путем Моим, еже творити угодная предо Мною, якоже Давид отец его:
kwa kuwa ameniacha na kumwabudu Ashtorethi mungu mke wa Wasidoni, Kemoshi Mungu wa Wamoabu, na Milikomu mungu wa watu wa Amoni. Wameziacha njia zangu, hawakufanya kilicho chema katika macho yangu, wala hawa kuzishika amri na maagizo yangu, kama alivyofanya Daudi baba yake.
34 и не отиму царства всего от руку его, понеже защищая защищу его во вся дни живота его, Давида ради раба Моего, егоже избрах, иже сохрани заповеди Моя и оправдания:
Hata hivyo. Stauchukua ufalme wote toka kwenye mkono wa Sulemani. Badala yake, nimemfanya kuwa mtawala katika siku zake zote za uhai wake, kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu ambaye nilimchagua, mtu ambaye alizishika amri na maagizo yangu.
35 и отиму царство от руки сына его, и дам ти десять хоругвий,
Bali nitauchukua ufalme ukiwa chini ya mkono wa mwanae na nitakupa wewe, makabila kumi.
36 сыну же его дам две хоругви, яко да будет престол рабу Моему Давиду во вся дни предо Мною во Иерусалиме граде, егоже избрах Себе на положение имени Моему тамо:
Nitampa kabila moja mwana wa Sulemani ili kwamba Daudi mtumishi wagu atabaki kuwa nuru mbele yangu huko Yerusalemu, mji ambao nimeuchagua ili niweke jina langu.
37 и прииму тя, и воцаришися, в нихже желает душа твоя, и ты будеши царь над Израилем:
Nami nitakuchukua, nawe utatawala ili kutimiza haja yako, nawe utakuwa mfalme juu ya Israeli.
38 и будет аще сохраниши вся, елика заповедаю ти, и пойдеши по путем Моим, и сотвориши угодная предо Мною, хранити заповеди Моя и повеления Моя, якоже сотвори Давид раб Мой, и буду с тобою, и созижду ти дом верен, якоже создах Давиду, и дам ти Израиля:
Kama utasikiliza yote ninayokuagaza, na kama utatembea katika njia zangu na kufanya kinachopendeza mbele ya macho yangu, ukayashika maagizo na amri zangu, kama Daudi mtumishi wangu alivyofanya, ndipo nitakapokuwa na wewe na nitakujengea nyumba ya uhakika, kama niliyomjengea Daudi, nami nitakupa Israeli.
39 и озлоблю род Давидов за сия, но не во вся дни.
Nitawaadhibu uzao wa Daudi, lakini si milele.”
40 И искаше Соломон убити Иеровоама. И воста Иеровоам, и убежа во Египет к Сусакиму царю Египетску, и бе во Египте, дондеже Соломон умре.
Kwa hiyo Sulemani akajaribu kumwua Yeroboamu. Lakini Yeroboamu akaamka na kukimbilia Misri, Kwa Shishaki mfalme wa Misri, naye akabaki Misri mpaka Sulemani alipokufa.
41 И прочая словес Соломоних, и вся елика сотвори, и весь смысл его, не се ли, сия писана быша в книзе словес Соломоних?
Na kwa mambo mengine yanayomhusu Sulemani, Yote ambayo alifanya na hekima zake, je, hayakuandikwa katika kitabu cha matukio ya
42 И дние, в няже царствова Соломон во Иерусалиме над всем Израилем, четыредесять лет.
Sulemani? Sulemani alitawala Yerusalemu juu ya Israeli yote kwa miaka arobaini.
43 И успе Соломон со отцы своими: и погребоша его во граде Давида отца его, и воцарися Ровоам сын его вместо его.
Naye akalala na mababu zake na alizikwa katika mji wa Daudi baba yake. Rehoboamu mwanae akawa mfalme mahali pake.