< Первая книга Паралипоменон 3 >
1 Сии же быша сынове Давидовы, иже родишася ему в Хевроне: перворожденный Амнон от Ахинаамы Иезраилитиды: вторый Далуиа от Авигеи Кармилския:
Sasa hawa ndio wana wa Daudi waliozaliwa kwake huko Hebroni: mzaliwa wa kwanza alikuwa Amnoni, kwa Ahinoamu kutoka Yezreeli; wa pili alikuwa Danieli, kwa Abigaili kutoka Karmeli;
2 третий Авессалом сын Маахи, дщере Фоломиа царя Гесурска: четвертый Адониа сын Аггифин:
watatu alikuwa Absalomu, ambaye mama yake alikuwa ni Maaka, binti wa Talmai mfalme wa Geshuri. Wanne alikuwa ni Adoniya mwana wa Hagithi;
3 пятый Сафатиа от Авиталы: шестый Иефраам от Аглаи жены его:
watano alikuwa ni Shefatia kwa Abitali, wasita alikuwa ni Ithraeamu kwa Egla mkewe.
4 шесть родишася ему в Хевроне, идеже царствова седмь лет и шесть месяц: и тридесять три лета царствова во Иерусалиме.
Hawa sita walizaliwa kwa Daudi huko Hebroni, alipo tawala miaka saba na miezi sita. Kisha akatawala miaka thelathini na mitatu huko Yerusalemu.
5 И сии родишася ему во Иерусалиме: Самаа и Совав, и Нафан и Соломон, четыри от Вирсавии дщере Амииловы:
Hawa wana wa nne, kwa Bathshua binti wa Amieli, walizaliwa kwake huko Yerusalemu: Shamua, Nathani, na Sulemani.
6 и Евар и Елисама, и Елифалет
Wana tisa wengine wa Daudi walikuwa ni: Ibhari, Elishua, Elipeleti,
7 и Нагис, и Нафек и Иафие,
Noga, Nefegi, Yafia,
8 и Елисама и Елиадак и Елифалет, девять.
Elishama, na Elifeleti.
9 Вси сынове Давидова кроме сынов подложничих и Фамары сестры их.
Hawa walikuwa wana wa Daudi, pasipo kuwehesababu wana wa masuria wake. Tamari alikuwa dada yao.
10 Сынове же Соломони: Ровоам, Авиа сын его, Аса сын его, Иосафат сын его,
Mwana wa Sulemani alikuwa ni Rehoboamu. Mwana wa Rehoboamu alikuwa Abiya. Mwana wa Abiya alikuwa Asa. Mwana wa Asa alikuwa Yehoshafati.
11 Иорам сын его, Охозиа сын его, Иоас сын его,
Mwana wa Yehoshafati alikuwa Yoramu. Mwana wa Yoramu alikuwa Ahazia. Mwana wa Ahazia alikuwa Yoashi.
12 Амасиа сын его, Озиа сын его, Иоафам сын его,
Mwana wa Yoashi alikuwa Amazia. Mwana wa Amazia alikuwa Azaria. Mwana wa Azaria alikuwa Yothamu.
13 Ахаз сын его, Езекиа сын его, Манассиа сын его,
Mwana wa Yothamu alikuwa Ahazi. Mwana wa Ahazi alikuwa Hezekia. Mwana wa Hezekia alikuwa Manase.
14 Амон сын его, Иосиа сын его.
Mwana wa Manase alikuwa Amoni. Mwana wa Amoni alikuwa Yosia.
15 Сынове же Иосиины: первенец Иоахаз, вторый Иоаким, третий Седекиа, четвертый Селлум.
Wana wa Yosia aliyekuwa mzaliwa wake wa kwanza ni Yohana, wapili Yehoyakimu, mwanae watatu Sedekia, na mwanae wanne Shalumu.
16 Сынове же Иоакимовы: Иехониа сын его, Седекиа сын его.
Wana wa Yehoyakimu walikuwa Yehoyakini na Sedekia.
17 Сынове же Иехониины: Асир, Салафииль сын его,
Wana wa YehoYakini, mateka, walikuwa Shealtieli,
18 Мелхирам, Фадаиа и Анесар, и Иезекиа и Осамон и Савадиа.
Malkiramu, Pedaya, Shenezari, Yekamia, Hoshama, na Nedabia.
19 Сынове же Салафиилевы: Зоровавель и Семей. Сынове же Зоровавелевы: Мосоллам и Ананиа, и Салимин сестра их,
Wana wa Pedaya walikuwa Zerubabeli na Shimei. Wana wa Zerubabeli walikuwa Meshulamu na Hanania; Shelomithi alikuwa dada yao.
20 и Асувеа и Оел, и Варахиа и Асадиа и Асовед, пять.
Wanae watano walikuwa Hashuba, Oheli, Berekia, Hasadia, na Yushabu Hesedi.
21 Сынове же Ананиины: Фалтиас, и Иесиа сын его, Рафал сын его, Орна сын его, Авдиа сын его, Сехениа сын его,
Wana wa Hanania walikuwa Pelatia na Yeshaya. Mwanawe alikuwa Refaya, na uzao wake zaidi walikuwa ni Arnani, Obadia, na Shekania.
22 и сын Сехениин Самеа. И сынове Самеины: Хаттус и Иоил, и Верриа и Ноадиа и Саф, шесть.
Mwana wa Shekania alikuwa Shemaya. Wana wa Shemaya walikuwa Hatushi, Igali, Baria, Nearia, na Shafati.
23 И сынове Ноадиины: Елионей и Езекиа и Езрикам, трие.
Wana watatu wa Nearia walikuwa Elioenai, Hizekia, na Azrikamu.
24 Сынове Елионеевы: Уадиа и Елиасевон, и Фадаиа и Акаум, и Иоанан и Далеа и Анан, седмь.
Wana saba wa Elioenai walikuwa Hodavia, Eliashibu, Pelaya, Akubu, Yohana, Delaya, na Anani.