< Mapisarema 114 >
1 Israeri akati abuda muIjipiti, imba yaJakobho ichibva kurudzi runo mutauro wokumwe,
Wakati Israeli walipotoka Misri, nyumba ya Yakobo kutoka kwa watu wa lugha ngeni,
2 Judha akava imba tsvene yaMwari, Israeri ushe hwake.
Yuda alifanywa makao matakatifu ya Mungu, Israeli akawa milki yake.
3 Gungwa rakazviona rikatiza, Jorodhani rwakadzokera shure;
Bahari ilitazama ikakimbia, Yordani ulirudi nyuma,
4 makomo akakwakuka samakondobwe, zvikomo samakwayana.
milima ilirukaruka kama kondoo dume, vilima kama wana-kondoo.
5 Haiwa gungwa, wakatizeiko, iwe Jorodhani zvawakadzokera shure,
Ee bahari, ni nini kilichokufanya ukakimbia, nawe, ee Yordani, ukarudi nyuma,
6 imi makomo zvamakakwakuka samakondobwe, nemi zvikomo, samakwayana?
enyi milima mkarukaruka kama kondoo dume, enyi vilima, kama wana-kondoo?
7 Dedera, iwe nyika pamberi paShe, pamberi paMwari waJakobho,
Ee dunia, tetemeka mbele za Bwana, mbele za Mungu wa Yakobo,
8 akashandura dombo rikava dziva, dombo rakaoma rikava matsime emvura.
aliyegeuza mwamba kuwa dimbwi la maji, mwamba mgumu kuwa chemchemi za maji.