< Numeri 33 >
1 Hezvino zvinhanho zvorwendo rwavaIsraeri pavakabuda muIjipiti namapoka avo vachitungamirirwa naMozisi naAroni.
Hizi ndizo safari za wana wa Israeli hapo walipotoka katika nchi ya Misri pamoja na makundi yao ya kijeshi chini ya uongozi wa Musa na Haruni.
2 Mozisi akanyora zvinhanho zvorwendo rwavo. Urwu ndirwo rwendo rwavo nezvinhanho zvarwo:
Musa aliandika maeneo yote tangu walipoondoka mpaka walipofika, kama alivyoamuriwa na BWANA. Hizi ndizo safari zao kama kutoka kwao kulivyokuwa kwa kila walipotoka.
3 VaIsraeri vakasimuka kubva paRamesesi nezuva regumi namashanu romwedzi wokutanga, zuva rakatevera Pasika. Vakafamba vakabuda vasingatyi pamberi pavaIjipita vose,
Mwezi wa kwanza walisafiri kutoka Ramesi, waliondoka siku ya kumi na tano. Asubuhi siku iliyofuata baada ya Pasaka, Wana wa Israeli waliondoka wazi wazi, mbele ya machoya Wamisri wote.
4 avo vakanga vachiviga matangwe avo ose, akanga aurayiwa naJehovha pakati pavo; nokuti Jehovha akanga atonga vamwari vavo.
Hii ilitokea wakati Wamisiri walipokuwa wakizika wazaliwa wao wa kwanza, ambao BWANA alikuwa amewaua miongoni mwao, kwa kuwa pia alikuwa ameiadhibu miungu yao.
5 VaIsraeri vakabva paRamesesi vakandodzika misasa yavo paSukoti.
Wana wa Israeli walisafiri kutoka Ramesi na kuweka kambi
6 Vakabva paSukoti vakandodzika misasa yavo paEtamu, mujinga megwenga.
Sukothi. Walisafiri toka Sukothi na kuweka kambi Ethamu, mwisho wa nyika.
7 Vakabva paEtamu, vakadzokera shure kuPi Hahiroti, nechokumabvazuva kweBhaari Zefoni, vakandodzika misasa yavo pedyo neMigidhori.
Wakasafiri kutoka Ethamu wakarudi mpaka Pi-Hahirothi, ambayo inaikabili Baali Zephoni, ambapo waliweka kambi kuikabili Migidoli
8 Vakabva paPi Hahiroti vakapinda nomugungwa vakaenda murenje, uye vakati vafamba mazuva matatu murenje reEtami, vakadzika misasa paMara.
Kisha wakasafiri toka mkabala wa Pi-Hairothi na kupita katikati ya bahari kuelekea nyikani. Wakasafiri safari ya siku tatu katika nyika ya Ethamu na kuweka kambi Mara.
9 Vakabva paMara vakaenda kuErimu, pakanga pane matsime gumi namaviri nemiti yemichindwe makumi manomwe, uye vakadzika misasa ipapo.
Wakasafiri kutoka Mara kufika Elimu. Pale Elimu kulikuwa na chemichemi kumi na mbili za maji na miti sabini ya mitende. hapo ndipo walipoweka kambi.
10 Vakabva paErimu vakandodzika misasa paGungwa Dzvuku.
Walisafiri kutoka Elimu na kuweka kambi karibu na Bahari ya Shamu.
11 Vakabva paGungwa Dzvuku vakandodzika misasa muGwenga reSini.
Walisafiri kutoka Bahari ya Shamu na kuweka kambi katika nyika ya Sini.
12 Vakabva muGwenga reSini vakandodzika misasa paDhofika.
Walisafiri kutoka nyika ya Sini na kuweka kambi Dofka.
13 Vakabva paDhofika vakandodzika misasa paArushi.
Wakasafiri kutoka Dofka na kuweka kambi Alushi.
14 Vakabva paArushi vakandodzika misasa paRefidhimu, apo pakanga pasina mvura yokuti vanhu vanwe.
Wakasafiri kutoka Alushi na kuweka kambi Refidimu, ambapo watu walikosa maji ya kunywa.
15 Vakabva paRefidhimu vakandodzika misasa muGwenga reSinai.
Walisafiri kutoka Refidimu na kuweka kambi kwenye nyika ya Sinai.
16 Vakabva muGwenga reSinai vakandodzika misasa paKibhuroti Hataavha.
Walisafiri kutoka nyika ya Sinai na kuweka kambi Kibrothi Hataava.
17 Vakabva paKibhuroti Hataavha vakandodzika misasa paHazeroti.
Walisafiri kutoka Kibrothi Hataava na kuweka kambi Hazerothi.
18 Vakabva paHazeroti vakandodzika misasa paRitima.
Walisafiri kutoka Hazerothi na kuweka kambi Rithima.
19 Vakabva paRitima vakandodzika misasa paRimoni Perezi.
Walisafiri kutoka Rithima na kuweka kambi Rimoni Perezi.
20 Vakabva paRimoni Perezi vakandodzika misasa paRibhina.
Walisafiri kutoka Rimoni Perezi na kuweka kambi Libna.
21 Vakabva paRibhina vakandodzika misasa paRisa.
Walisafiri kutoka Libna na kuweka kambi Risa.
22 Vakabva paRisa vakandodzika misasa paKeherata.
Walisafiri kutoka Risa na kuweka kambi Kehelatha.
23 Vakabva paKeherata vakandodzika misasa paGomo reSheferi.
Walisafiri kutoka Kehelatha na kuweka kambi kwenye Mlima Sheferi.
24 Vakabva paGomo reSheferi vakandodzika misasa paHaradha.
Walisafiri kutoka Mlima Sheferi na kuweka kambi Harada.
25 Vakabva paHaradha vakandodzika misasa paMakeroti.
Walisafiri kutoka Harada na kuweka kambi Makelothi.
26 Vakabva paMakeroti vakandodzika misasa paTahati.
Walisafiri kutoka Makelothi na kuweka kambi Tahathi.
27 Vakabva paTahati vakandodzika misasa paTera.
Walisafiri kutoka Ttahalathi na kuweka kambi Tera.
28 Vakabva paTera vakandodzika misasa paMitika.
Walisafiri kutokaTera na kuweka kambi Mithika.
29 Vakabva paMitika vakandodzika misasa paHashimona.
Walisafiri kutoka Mithika na kuweka kambi Hashimona.
30 Vakabva paHashimona vakandodzika misasa paMoseroti.
Walisafiri kutoka Hashimona na kuweka kambi Moserothi.
31 Vakabva paMoseroti vakandodzika misasa paBhene Jaakani.
Walisafiri kutoka Moserothi na kuweka kambi Bene Jaakani.
32 Vakabva paBhene Jaakani vakandodzika misasa paHori Hagidhigadhi.
Walisafiri kutoka Bene Jaakani na kuweka kambi Hori Hagidigadi.
33 Vakabva paHori Hagidhigadhi vakandodzika misasa paJotibhata.
Walisafiri kutoka Hori Hagidigadi na kuweka kambi Jotibatha.
34 Vakabva paJotibhata vakandodzika misasa paAbhurona.
Walisafiri kutoka Jotibatha na kuweka kambi Abrona.
35 Vakabva paAbhurona vakandodzika misasa paEzioni Gebheri.
Walisafiri kutoka Abrona na kuweka kambi Ezioni Geberi.
36 Vakabva paEzioni Gebheri vakandodzika misasa paKadheshi, murenje reZini.
Walisafiri toka Ezioini Geberi na kuweka kambi katika nyika ya Sini kule Kadeshi.
37 Vakabva paKadheshi vakandodzika misasa paGomo reHori, kumuganhu weEdhomu.
Walisafiri kutoka Kadeshi na kuweka kambi Mlima Hori, Pembezoni mwa nchi ya Edomu.
38 Aroni muprista akakwira muGomo reHori sezvakarayirwa naJehovha, akandofira imomo pazuva rokutanga romwedzi wechishanu wegore ramakumi mana shure kwokubuda kwavaIsraeri muIjipiti.
Hapo ndipo Haruni kuhani alipoenda kwenye Mlima Hori kwa amri ya BWANA na kufa kule mwaka wa arobaini bada ya Wisraeli kutoka katika nchi ya Misri, katika siku ya kwanza ya mwezi wa tano.
39 Aroni akanga ava namakore zana namakumi maviri namatatu pakufa kwake paGomo reHori.
Haruni alikuwa na umri wa mika 123 alipokufa pale juu ya Mlima Hori.
40 Mambo weAradhi muKenani, aigara kuNegevhi kweKenani, akanzwa kuti vaIsraeri vari kuuya.
Wakanaani, mfalme wa Aradi, ambao waliishi kusini mwa nyika katika nchi ya Kanaani, walisikia juu ya ujio wa wana wa Israeli.
41 Vakabva kuGomo reHori vakandodzika misasa paZarimona.
Walisafiri kutika Mlima Hori n a kuweka kambi Zalimona.
42 Vakabva paZarimona vakandodzika misasa paPunoni.
Walisafiri kutoka Zalimona na kuweka kambi Punoni.
43 Vakabva paPunoni vakandodzika misasa paObhoti.
Walisafiri kutoka Punoni na kuweka kambi Obothi.
44 Vakabva paObhoti vakandodzika misasa paIye Abharimi, pamuganhu weMoabhu.
Walisafiri kutoka Obothi na kuweka kambi Abarimu, katika mpaka wa Moabu.
45 Vakabva paIyimi vakandodzika misasa paDhibhoni Gadhi.
Walisafiri kutoka Abarimu na kuweka kambi Diboni Gadi.
46 Vakabva paDhibhoni Gadhi vakandodzika misasa paArimoni Dhibhurataimi.
Walisafiri kutoka Diboni Gadi na kuweka kambi Alimoni Diblathaimu.
47 Vakabva paArimoni Dhibhurataimi vakandodzika misasa mumakomo eAbharimi, pedyo neNebho.
Walisafiri kutoka Alimoni Diblathaimu na kuweka kambi kwenye milima ya Abarimu mkabala na Nebo.
48 Vakabva pamakomo eAbharimi vakandodzika misasa pamapani eMoabhu pedyo neJorodhani uchibva kuJeriko.
Walisafiri kutoka mlima wa Abarimuna kuweka kambi kwenye nyanda za Moabu karibu na Yorodani huko Yeriko.
49 Pamapani eMoabhu ipapo vakadzika misasa vakatevedza Jorodhani kubva kuBheti Jeshimoti kusvikira kuAbheri Shitimu.
Waliweka kambi karibu na Yorodani, kutoka Bethi Jeshimothi mpaka Abeli Shitimu katika nyanda za Moabu.
50 Pamapani eMoabhu pedyo neJorodhani uchibva kuJeriko, Jehovha akati kuna Mozisi,
Hapo BWANA alinenana Musa katika nyanda za Moabu karibu na Yorodani kule Yeriko akasema,
51 “Taura kuvaIsraeri uti kwavari: ‘Kana mayambuka Jorodhani mapinda muKenani,
“Nena na wana wa Israeli uwaambie. 'Mtakapovuka mto Yorodani kuingia Kanaani,
52 mudzinge vose vanogara munyika imomo pamberi penyu. Muparadze zvifananidzo zvavo zvose zvakavezwa nezvifananidzo zvavo zvakaumbwa, uye muputse nzvimbo dzose dzakakwirira.
ndipo mtakapowafukuza wenyeji wote mbele yenu. Mtaziharibu sanamu zote za kuchongwa. Mtaziharibu sanamu zao za kusubu na kuharibu mahali pao pote palipoinuka.
53 Mutore nyika iyo mugaremo, nokuti ndakupai nyika iyi kuti ive yenyu.
Mtachukua hiyo ardhi iwe mali yenu na muishi ndani yake, kwa sababu nimewapeni hiyo nchi iwe mali yenu.
54 Mugovere nyika nomujenya, maererano nemhuri dzenyu. Mupe vakawanda nhaka huru, uye vashoma muvapewo nhaka duku. Zvose zvichawira kwavari nomujenya zvinofanira kuva zvavo. Muigove zviri maererano namarudzi amadzitateguru enyu.
Mtairithi hiyo nchi kwa kupiga kura, kwa kufuata kila ukoo. Kwa zile koo kubwa kubwa mtawapa sehemu kubwa ya ardhi, na kwa zile koo ndogo ndogo mtawapa sehemu ndogo ya ardhi. Kura itakapoanguka kwenye kila ukoo, hiyo ardhi itakuwa mali yake. Mtairithi ardhi kufuata ukoo wa kabilla la jamaa zenu.
55 “‘Asi kana mukasadzinga vagere munyika iyi, vamunotendera kusara ivavo vachava rukato pamberi penyu neminzwa pamativi enyu. Vachakutambudzai munyika mamugere.
Lakini kama hamtawafukuza wenyeji wa nchi hiyo watoke mbele yenu, ndipo wale watu mtakaowaruhusu wakae nanyi watakapokuwa kama sindano machoni mwenu na miiba katika mbavu zenu. Watayafanya maisha yenu yawe magumu katika nchi mnayoishi.
56 Ipapo ndichakuitirai imi zvandakaronga kuvaitira ivo.’”
Ndipo itakapotokea kuwa kile ambacho Mimi ninakusudia kufanya kwa wale watu, Nitawafanyia pia ninyi'”