< 1 Makoronike 1 >
2 Kenani, Maharareri, Jaredhi,
Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
3 Inoki, Metusera, Rameki, Noa.
Henoko, Methusela, Lameki.
4 Vanakomana vaNoa vaiva: Shemu, Hamu, naJafeti.
Wana wa Nuhu walikuwa ni Shemu, Hamu, na Yafethi.
5 Vanakomana vaJafeti vaiva: Gomeri, Magogi, Madhai, Javhani, Tubhari, Mesheki naTirasi.
Wana wa Yafethi walikuwa ni Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki, na Tirasi.
6 Vanakomana vaGomeri vaiva: Ashikenazi, Rifati naTogarima.
Wana wa Gomeri walikuwa Ashkenazi, Rifathi na Togama.
7 Vanakomana vaJavhani vaiva: Erisha, Tashishi, Kitimi naRodhanimi.
Wana wa Yavani walikuwa ni Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Warodani.
8 Vanakomana vaHamu vaiva: Kushi, Miziraimi, Puti naKenani.
Wana wa Hamu walikuwa ni Kushi, Misri, Putu, na Kanaani.
9 Vanakomana vaKushi vaiva: Sebha, Havhira, Sabata, Raama naSabhiteka. Vanakomana vaRaama vaiva: Shebha naDedhani.
Wana wa Kushi walikuwa ni Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa ni Sheba na Dedani.
10 Kushi aiva baba vaNimurodhi; uyo akakura akava murwi mukuru panyika.
Kushi akawa baba wa Nimrodi, aliyekuwa shujaa wa Kwanza katika dunia.
11 Miziraimi aiva baba vavaRudhi, vaAnami, vaRehabhi, vaNafutuhi,
Misri akawa babu wa Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
12 vaPatiri, vaKasiruhi (umo makazobvawo vaFiristia) navaKafitori.
Wapathrusi, Wakasluhi (Wafilisti walipotoka), na Wakaftori.
13 Kenani aiva baba vaSidhoni dangwe rake, nevaHiti,
Kanaani akawa baba wa Sidoni, mwanae wa kwanza, na wa Hethi.
14 vaJebhusi vaAmori, vaGirigashi,
Pia akawa babu wa Myebusi, Mwamori, Mgirgashi,
15 vaHivhi, vaAriki, vaSini,
Mhivi, Mwarki, Msini,
16 vaArivhadhi, vaZemari nevaHamati.
Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi.
17 Vanakomana vaShemu vaiva: Eramu, Ashua, Arifakisadhi, Rudhi naAramu. Vanakomana vaAramu vaiva: Uzi, Huri, Geteri naMesheki.
Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi, Aramu, Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
18 Arifakisadhi aiva baba vaShera, uye Shera aiva baba vaEbheri.
Arfaksadi akawa baba wa Sala, na Sala akawa baba wa Eberi.
19 Vanakomana vaviri vakaberekerwa Ebheri: mumwe ainzi Peregi, nokuti panguva yake nyika yakanga yakakamurana; mununʼuna wake ainzi Jokitani.
Eberi alikuwa na wana wawili wa kiume. Jina la wa kwanza lilikuwa Pelegi, kwa kuwa katika siku zake dunia ilikuwa imegawanyika. Jina la kaka yake lilikuwa Yoktani.
20 Jokitani aiva baba vaArimodhadhi, Sherefi, Hazarimavheti, Jera,
Yoktani akawa baba wa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
21 Hadhoramu, Uzari, Dhikira,
Hadoramu, Uzali, Dikla,
22 Obhari, Abhimaeri, Shebha,
Obali, Abimaeli, Sheba,
23 Ofiri, Havhira naJobhabhi. Ava vose vaiva vanakomana vaJokitani.
Ofiri, Havila, na Yobabu; wote hawa walikuwa uzao wa Yoktani.
24 Shemu, Arifakisadhi, Shera,
Shemu, Arfaksadi, Sala,
27 naAbhurama (iye Abhurahama).
Abramu, aliye kuwa Ibrahimu.
28 Vanakomana vaAbhurahama vaiva: Isaka naIshumaeri.
Wana wa Ibrahimu walikuwa Isaka na Ishmaeli.
29 Izvi ndizvo zvaiva zvizvarwa zvavo: Nebhayoti dangwe raIshumaeri, Kedhari, Adhibheeri, Mibhisami,
Hawa ndio wanao: mzaliwa wa kwanza alikuwa ni Nebayothi, kisha Kedari, Abdeeli, Mibsamu,
30 Mishima, Dhuma, Masa, Hadhadhi, Tema,
Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
31 Jeturi, Nafishi, naKedhema. Ava ndivo vaiva vanakomana vaIshumaeri.
Yeturi, Nafishi, na Kedama. Hawa ndio wana wa Ishamaeli.
32 Vanakomana vakaberekwa naKetura, murongo waAbhurahama vaiva: Zimirani, Jokishani, Medhani, Midhiani, Ishibhaki naShua. Vanakomana vaJokishani vaiva: Shebha naDhedhani.
Wana wa Ketura, suria wa Ibrahimu, walikuwa Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki, na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa Sheba na Dedani.
33 Vanakomana vaMidhiani vaiva: Efa, Eferi, Hanoki, Abhidha naEridha. Ava vose vaiva zvizvarwa zvaKetura.
Wana wa Midiani walikuwa Efa, Eferi, Hanoki, Abida, na Eldaa. Wote hawa walikuwa uzaowa Ketura.
34 Abhurahama aiva baba vaIsaka. Vanakomana vaIsaka vaiva: Esau naIsraeri.
Ibrahimu akawa baba wa Isaka. Wana wa Isaka walikuwa Esau na Israeli.
35 Vanakomana vaEsau vaiva: Erifazi, Reueri, Jeushi, Jaramu, naKora.
Wana wa Esau walikuwa ni Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu, na Kora.
36 Vana vaErifazi vaiva: Temani, Omari, Zefo, Gatami, naKenazi; naTimina, vakabereka Amareki.
Wana wa Elifazi walikuwa ni Temani, Omari, Sefo, Gatamu, Kenazi, Timna, na Amaleki.
37 Vanakomana vaReueri vaiva: Nahati, Zera, Shama naMiza.
Wana wa Reueli walikuwa ni Nahathi, Zera, Shama, na Miza.
38 Vanakomana vaSeiri vaiva: Rotani, Shobhari, Zibheoni, Ana, Dhishoni, Ezeri naDhishani.
Wana wa Seiri walikuwa ni Lotani, Shobali, Sebioni, Ana, Dishoni, Eseri, na Dishani.
39 Vanakomana vaRotani vaiva: Hori naHomami, Timina aiva hanzvadzi yaRotani.
Wana wa Lotani walikuwa ni Hori na Hemamu, na Timna alikuwa dada yake Lotani.
40 Vanakomana vaShobhari vaiva: Arivhani, Manahati, Ebhari, Shefo naOnami. Vanakomana vaZibheoni vaiva: Aya naAna.
Wana wa Shobali walikuwa ni Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo, na Onamu. Wana wa Sebeoni walikuwa ni Aya na Ana.
41 Mwanakomana waAna ainzi Dhishoni. Vanakomana vaDhishoni vaiva: Hemidhani, Eshibhani, Itirani naKerani.
Mwana wa Ana alikuwa ni Dishoni. Wana wa Dishoni walikuwa Hemdani, Eshbani, Ithrani, na Kerani.
42 Vanakomana vaEzeri vaiva: Bhirihani, Zaavhani naAkani. Vanakomana vaDhishani vaiva: Uzi naArani.
Wana wa Eseri walikuwa Bilhani, Zaawani, na Akani. Wana wa Dishani walikuwa Usi na Arani.
43 Aya ndiwo aiva madzimambo aitonga muEdhomu kusati kwava namambo upi zvake aitonga muIsraeri vaiva: Bhera mwanakomana waBheori, guta rake rainzi Dhinihabha.
Hawa ndio wafalme walio tawala katika nchi ya Edomu kabla ya mfalme yeyote kuwatawala Waisraeli: Bela mwana wa Beori; na jina la mji wake ulikuwa Dinhaba.
44 Bhera paakafa, Jobhabhi mwanakomana waZera aibva kuBhozira akamutevera paumambo.
Bela alipo kufa, Yohabu mwana wa Zera wa Bosra akatawala badala yake.
45 Jobhabhi paakafa, Hushami aibva kunyika yevaTemani akamutevera paumambo.
Yohabu alipo kufa, Hushamu wa nchi ya Watemani akatawala badala yake.
46 Hushami paakafa, Hadhadhi mwanakomana waBhedhadhi uyo akakunda Midhiani munyika yaMoabhu akamutevera paumambo. Guta rake rainzi Avhiti.
Hushamu alipo kufa, Hadadi mwana wa Bedadi, aliye washinda Wamidiani katika uwanja wa Moabu, akatawa badala yake. Jina la mji wake ulikuwa Avithi.
47 Hadhadhi paakafa Samira aibva kuMasireka akamutevera paumambo.
Hadadi alipo kufa, Samla wa Masreka akatawala badala yake.
48 Samira paakafa, Shauri aibva kuRehobhoti parwizi akamutevera paumambo.
Samla alipo kufa, Shauli wa Rehobothi Hanahari akatawala badala yake.
49 Shauri paakafa Bhaari Hanani mwanakomana waAkibhori akamutevera paumambo.
Shauli alipo kufa, Baal-Hanani mwana wa Akbori akatawala badala yake.
50 Bhaari Hanani paakafa, Hadhadhi akamutevera paumambo. Guta rake rainzi Pau uye mudzimai wake ainzi Mehetabheri, mwanasikana waMatiredhi, mwanasikana waMe-Zahabhi.
Baal-Hanani mwana wa Akbori alipo kufa, Hadari akatawala badala yake. Jina la mji wake ni Pau. Jina la mke wake lilikuwa ni Mehetabeli binti wa Matredi binti wa Mezahabu.
51 Hadhadhi akafawo. Madzishe eEdhomu aiva: Timina, Arivha, Jeteti
Hadadi akafa. Wajumbe wa ukoo wa Edomu walikuwa Timna, Alva, Yethethi,
52 Ohoribhama, Era, Pinoni,
Oholibama, Ela, Pinoni,
53 Kenazi, Temani, Mibhiza,
Kenazi, Temani, Mibsari,
54 Magidhieri naIrami. Aya ndiwo aiva madzishe eEdhomu.
Magdieli, na Iramu. Hawa ndio walikuwa wajumbe wa ukoo wa Edomu.