< Псалми 127 >
1 Ако Господ неће градити дом, узалуд се муче који га граде; ако неће Господ чувати град, узалуд не спава стражар.
Yahwe asipoijenga nyumba, waijengao wafanya kazi bure. Yahwe asipoulinda mji, aulindaye afanya kazi bure.
2 Узалуд раните, касно лежете, једете хлеб уморни; милом свом Он даје сан.
Ni kazi bure kwa wewe unayeamka mapema, na kulala kwa kuchelewa, au kula mkate kwa kuufanyia kazi ngumu, maana Yahwe huwapa chakula awapendao hata wawapo usingizini.
3 Ево наследства од Господа: деца, пород је дар од Њега.
Tazama, wana ni urithi kutoka kwa Yahwe, uzao wa tumbo ni thawabu kutoka kwake.
4 Шта су стреле у руци јакоме, то су синови млади.
Kama mishale mkononi mwa shujaa, ndivyo walivyo wana wa ujanani.
5 Благо човеку који је њима напунио тул свој! Неће се осрамотити кад се стану разговарати с непријатељима на вратима.
Ni namna gani alivyo barikiwa mtu ambaye amelijaza podo lake hivyo. Hata aibishwa pindi atakapo kabiliana na adui zake katika lango.