< Псалми 12 >

1 Помагај, Господе; јер неста светих, јер је мало верних међу синовима човечијим
Msaada, Yahweh, kwa kuwa wacha Mungu wametoweka; nao waaminifu wametokomea.
2 Лаж говоре један другом, уснама лажљивим говоре из срца дволичног.
Kila mmoja anasema kwa jirani yake maneno matupu; kila mmoja anaongea kwa midomo yenye sifa za uongo na maneno ya udanganyifu.
3 Истребиће Господ сва уста лажљива, језик величави,
Yahweh, katilia mbali midomo yenye sifa za uongo, kila ulimi unanena kwa nguvu mambo makubwa.
4 Људе, који говоре: Језиком смо јаки, уста су наша у нас, ко је господар над нама?
Hawa ni wale ambao wamesema, “Kwa ndimi zetu tutashinda. Wakati midomo yetu itakapo ongea, ni nani atakaye kuwa mtawala juu yetu?”
5 Видећи страдање невољних и уздисање ништих, сад ћу устати, вели Господ, и избавити оног коме злобе
“Kwa sababu ya vurugu zilizopo kinyume na maskini, na kwa sababu ya kuugua kwao wahitaji, Nitainuka,” asema Yahwe. “Nitawaletea usalama wanao hitaji.”
6 Речи су Господње речи чисте, сребро у ватри очишћено од земље, седам пута претопљено.
Maneno ya Yahwe ni masafi, kama fedha iliyo safishwa katika tanuru duniani, iliyo ng'arishwa mara saba zaidi.
7 Ти ћеш нас, Господе, одбранити, и сачувати нас од рода овог довека.
Wewe ni Yahwe! Unaye watunza. Una wahifadhi wacha Mungu kutoka katika hiki kizazi cha waovu na hata milele.
8 Безбожници иду наоколо; кад се они подижу, срамоте се синови човечији.
Waovu hutembea kila pande pale uovu unapoinuliwa kati ya wanadamu.

< Псалми 12 >