< Књига пророка Наума 2 >

1 Изађе затирач на те, чувај град, пази на пут, утврди бедра, укрепи се добро.
Yule ambaye atakuharibu vipande vipande anakuja dhidi yako. Linda kuta za mji, linda barabara, jitieni nguvu ninyi wenyewe, yakusanyeni majeshi yenu.
2 Јер Господ поврати славу Јаковљеву као славу Израиљеву, јер их пустошници опустошише и лозе им потрше.
Maana Yehova anarejesha fahari ya Yakobo, kama fahari ya Israeli, ingawa wateka nyara waliwaharibu na kuharibu matawi ya zabibu zao.
3 Штит је јунака његових црвен, војници су у скерлету; кола ће му бити као запаљени лучеви на дан кад се уврста, и јеле ће се љуљати страшно.
Ngao za mashujaa wake ni nyekundu, na watu hodari wamevaa nguo nyekundu; magari ya vita yameandaliwa yanang'ara kwenye vyuma vyake wakati wa mchana, na mikuki ya mivinje inarushwa hewani.
4 Кола ће праскати по улицама и ударати једна о друга по путевима, биће као лучеви, и трчаће као муње.
Magari ya vita yapo kasi kwenye mitaa; yanakimbia mbele na nyuma katika mitaa. Yapo kama kurunzi, na yanakimbia kama radi.
5 Помињаће јунаке своје, а они ће падати идући, похитаће к зидовима његовим, и заклон ће бити готов.
Yule ambaye atakuvunja vipande vipande anawaita maafisa wake; wanajikwaa kila mmoja kwa mwingine katika kutembea kwao; wanaharakisha kuushambulia ukuta wa mji. Ngao kubwa imetayarishwa kujikinga na hawa washambuliaji.
6 Врата ће се рекама отворити, и двор ће се развалити.
Malango kwenye mito yamelazishwa kufunguka, na jumba la mfalme linaanguka kwenye uharibifu.
7 И која стоји, заробиће се и одвешће се, девојке њене пратиће је уздишући као голубице, бијући се у прси.
Husabu amevuliwa mavazi yake na amachukuliwa; watumishi wake wa kike wanaomboleza kama njiwa, wanavipiga vifua vyao.
8 Ниневија беше као језеро водено откако јесте; али беже. Станите, станите. Али се нико не обзире.
Ninawi ni kama bwawa la maji linalovuja, watu wake kwa pamoja wanakimbia kama maji yanayotiririka. Wengine wanasema, “Simama, simama,” lakini hakuna anayegeuka nyuma.
9 Грабите сребро, грабите злато; благу нема краја, мноштво је свакојаких драгих заклада.
Chukua nyara ya fedha, kuchua nyara ya dhahabu, maana hakuna mwisho wake, kwa fahari ya vitu vyote vizuri vya Ninawi.
10 Испразни се, и оголе, и опусте; и срце се растопи, колена ударају једна о друго, и бол је у свим бедрима, и лица су свима поцрнела.
Ninawi ipo tupu na imeharibiwa. Moyo wa kila mtu unayeyuka, magoti ya kila mmoja yanagongana pamoja, na uchungu upo kwa kila mmoja; sura zao wote zimepauka.
11 Где је ложа лавовима и пасиште лавићима, куда иђаше лав и лавица и лавић, и никога не беше да плаши.
Sasa liko wapi pango la simba, sehemu ambapo simba wadogo hula chakula, sehemu ambapo simba dume na simba jike walitembea, pamoja wana-simba, ambapo hawakuogopa kitu chochote?
12 Лав ловљаше својим лавићима доста, и дављаше лавицама својим, и пуњаше пећине своје лова и ложе своје грабежа.
Simba alirarua mawindo yake vipande vipande kwa ajili ya watoto wake; aliwanyonga mawindo wake kwa ajili ya wake zake, na kulijaza pango lake mawindo, makao yake kwa mizoga iliyoraruliwa.
13 Ево ме на те, говори Господ над војскама, и попалићу кола твоја у дим, и мач ће прождрети лавиће твоје, и истребићу са земље грабеж твој, и неће се чути глас посланика твојих.
“Tazama, mimi nipo kinyume na wewe- hili ni neno la Yehova wa majeshi. Nitayachoma magari yenu ya vita katika moshi, na upanga utateketeza simba wenu vijana. Nitazuia nyara zenu kutoka kwenye nchi yangu, na sauti za wajumbe wenu hazitasikika tena.”

< Књига пророка Наума 2 >