< Књига о судијама 5 >

1 И у тај дан пева Девора и Варак син Авинејемов говорећи:
Siku hiyo Debora na Baraka, mwana wa Abinoamu waliimba wimbo huu:
2 Благосиљајте Господа што учини освету у Израиљу и што народ драговољно приста.
'Viongozi wanapoongoza mbele ya Israeli, watu wanapojitolea kupigana vita, tunamsifu Bwana!
3 Чујте цареви, слушајте кнезови; ја, ја ћу Господу певати, попеваћу Господу Богу Израиљевом.
Sikiliza, ninyi wafalme! Sikiliza kwa makini, ninyi viongozi! Mimi nitamwimbia Bwana; Nami nitamsifu Bwana, Mungu wa Israeli.
4 Господе! Кад си силазио са Сира, кад си ишао из поља едомског, земља се тресаше, и небеса капаху, облаци капаху водом.
Ee Bwana, wakati ulipotoka Seiri, ulipokwenda kutoka Edomu, nchi ilitetemeka, na mbingu pia ilitetemeka; pia mawingu yalitoa maji.
5 Брда се растапаху пред Господом; тај Синај пред Господом Богом Израиљевим.
Milima ikatoka mbele ya uso wa Bwana; hata Mlima Sinai ukatetemeka mbele ya uso wa Bwana, Mungu wa Israeli.
6 За времена Самегара сина Анатовог, за времена Јаиљиног неста путева, и који иђаху стазама, иђаху кривим путевима.
Katika siku za Shamgari (mwana wa Anathi), katika siku za Jael, barabara kuu ziliachwa, na wale ambao walitembea tu walitumia njia za upepo.
7 Неста села у Израиљу, неста их, докле не настах ја, Девора, докле не настах мајка Израиљу.
Kulikuwa na mashujaa wachache huko Israeli, mpaka mimi, Debora, nilipochukua amri- mama alichukua amri katika Israeli!
8 Он изабра нове богове, тада рат беше на вратима; виђаше ли се штит или копље међу четрдесет хиљада у Израиљу?
Walichagua miungu mpya, kulikuwa na vita katika malango ya jiji lakini bado hapakuwa na ngao au mikuki iliyoonekana kati ya watu elfu arobaini nchini Israeli.
9 Срце се моје привило к управитељима Израиљевим, који драговољно присташе између народа. Благосиљајте Господа.
Moyo wangu unawaendea wakuu wa Israeli, pamoja na watu ambao walijitolea -tunambariki Bwana kwa ajili yao!
10 Који јашете на белим магарицама, који седите у суду и који ходите по путевима, приповедајте.
Fikiria juu ya hili- ninyi ambao hupanda punda weupe mmeketi kwenye mazulia, nanyi mnaotembea njiani.
11 Престала је праска стрељачка на местима где се вода црпе; онде нека приповедају правду Господњу, правду к селима његовим у Израиљу; тада ће народ Господњи силазити на врата.
Sikiliza sauti za wale wanaoimba kwenye maeneo ya kutekea maji. Huko wanasema tena juu ya matendo ya haki ya Bwana, na matendo ya haki ya wapiganaji wake katika Israeli. Ndipo watu wa Bwana wakashuka kwenye malango ya mji.
12 Устани, устани, Деворо; устани, устани, запевај песму; устани, Вараче, води у ропство робље своје, сине Авинејемов.
Amka, amka, Debora! Amka, amka, imba wimbo! Simama, Baraka, na uwakamate wafungwa wako, wewe mwana wa Abinoamu.
13 Сада ће потлачени овладати силнима из народа; Господ ми даде да владам силнима.
Wale waliokoka wakaja chini kwa watu wenye nguvu; watu wa Bwana walikuja kwangu pamoja na mashujaa.
14 Из Јефрема изиђе корен њихов на Амалике; за тобом беше Венијамин с народом твојим; од Махира изиђоше који постављају законе, а од Завулона писари.
Walikuja kutoka Efraimu, ambao mizizi yao iko katika Amaleki; watu wa Benyamini walikufuata. Wakuu wa Makiri walitoka, na kutoka Zebuloni wale wanaobeba fimbo ya afisa.
15 И кнезови Исахарови бише с Девором, Исахар као и Варак би послан у долину с људима које вођаше. У делу Рувимовом беху људи високих мисли.
Na wakuu wangu katika Isakari walikuwa pamoja na Debora; na Isakari alikuwa na Baraka waliingia bobdeni kwa kasi chini ya amri yake. Miongoni mwa jamaa za Reubeni kulikuwa na utafutaji mkubwa wa moyo.
16 Што си седео међу торовима слушајући како блеје стада? У делу Рувимовом беху људи високих мисли.
Kwa nini uliketi katikati ya moto, ukisikiliza wachungaji wakipiga filimbi yao kwa makundi yao? Na kwa jamaa za Reubeni kulikuwa na utafutaji mkubwa wa moyo.
17 Галад оста с оне стране Јордана; а Дан што се забави код лађа; Асир зашто седе на брегу морском и у кршевима својим оста?
Gileadi alikaa upande wa pili wa Yordani; na Dani, kwa nini alizunguka juu ya meli? Asheri alibakia pwani na akaishi karibu na bandari zake.
18 Завулон је народ који даде душу своју на смрт, тако и Нефталим, на високом пољу.
Zabuloni lilikuwa kabila ambayo lingeweza kuhatarisha maisha yao mpaka kufikia kifo, Nafthali, pia, katika uwanja wa vita.
19 Дођоше цареви, бише се; бише се цареви ханански у Танаху на води мегидској; али ни мрве сребра не добише.
Wafalme walikuja, wakapigana; wafalme wa Kanaani wakapigana huko Taanaki karibu na maji ya Megido. Lakini hawakuondoa fedha kama nyara.
20 С неба се војева, звезде с места својих војеваше на Сисару.
Nyota zilipigana kutoka mbinguni, kutoka katika njia zao za mbinguni zilipigana na Sisera
21 Поток Кисон однесе их, поток Кадимин, поток Кисон; погазила си, душо моја, снажно.
Mto Kishoni uliwaondoa, mto ule wa kale, Mto Kishoni. Endelea mbele nafsi yangu, jipe nguvu!
22 Тада изотпадаше коњима копита од терања јунака њихових.
Kisha sauti za hofu za farasi-kupiga mbio, kupigana kwa watu wake wenye nguvu.
23 Проклињите Мироз, рече анђео Господњи, проклињите становнике његове; јер не дођоше у помоћ Господу, у помоћ Господу с јунацима.
'Ilaani Meroz!' asema malaika wa Bwana. 'Hakika walaani wenyeji wake!' Kwa sababu hawakuja kumsaidia Bwana, kumsaidia Bwana katika vita dhidi ya mashujaa wenye nguvu.
24 Да је благословена мимо жене Јаиља жена Евера Кенејина; мимо жене у шаторима да је благословена.
Yaeli amebarikiawa zaidi kuliko wanawake wengine wote, Yaeli (mke wa Heberi Mkeni), amebarikiwa zaidi kuliko wanawake wote wanaoishi katika hema.
25 Заиска воде, млека му даде, у господској здели донесе му павлаку.
Mtu yule aliomba maji, naye akampa maziwa; akamletea siagi katika sahani inayofaa kwa wakuu.
26 Левом руком маши се за колац а десном за маљ ковачки, и удари Сисару, размрска му главу; прободе и проби му слепе очи.
Aliweka mkono wake kwenye kigingi cha hema, na mkono wake wa kuia katika nyundo ya mfanyakazi; kwa nyundo akampiga Sisera, alimpiga kichwani kwake. Aliligawanya fuvu lake vipande vipande wakati alipompiga pembeni ya kichwa chake.
27 Међу ноге њене сави се, паде, леже, међу ноге њене сави се, паде где се сави, онде паде мртав.
Akaanguka katikati ya miguu yake, akaanguka akalala pale. Kati ya miguu yake akaanguka. Mahali alipoanguka ni pale ambapo aliuawa kwa ukatili.
28 С прозора гледаше мајка Сисарина, и кроз решетку викаше: Што се тако дуго не враћају кола његова? Што се тако полако мичу точкови кола његових?
Aliangalia dirishani - mama yake Sisera aliangalia kupitia kamba na akasema kwa huzuni, 'Kwa nini gari lakelimechelewa kuja? Kwa nini viboko vya farasi vinavyovuta magari yake vimechelewa? '
29 Најмудрије између дворкиња њених одговараху јој, а и сама одговараше себи:
Wafalme wake wenye hekima walijibu, na yeye mwenyewe akajibu jibu lile
30 Нису ли нашли? Не деле ли плен? По једну девојку, по две девојке на сваког. Плен шарен Сисари, плен шарен, везен; шарен, везен с обе стране, око врата онима који запенише.
'Je, hawakupata na kugawanya nyara? Tumbo, matumbo mawili kwa kila mtu; nyara ya kitambaa kilichofunikwa kwa Sisera, nyara ya kitambaa kilichofunikwa, nguo mbili za rangi iliyofunikwa kwa misumari ya wale waliopora?
31 Тако да изгину сви непријатељи Твоји, Господе; а који те љубе да буду као сунце кад излази у сили својој. И земља би мирна четрдесет година.
Naam, adui zako wote wataangamia, Ee Bwana! Lakini marafiki zako watakuwa kama jua wakati linapoongezeka kwa uwezo wake. Na nchi ikawa na amani kwa miaka arobaini.

< Књига о судијама 5 >