< Књига Исуса Навина 19 >
1 Потом изађе други жреб за Симеуна, племе синова Симеунових по породицама њиховим, и би наследство њихово усред наследства синова Јудиних.
Upigaji wa pili wa kura uliangukia kwa Simoni na waligawiwa kwa kila ukoo wao. Urithi wao ulikuwa katikati ya urithi ulikuwa ni mali ya kabila la Yuda.
2 И допаде им у наследство Вирсавеја и Савеја и Молада,
Urithi waliokuwa nao ni Beerisheba, Sheba, Molada,
3 И Асар-Суал и Вала и Асем,
Hazari Shuali, Bala, Ezemu,
4 И Елтолад и Ветуил и Орма,
Elitoladi, Bethuli na Horma.
5 И Сиклаг и Вет-Мархавот и Асар-Суса,
Simoni alikuwa pia na Ziklagi, Bethi Markabothi, Hazari Susa,
6 И Вет-Леваот и Саруен; тринаест градова са селима својим;
Bethi Lebaothi, na Sharuheni. Kulikuwa na miji kumi na mitatu pamoja na vijiji vyake. Vile vile
7 Ајин, Ремон и Етер и Асан, четири града са селима својим;
Simoni alimiliki Aini, Rimon, Etheri, na Ashani. Hii ilikuwa ni miji minne pamoja na vijiji vyake.
8 И сва села што беху око тих градова дори до Валат-Вира, а то је Рамат јужни. То је наследство племена синова Симеунових по породицама њиховим.
Miji hii pamoja na vijiji vilivyoizunguka hata kufika Baalathi Beeri (ambao ndio Rama katika Negevu). Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Simoni, waliopewa kwa koo zao.
9 Од дела синова Јудиних допаде наследство синовима Симеуновим, јер део синова Јудиних беше велик за њих, зато синови Симеунови добише наследство на њиховом наследству.
Urithi wa kabila la Simoni ulikuwa sehemu ya himaya ya kabila la Yuda. Hii ni kwasababu nchi waliyopewa kabila la Yuda ilikuwa ni kubwa kwao, na hivyo kabila la Simoni lilipokea urithi wao kutoka katika sehemu yao ya katikati.
10 Потом изађе трећи жреб за синове Завулонове по породицама њиховим; и међа наследству њиховом би до Сариде.
Upigaji wa kura ya tatu uliangukia kwa kabila la Zabuloni, na walipewa kwa koo zao. Mpaka wa urithi wao ulianzia huko Saridi.
11 А одатле иде међа њихова покрај мора на Маралу, и допире до Давасета, и иде на поток који је према Јокнеаму,
Mpaka wao ulipanda upande wa magharibi kuelekea Marala na ukaigusa Dabeshethi, na kisha ukasonga kuelekea kijito kilichokuwa mkabala na Yokineamu.
12 Па се окреће од Сариде на исток до међе кислот-таворске, и иде на Даврат и излази до Јафе;
Kutoka Saridi mpaka ulizunguka upande wa mashariki kuelekea mashariki na ulienda hadi mpaka wa Kislothi Tabori. Kutoka hapo uliendelea hadi Daberathi na kisha ulipanda hata Yafia.
13 Отуда иде опет к истоку до Гита-Ефера, а то је Ита-Касин, и излази на Ремон-Метоар, а то је Неја;
Kutoka hapo ulipita katika upande wa mashariki mwa Gathi Heferi, na kisha ukafika Ethikazini, baadaye ulienda hadi Rimoni na kisha ukageuka kuelekea Nea.
14 Отуда се савија међа к северу на Анатон, и излази у долину Јефтаил,
Mpaka ulizunguka kueleka kaskazini ukafika Hanathoni na ulikomea katika bonde la Ifta Eli.
15 С Кататом и с Налалом и Симроном и Идалом и Витлејемом, дванаест градова са селима својим.
Mkoa huu ulijumuisha miji ya Katathi, Nahalali, Shimroni, Idala, na Bethlehemu. Kulikuwa na miji kumi na miwili, pamoja na vijiji vyake.
16 То је наследство синова Завулонових по породицама њиховим, то су градови и села њихова.
Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Zabuloni, waliopewa kwa kufuatana na koo zao - miji pamoja na vijiji vyake.
17 За Исахара изађе жреб четврти, за синове Исахарове по породицама њиховим;
Upigaji kura wa nne uliangukia kwa Isakari, na waligawiwa kufuatana na koo zao.
18 А међа им би: Језраел и Кесулот и Суним,
Eneo lao lilijumuisha Jezreelli, Kesuloothi, Shunemu,
19 И Аферајим и Сеон и Анахарат,
Hafaraimu, Shioni, na Anaharathi.
20 И Равит и Кисион и Авес,
Pia ilijumuisha miji ya Rabithi, Kishioni, Ebezi,
21 И Ремет и Ен-Ганим и Ен-Ада и Бет-Фасис,
Remethi, Enganimu, Enihada, na Bethipazezi.
22 А отуда иде међа на Тавор и на Сахасиму и Вет-Семес, и удара у Јордан; шеснаест градова са селима својим.
Mpaka wao ulifika Tabor, Shahazuma, na Bethi Shemeshi, na ukakomea katika Yordani. Ilikuwa ni miji kumi na sita, pamoja na vijiji vyake.
23 То је наследство племена синова Исахарових по породицама њиховим; то су градови и села њихова.
Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Isakari, na walipewa kufuatana na koo zao - miji pamoja na vijiji vyake.
24 Потом изађе жреб пети за племе синова Асирових по породицама њиховим.
Upigaji wa kura ya tano uliangukia kwa kabila la Asheri, na walipewa kwa koo zao.
25 И међа им би: Хелкат и Алија и Ветен, и Ахсаф,
Eneo lao lilijumuisha miji ya Helikathi, Hali, Beteni, Akashafu,
26 И Аламелех и Амад и Мисал, и пружа се до Кармела к мору и до Сихор-Ливната,
Alameleki, Amadi, na Mshali. Mpaka wa magharibi ulitanuka hadi Karmeli na Shihori Libnathi.
27 И одатле се савија к истоку на Вет-Дагон, и допире до Завулона и до долине Јефтаила к северу, и до Ветемека и Наила, и иде до Хавула налево;
Kisha ulizunguka upande wa mashariki kueleka Bethi Dagoni na ukaenda hadi Zabuloni, na kisha ukafika katika bonde la ifutaheli, upande wa kaskazini mwa Bethemeki na Neieli. Baadaye uliendelea mbele hata Kabuli kueleka upande wa Kaskazini.
28 И Хеврон и Реов и Амон и Кана скроз до Сидона великог;
Na kisha ulienda hadi Ebroni, Rehobu, Hammoni, na Kana, hata kufika mji mkubwa wa Sidoni.
29 Отуда се савија међа на Раму и до тврдог града Тира, а отуда се савија на Осу и излази на море покрај дела ахсивског;
Mpaka ulirudi nyuma kuelekea Rama, na kisha ukafika kwenye mji wa Tiro uliokuwa na ngome. Baada ya hapo mpaka ulizunguka kuelekea Hosa na ulikomea katika bahari, katika mkoa wa Akizibu,
30 И Ама и Афек и Реов; двадесет и два града са селима својим.
Umma, Afeki, na Rehobu. Kulikuwa na miji ishirini na miwili, pamoja na vijiji vyake.
31 То је наследство племена синова Асирових по породицама њиховим, то су градови и села њихова.
Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Asheri, na waliopewa kwa koo zao - miji pamoja na vijiji vyake.
32 За синове Нефталимове изађе жреб шести, за синове Нефталимове по породицама њиховим,
Upigaji wa kura wa mara ya sita uliangukia kwa kabila la Nafutali, na walipewa kufuatana na koo zao.
33 И међа им би од Елафа и од Алона до Сананима, и од Адами-Некева и Јавнила до Лакума, и излази на Јордан;
Mpaka wao ulianzia Helefu, kutoka katika mwaloni huko Zaananimu, ulipanda hadi Adaminekebu na Yabneeli, umbali kama Lakumu; na ulikomea katka Yordani.
34 Потом се обрће међа на запад к Азнот-Тавору, и иде на Укок, и допире до Завулона с југа и до Асира са запада и до Јуде на Јордану с истока.
Mpaka ule ulizunguka upande wa magharibi kuelekea Aznothi Tabori na ulipanda hadi Hukoki; uligusa Zabuloni katika upande wa kusini, na ulifika hata Asheri katika upande wa magharibi, na Yuda katika upande wa mashariki huko katika mto Yordani.
35 А тврди су градови: Сидим, Сер и Амат, Ракат и Хинерот,
Miji yenye ngome ilikuwa ni Zidimu, Zeri, Hammathi, Rakathi, Kinnerethi,
36 И Адама и Рама и Асор,
Adama, Rama, Hazori,
37 И Кедес и Едреј и Ен-Асор,
Kedeshi, Edrei, na Eni Hazori.
38 И Ирон Мигдалил, Орем и Вет-Анат и Вет-Семес; деветнаест градова са селима својим.
Pia kulikuwa na miji ya Yironi, Migdaleli, Horemu, Bethi Anathi, na Bethi Shemeshi. Kulikuwa na miji kumi na tisa, pamoja na vijiji vyake.
39 То је наследство племена синова Нефталимових по породицама њиховим, то су градови са селима својим.
Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Nafutali, na walipewa miji pamoja na vijiji vyake kufuatana na koo zao.
40 Седми жреб изађе за племе синова Данових по породицама њиховим,
Upigaji wa kura ya saba uliangukia kwa kabila la Dani, na walipewa kufuatana na koo zao.
41 И међа наследству њиховом би Сара и Естаол и Ир-Семес,
Eneo lao la urithi lilijumuisha miji ya Zora, Eshitaoli, Iri Shemeshi,
42 И Салавин и Ајалон и Јетла,
Shaalabini, Aijaloni, na Ithila.
43 И Елон и Тамната и Акарон,
Vile vile lilijumuisha miji ya Eloni, Timna, Ekroni,
44 И Елтекон и Гиветон и Валат,
Eliteke, Gibethoni, Baalathi,
45 И Јуд и Вани-Варак и Гат-Римон,
Yehudi, Bene - Beraki, Gathi Rimoni,
46 И Ме-Јаркон и Ракон с међама својим према Јопи.
Me -Yarkoni, na Rakoni sambamba na eneo la karibu na Yopa.
47 Али међе синова Данових изађоше мале за њих; зато изађоше синови Данови и ударише на Лесем и узеше га и побише оштрим мачем и освојише га, и населише се у њему, и Лесем прозваше Дан по имену Дана оца свог.
Ilitokea wakati mpaka wa kabila la Dani ulipowapotea, kabila la Dani waliishambulia Leshemu, wakapigana nao, na wakauteka. Waliua kila mtu kwa upanga, wakauchukua ukawa mali yao, na wakakaa ndani yake. Wakauita mji ule Dani jina la babu yao badala ya Leshemu.
48 То је наследство племена синова Данових по породицама њиховим; то су градови и села њихова.
Huu ulikuwa urithi wa kabila la Dani, waliopewa kufuatana na koo zao - miji pamoja na vijiji vyake.
49 А кад поделише земљу по међама њеним, даше синови Израиљеви наследство Исусу, сину Навином, међу собом.
Walipomaliza kugawana urithi wa nchi, watu wa Israeli walimpa urithi Yoshua mwana wa Nuni kutoka miongoni mwao.
50 По заповести Господњој даше му град који заиска, Тамнат-Сарах у гори Јефремовој, а он сагради град и насели се у њему.
Kwa amri ya Yahweh walimpatia mji wa Timnathi Sera ambao aliuomba, ulikuwa katika nchi ya milima ya Efraimu. Aliujenga mji na akaishi huko.
51 То су наследства која Елеазар свештеник и Исус син Навин и главари породица отачких у племенима синова Израиљевих поделише жребом у Силому пред Господом на вратима шатора од састанка, и тако поделише земљу.
Na huu ndio urithi ambao Eliazari kuhani, na Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi wa makabila ya familia za mababu zao miongoni mwa watu wa Israeli, waligawa kwa kupiga kura huko Shilo, mbele za Yahweh katika mlango wa hema la kukutania. Na hivyo wakamaliza kuigawa nchi.