< Књига о Јову 42 >
1 Тада Јов одговори Господу и рече:
Ndipo Ayubu akamjibu Bwana:
2 Знам да све можеш, и да се не може смести шта наумиш.
“Ninajua ya kuwa unaweza kufanya mambo yote, wala hakuna mpango wako unaoweza kuzuilika.
3 Ко је то што замрачује савет неразумно? Зато кажем да нисам разумевао; чудесно је то за ме, те не могу знати.
Uliuliza, ‘Ni nani huyu afichaye mashauri yangu bila maarifa?’ Hakika nilisema juu ya mambo niliyokuwa siyaelewi, mambo ya ajabu mno kwangu mimi kuyajua.
4 Слушај кад узговорим, и кад запитам, кажи ми.
“Ulisema, ‘Sikiliza sasa, nami nitanena; nitakuuliza swali, nawe yakupasa kunijibu.’
5 Ушима слушах о Теби, а сада Те око моје види.
Masikio yangu yalikuwa yamesikia habari zako, lakini sasa macho yangu yamekuona.
6 Зато поричем, и кајем се у праху и пепелу.
Kwa hiyo najidharau mwenyewe, na kutubu katika mavumbi na majivu.”
7 А кад Господ изговори оне речи Јову, рече Господ Елифасу Теманцу: Распалио се гнев мој на тебе и на два пријатеља твоја што не говористе о мени право као слуга мој Јов.
Baada ya Bwana kusema mambo haya yote na Ayubu, akamwambia Elifazi Mtemani, “Nina hasira juu yako na juu ya rafiki zako wawili, kwa sababu hamkusema yaliyo sawa kwa habari yangu, kama alivyosema mtumishi wangu Ayubu.
8 Зато сада узмите седам телаца и седам овнова, и идите к слузи мом Јову и принесите жртве паљенице за се, и слуга мој Јов нека се помоли за вас, јер ћу доиста погледати на њ да не учиним с вама по вашој лудости, јер не говористе о мени право као слуга мој Јов.
Basi sasa chukueni mafahali saba na kondoo dume saba mkamwendee mtumishi wangu Ayubu nanyi mkatoe sadaka za kuteketezwa kwa ajili yenu wenyewe. Mtumishi wangu Ayubu ataomba kwa ajili yenu, nami nitayakubali maombi yake ili nisiwatendee sawasawa na upumbavu wenu. Ninyi hamkusema yaliyo sawa kwa habari yangu, kama alivyosema mtumishi wangu Ayubu.”
9 И тако отиде Елифас Теманац и Вилдад Сушанин и Софар Намаћанин, и учинише како им заповеди Господ. И погледа Господ на Јова.
Kwa hiyo Elifazi Mtemani, Bildadi Mshuhi, na Sofari Mnaamathi wakafanya kama Bwana alivyowaambia; naye Bwana akayakubali maombi ya Ayubu.
10 И Господ врати што беше узето Јову пошто се помоли за пријатеље своје; и умножи Господ Јову двојином све што беше имао.
Baada ya Ayubu kuwaombea rafiki zake, Bwana akamwondoa kwenye uteka, akamfanikisha tena naye akampa mara mbili ya vile alivyokuwa navyo hapo mwanzoni.
11 И дођоше к њему сва браћа његова и све сестре његове и сви пређашњи знанци његови, и једоше с њим у његовој кући и жалећи га тешише га за све зло што беше Господ пустио на њ, и дадоше му сваки по новац и по гривну златну.
Ndipo ndugu zake wote waume kwa wake na kila mtu aliyemfahamu mwanzoni, wakaja wakala pamoja naye katika nyumba yake. Wakamfariji na kumtuliza moyo juu ya taabu yote Bwana aliyoileta juu yake, nao kila mmoja akampa kipande cha fedha na pete ya dhahabu.
12 И Господ благослови последак Јовов више него почетак, те имаше четрнаест хиљада оваца и шест хиљада камила и хиљаду јармова волова и хиљаду магарица.
Bwana akaibariki sehemu ya mwisho ya maisha ya Ayubu kuliko ile ya kwanza. Alikuwa na kondoo elfu kumi na nne, ngamia elfu sita, jozi za mafahali elfu moja, na punda wa kike elfu moja.
13 И имаше седам синова и три кћери.
Tena alikuwa na wana saba na binti watatu.
14 И првој наде име Јемима, а другој Кесија а трећој Керен-апуха.
Binti wa kwanza aliitwa Yemima, wa pili Kesia na wa tatu Keren-Hapuki.
15 И не нахођаше се у свој земљи тако лепих девојака као кћери Јовове, и отац им даде наследство међу браћом њиховом.
Hapakuwepo mahali popote katika nchi ile yote palipopatikana wanawake wazuri kama binti za Ayubu; naye baba yao akawapa urithi pamoja na ndugu zao.
16 И после поживе Јов сто и четрдесет година, и виде синове и унуке до четвртог колена.
Baada ya hili Ayubu akaishi miaka 140; akawaona wanawe na wana wa wanawe hata kizazi cha nne.
17 И умре Јов стар и сит живота.
Hivyo Ayubu akafa, akiwa mzee aliyekuwa ameshiba siku.