< Књига о Јову 38 >

1 Тада одговори Господ Јову из вихора и рече:
Ndipo Yahweh alimwita Ayubu kutoka katika dhoruba kali na kumwambia,
2 Ко је то што замрачује савет речима неразумно?
“Huyu ni nani aletaye giza katika mipango kwa njia ya maneno bila maarifa?
3 Опаши се сада као човек; ја ћу те питати, а ти ми казуј.
Basi sasa jifunge kiunoni mwako kama mwanaume kwa kuwa nitakuuliza maswali, nawe lazima unijibu.
4 Где си ти био кад ја оснивах земљу? Кажи, ако си разуман.
Wewe ulikuwa wapi wakati nilipoitandaza misingi ya dunia? Niambie, kama unao ufahamu zaidi.
5 Ко јој је одредио мере? Знаш ли? Или ко је растегао уже преко ње?
Je ni nani aliyeamuru vipimo vyake? Niambie, kama unajua, ni nani alivinyosha vipimo juu yake?
6 На чем су подножја њена углављена? Или ко јој је метнуо камен угаони?
Misingi yake ilitandazwa juu ya nini? Ni nani aliyeliweka jiwe lake la pembeni
7 Кад певаху заједно звезде јутарње и сви синови Божји кликоваху.
wakati nyota za asubuhi zilipoimba pamoja na wana wote wa Mungu walipopiga kelele kwa furaha?
8 Или ко је затворио море вратима кад као из утробе изиђе?
Ni nani huifunga bahari kwa milango wakati inapofurika, kana kwamba inatoka katika tumbo,
9 Кад га одех облаком и пових тамом;
wakati nilipoyafanya mawingu kuwa ni mavazi yake, na giza nene kuwa mkanda wake wa kujifungia?
10 Кад поставих за њ уредбу своју и метнух му преворнице и врата;
Hapo ilikuwa wakati nilipoweka bahari mpaka wangu, na nilipoweka makomeo yake na milango,
11 И рекох: Довде ћеш долазити, а даље нећеш, и ту ће се устављати поносити валови твоји.
na wakati nilipoiambia, 'Unaweza kuja hapa kutoka mbali, lakini si zaidi; na hapa ndipo nitauweka mpaka kwa fahari ya mawimbi yako.'
12 Јеси ли свог века заповедио јутру, показао зори место њено,
Je tangu mwanzo wa siku zako, ulishawahi kuigiza asubuhi ianze, na kuyafanya mapambazuko yajue sehemu yake katika mpangilio wa vitu,
13 Да се ухвати земљи за крајеве, и да се растерају с ње безбожници,
ili kwamba ishikilie sehemu za dunia ili watu waovu watikiswe mbali nayo.
14 Да се она промени као блато печатно, а они да стоје као хаљина,
Dunia imebadilishwa katika mwonekano kama udongo unavyobadilika chini ya muhuri; vitu vyote husimama juu yake dhahiri kama cha kibindo cha nguo.
15 Да се одузме безбожницима светлост њихова и рука подигнута да се сломи?
'Mwanga' wao umeondolewa kutoka kwa watu waovu; na mkono wao ulioinuliwa umevunjwa.
16 Јеси ли долазио до дубина морских? И по дну пропасти јеси ли ходио?
Je umeshaenda kwenye vyanzo vya maji ya bahari? Je umeshatembea sehemu za chini kabisa za kilindi?
17 Јесу ли ти се отворила врата смртна, и врата сена смртног јеси ли видео?
Je malango ya mauti yamefunuliwa kwako? Je umeshaona malango ya uvuli wa mauti?
18 Јеси ли сагледао ширину земаљску? Кажи, ако знаш све то.
Je umeifahamu dunia katika upana wake? Niambie kama unayajua yote hayo.
19 Који је пут к стану светлости? И где је место тами,
Je iko wapi njia ya sehemu ya kupumzikia kwa mwanga, na kama ilivyo kwa giza, iko wapi sehemu yake?
20 Да би је узео и одвео до међе њене, и знао стазе к дому њеном?
Je unaweza kuuongoza mwanga na giza katika sehemu zake za kazi? Waweza kuitambua njia ya kurudi katika nyumba zao?
21 Знаш ти; јер си се онда родио, и број је дана твојих велик.
Bila shaka unajua, kwa kuwa ulizaliwa wakati huo; hesabu ya siku zako ni kubwa sana!
22 Јеси ли улазио у ризнице снежне? Или ризнице градне јеси ли видео,
Je ulishaingia katika ghala ya barafu, au umeshaiona ghala ya mawe ya mvua,
23 Које чувам за време невоље, за дан боја и рата?
vitu hivi nimeviweka kwa ajili ya siku za mateso, kwa siku za mapigano na vita?
24 Којим се путем дели светлост и устока се разилази по земљи?
Je iko wapi njia ya mshindo wa mwanga hutokea au je upepo husambazwa kutoka mashariki juu ya dunia?
25 Ко је разделио јазове поводњу и пут светлици громовној?
Ni nani aliyezitengeneza mifereji ya gharika ya mvua, au ni nani aliyezifanya njia za milipuko ya radi,
26 Да би ишао дажд на земљу где нема никога, и на пустињу где нема човека,
na kuifanya mvua inyeshe juu ya nchi ambazo hakuna mtu aishiye ndani yake, na juu ya jangwa, ambayo ndani yake hakuna mtu yeyote,
27 Да напоји пуста и неродна места, и учини да расте трава зелена.
kwa kusudi la kutimiza mahitaji ya mikoa iliyo kame na yenye ukiwa, na kuyastawisha majani mororo?
28 Има ли дажд оца? Или ко је родио капље росне?
Je kuna baba wa mvua? Ni nani aliyeyafanya matone ya umande?
29 Из чије је утробе изашао лед, и ко је родио слану небеску,
Je barafu ilitoka katika tumbo la nani? Na ni nani aliyeizaa theluji nyeupe katika anga?
30 Да се воде скривају и постају као камен и крајеви пропасти срастају?
Maji hujificha menyewe na kuwa kama jiwe; sehemu za juu za vilindi huwa kama barafu.
31 Можеш ли свезати милине влашићима? Или свезу штапима разрешити?
Je unaweza kuzifunga minyororo ya Kilimia, au kuvifungua vifundo vya Orioni?
32 Можеш ли извести јужне звезде на време? Или кола са звездама њиховим хоћеш ли водити?
Je unaweza kuziongoza nyota kutokea katika nyakati zake? Je waweza kuongoza dubu pamoja na watoto wake?
33 Знаш ли ред небески? Можеш ли ти уређивати владу његову на земљи?
Je unazijua sheria za anga? Wewe uliweza kuanzisha sheria za anga juu ya dunia?
34 Можеш ли дигнути глас свој до облака да би те мноштво воде покрило?
Je waweza kupaza sauti yako hadi mawinguni, ili kwamba maji mengi ya mvua yakufunike?
35 Можеш ли пустити муње да иду, и да ти кажу: Ево нас?
Je waweza kuagiza miali ya mwanga ili itokee, na kukwambia, 'Sisi tupo hapa'?
36 Ко је метнуо човеку у срце мудрост? Или ко је дао души разум?
Ni nani ameweka hekima katika mawingu au ni nani ameweka ufahamu kwa ukungu?
37 Ко ће избројати облаке мудрошћу, и мехове небеске ко ће излити,
Nani anaweza kuyahesabu mawingu kwa maarifa yake? Na ni nani awezaye kuvimwaga viriba vya anga
38 Да се расквашен прах згусне и груде се слепе?
wakati mavumbi yanapoungana kuwa kitu kigumu na mabonge ya dunia yanaposhikama kwa pamoja?
39 Ловиш ли ти лаву лов? И лавићима трбух пуниш,
Je waweza kuwinda mawindo kwa ajili ya simba jike au kutosheleza hamu ya watoto wadogo wa simba
40 Кад леже у пећинама и вребају у заклону свом?
wakati wanapokwaruza kwaruza katika pango lao na kukaa katika kificho ili kulala katika hali ya kuvizia?
41 Ко готови гаврану храну његову кад птићи његови вичу к Богу и лутају немајући шта јести?
Ni nani aletaye mawindo kwa ajili ya kunguru wakati ambapo watoto wao wanapomlilia Mungu na kutangatanga kwa kukosa chakula?

< Књига о Јову 38 >