< Књига о Јову 37 >

1 И од тога дрхће срце моје, и одскаче са свог места.
Hakika, moyo wangu hutetemeka kwa hili; umeondolewa kutoka katika sehemu yake.
2 Слушајте добро громовни глас Његов и говор што излази из уста Његових.
Sikia, Ee, Sikia kelele za sauti yake, sauti inayotoka katika mdomo wake.
3 Под сва небеса пушта га, и светлост своју до крајева земаљских.
Huiagiza sauti chini ya mbingu yote, na huutuma mwanga wake katika mipaka ya dunia.
4 За њом риче гром, грми гласом величанства свог, нити шта одгађа кад се чује глас Његов.
Sauti huunguruma baada yake; yeye huunguruma kwa sauti ya ukuu wake; hauzuii mshindo wa mwanga wakati sauti yake inaposikika.
5 Дивно Бог грми гласом својим, чини ствари велике, да их не можемо разумети.
Mungu huunguruma kwa sauti yake kwa namna ya ajabu; yeye hufanya mambo makubwa ambayo sisi hatuwezi kuyafahamu.
6 Говори снегу: Падни на земљу; и дажду ситном и дажду силном.
Kwa kuwa huiambia theluji, 'Angukeni juu ya dunia'; hali kadhalika kwa manyunyu ya mvua, 'Iweni manyunyu makubwa ya mvua.'
7 Запечаћава руку сваком човеку, да позна све посленике своје.
Huuzuia mkono wa kila mtu usifanye kazi, ili kwamba watu wote aliowaumba wataona matendo yake.
8 Тада звер улази у јаму, и остаје на својој ложи.
Kisha hayawani huenda na kujificha na kukaa katika mapango yake.
9 С југа долази олуја, и са севера зима.
Dhoruba hutoka katika chumba chake upande wa kusini na baridi kutoka katika pepo zilizotawanyika katika upande wa Kaskazini.
10 Од дихања Божијег постаје лед, и широке воде стискају се.
Barafu imetolewa kwa pumzi ya Mungu; upana wa maji umeganda kama chuma.
11 И да се натапа земља, натерује облак, и расипа облак светлошћу својом.
Hakika, huyapima mawingu manene yenye unyevu; yeye huusambaza mwanga wake katika mawingu.
12 И он се обрће и тамо и амо по вољи Његовој да чини све што му заповеди по васиљеној.
Yeye huyazungusha mawingu kwa uongozi wake, ili yafanye chochote anayoyaagiza juu ya uso wote wa ulimwengu.
13 Чини да се нађе или за кар или за земљу или за доброчинство.
Huyafanya haya yote yatokee; wakati mwingine hutokea kwa ajili ya kusahihisha, wakati mwingine kwa ajili ya nchi yake, na wakati mwingine ni kwa matendo ya agano la uaminifu.
14 Чуј то, Јове, стани и гледај чудеса Божија.
Yasikilize haya, Ayubu; acha na ufikiri juu matendo ya ajabu ya Mungu.
15 Знаш ли како их Он уређује и како сија светлошћу из облака свог?
Je unajua ni kwa namna gani Mungu hushurutisha mawingu na kuufanya mwanga wa radi ung'ae ndani yake?
16 Знаш ли како висе облаци? Знаш ли чудеса Оног који је савршен у сваком знању?
Je unafahamu kuelea kwa mawingu, matendo ya ajabu ya Mungu, Je ni nani aliyemkamilifu katika maarifa?
17 Како ти се хаљине угреју кад умири земљу с југа?
Je unafahamu ni kwa jinsi gani mavazi yako huwa ya moto wakati nchi ikiwa imetulia kwasababu ya upepo unaotoka upande wa kusini?
18 Јеси ли ти с Њим разапињао небеса, која стоје тврдо као саливено огледало?
Je unaweza kulitandaza anga kama anavyofanya - anga ambalo lina nguvu kama kioo cha chuma kigumu?
19 Научи нас шта ћемо Му рећи; не можемо од таме говорити по реду.
Tufundishe sisi kile tunachopaswa kumwambia yeye, kwa kuwa hatuwezi kutoa hoja zetu katika mpangilio kwasababu ya kiza katika akili zetu.
20 Хоће ли Му ко приповедити шта бих ја говорио? Ако ли би ко говорио, заиста, био бих прождрт.
Je anapaswa kuambiwa kwamba ninapenda kuongea naye? Je mtu angependa kumezwa?
21 Али сада не могу људи гледати у светлост кад сјаји на небу, пошто ветар прође и очисти га;
Sasa, watu hawawezi kulitazama jua wakati linang'aa katika anga baada ya upepo kupita katikati yake na umelisafisha kwa mawingu yake.
22 Са севера долази као злато; али је у Богу страшнија слава.
Kutoka upande wa kaskazini hutokea fahari ya dhahabu - juu ya Mungu kuna ukuu wa kutisha.
23 Свемогућ је, не можемо Га стигнути; велике је силе, али судом и великом правдом никога не мучи.
Na kuhusu Mwenye nguvu, hatuwezi kumpata; yeye ni mkuu katika nguvu na haki. Yeye hatesi watu.
24 Зато Га се боје људи: Не може Га видети никакав мудрац.
Hivyo basi, watu humwogopa. Yeye huwa hawajali wale ambao ni wenye hekima katika akili zao wenyewe.”

< Књига о Јову 37 >