< Књига о Јову 29 >
1 Још настави Јов беседу своју и рече:
Ayubu akaendelea na kusema,
2 О да бих био као пређашњих месеца, као оних дана кад ме Бог чуваше,
Ee, ningekuwa kama nilivyokuwa miezi iliyopita wakati Mungu aliponiagalia,
3 Кад светљаше свећом својом над главом мојом, и при виделу Његовом хођах по мраку,
taa yake ilipowaka kichwani pangu, na pale nilipotembea gizani kwa nuru yake.
4 Како бејах за младости своје, кад тајна Божија беше у шатору мом,
Ee, kwamba ningekuwa kama nilivyokuwa katika siku za ujana wangu uhusiano wangu na Mungu ulivyokuwa mzuri,
5 Кад још беше Свемогући са мном, и деца моја око мене,
wakati Mwenyezi alipokuwa pamoja nami, na wanangu walipokuwa karibu nami,
6 Кад се траг мој обливаше маслом, и стена ми точаше уље потоцима,
wakati maisha yangu yalipokuwa yamejawa na utele, na mwamba uliponichuruzishia chemichemi za mafuta.
7 Кад излажах на врата кроз град, и на улици намештах себи столицу:
Nilipokwenda langoni mwa mji, nilipokaa katika eneo la mji,
8 Младићи видећи ме уклањаху се, а старци устајаху и стајаху,
vijana waliniona na walikaa mbali kwa kuniheshimu, na wazee waliinuka na kusimama kwa ajili yangu.
9 Кнезови престајаху говорити и метаху руку на уста своја,
Wana wa mfalme waliacha kuongea nilipofika; wangeweka mkono wao katika vinywa vyao.
10 Управитељи устезаху глас свој и језик им пријањаше за грло.
Sauti za waheshimiwa zililazimishwa, na ndimi zao hazikuweza kuongea vinywani mwao.
11 Јер које ме ухо чујаше, називаше ме блаженим; и које ме око виђаше, сведочаше ми
Kwani baada ya kunisikia, wangenibariki; waliponiona, wangeniona na kuniheshimu
12 Да избављам сиромаха који виче, и сироту и који нема никог да му помогне;
kwa maana nilikuwa nikiwasaidia masikini waliokuwa wakiteseka, na yatima, asiye na msaada.
13 Благослов оног који пропадаше долажаше на ме, и удовици срце распевах;
Baraka zao waliokuwa karibu kuangamia zilinipata; niliufanya moyo wa mjane kuimba kwa furaha.
14 У правду се облачих и она ми беше одело, као плашт и као венац беше ми суд мој.
Nilijivika utakatifu, nao ulinifunika; haki yangu ilikuwa kama kanzu na kilemba.
15 Око бејах слепом и нога хромом.
Niliwasaidia vipofu; niliwasaidia walemavu.
16 Отац бејах убогима, и разбирах за распру за коју не знах.
Niliwasaidia wahitaji; niliwasaidia hata wasionijua.
17 И разбијах кутњаке неправеднику, и из зуба му истрзах грабеж.
Nilimnyamazisha mwovu; nilimpokonya manusura kutoka katika meno yake.
18 Зато говорах: У свом ћу гнезду умрети, и биће ми дана као песка.
Kisha nilisema nitakufa mahali salama; nitazizidisha siku zangu kama mchanga.
19 Корен мој пружаше се крај воде, роса биваше по сву ноћ на мојим гранама.
Mizizi yangu imeenea majini, na umande kukaa usiku wote katika matawi yangu.
20 Слава моја подмлађиваше се у мене, и лук мој у руци мојој понављаше се.
Heshima yangu ni mpya daima, na nguvu za upinde wangu zipo katika mkono wangu kila wakati.
21 Слушаху ме и чекаху, и ћутаху на мој савет.
Watu walinisikiliza; walinisubiri; walisikiliza ushauri wangu.
22 После мојих речи нико не проговараше, тако их натапаше беседа моја.
Nilipo maliza kuongea hawakunena tena, maneno yangu yaliwatia nguvu kama mvua.
23 Јер ме чекаху као дажд, и уста своја отвараху као на позни дажд.
Waliningoja kama kungoja mvua; waliyathamini maneno yangu, kama walivyotamani mvua iliyokawia.
24 Кад бих се насмејао на њих, не вероваху, и сјајност лица мог не разгоњаху.
Niliwafurahia bila wao kutarajia; hawakukataa uzuri wa uso wangu.
25 Кад бих отишао к њима, седах у зачеље, и бејах као цар у војсци, кад теши жалосне.
Nilikuwa kama mfalme wao na kuwachagulia cha kufanya; nilikuwa kama mfalme katika jeshi lake, kama awafarijiye waombolezaji mazishini.