< Књига о Јову 16 >

1 А Јов одговори и рече:
Ndipo Ayubu akajibu na kusema,
2 Слушао сам много таквих ствари; сви сте досадни тешиоци.
“Mimi nimevisikia vitu hivyo vingi; ninyi nyote ni wafariji wenye kuhuzunisha.
3 Хоће ли бити крај празним речима? Или шта те тера да тако одговараш?
Maneno yenye upuuzi daima yanaweza kuwa na mwisho? Nini kimeharibika kwenu kwamba mnajibu kama hivi?
4 И ја бих могао говорити као ви, да сте на мом месту, гомилати на вас речи и махати главом на вас,
Mimi pia ningeweza kuzungumza kama ninyi mnavyofanya, kama ninyi mngekuwa katika nafasi yangu; Mimi ningekusanya na kuunganisha maneno pamoja dhidi yenu na kutikisa kichwa changu kwenu ninyi katika dhihaka.
5 Могао бих вас храбрити устима својим, и мицање усана мојих олакшало би бол ваш.
Laiti, jinsi gani Mimi ningewatia moyo na midomo yangu! Jinsi gani faraja kutoka midomo yangu ingenga'risha huzuni yenu!
6 Ако говорим, неће одахнути бол мој; ако ли престанем, хоће ли отићи од мене?
Ikiwa Mimi ninazungumza, kuomboleza kwangu hakujasikilizwa; Ikiwa nikiendelea katika kuzungumza, jinsi gani mimi ninaidiwa?
7 А сада ме је уморио; опустошио си сав збор мој.
Lakini sasa, Mungu,
8 Навукао си на ме мрштине за сведочанство; и моја мрша подиже се на ме, и сведочи ми у очи.
wewe umenifanya mimi kuchoka; wewe umeifanya familia yangu yote kuwa ukiwa. Wewe umenifanya mimi kukauka, ambayo yenyewe ni ushuhuda dhidi yangu mimi; kukonda kwa mwili wangu huinuka dhidi yangu, na kunashuhudia dhidi ya macho yangu.
9 Гнев Његов растрже ме, ненавиди ме, шкргуће зубима на ме, поставши ми непријатељ сева очима својим на ме.
Mungu amenirarua mimi katika ghadhabu yake na amenitesa mimi; Yeye amenisaga mimi kwa meno yake; Adui yangu amenikazia macho yake juu yangu kama yeye anavyonirarua mimi vipande.
10 Разваљују на ме уста своја, срамотно ме бију по образима, скупљају се на ме.
Watu wameachama na midomo iliyowazi juu yangu; wamenipiga mimi katika shavu kwa kunitukana; wamekusanyika pamoja kinyume changu mimi.
11 Предао ме је Бог неправеднику, и у руке безбожницима бацио ме.
Mungu amenikabidhi mimi juu ya watu wasio mcha Mungu, na kunitupa mimi ndani ya mikono ya watu waovu.
12 Бејах миран и затре ме, и ухвативши ме за врат смрска ме и метну ме себи за белегу.
Mimi nilikuwa katika wepesi, na yeye amenivunjavunja mimi vipande. Hakika, amenichukua mimi kwa shingo na ameniponda mimi vipande vipande; yeye pia ameniweka mimi juu kama shabaha yake.
13 Опколише ме Његови стрелци, цепа ми бубреге немилице, просипа на земљу жуч моју.
Wapiga upinde wake wote wamenizunguka mimi; Mungu huzikata vipande vipande figo zangu, na haniokoi mimi; yeye humwaga nje nyongo yangu juu ya ardhi.
14 Задаје ми ране на ране, и удара на ме као јунак.
yeye hukanyaga kanyaga kupitia ukuta wangu tena na tena; yeye hukimbia juu yangu mimi kama shujaa.
15 Сашио сам кострет по кожи својој, и уваљао сам у прах славу своју.
nguo ya magunia juu ya ngozi yangu; Mimi nimeisukuma kwa nguvu pembe yangu ndani ya ardhi.
16 Лице је моје подбуло од плача, на веђама је мојим смртни сен;
Uso wangu ni mwekundu na kuomboleza; juu ya ngozi inayofunika macho kuna kivuli cha mauti
17 Премда нема неправде у рукама мојим, и молитва је моја чиста.
ingawa hakuna dhuluma katika mikono yangu, na kuomba kwangu ni safi.
18 Земљо, не криј крв што сам пролио, и нека нема места викању мом.
Nchi, haifuniki juu damu yangu mimi; acha kulia kwangu kuwe hakuna mahali pa kupumzika.
19 И сада ето је на небу сведок мој, сведок је мој на висини.
Hata sasa, tazama, ushuhuda wangu uko mbinguni; yeye ambaye ashuhudiaye kwa ajili yangu mimi yuko juu.
20 Пријатељи се моји подругују мном; око моје рони сузе Богу.
Rafiki zangu wananicheka kwa dharau, lakini jicho langu linamwaga machozi kwa Mungu.
21 О да би се човек могао правдати с Богом, као син човечији с пријатељем својим!
Mimi ninaomba ule ushuhuda ulioko mbinguni kumtetea mtu huyu na Mungu kama mwanadamu afanyavyo na jirani yake.
22 Јер године избројане навршују се, и полазим путем одакле се нећу вратити.
Kwa maana wakati miaka michache itakapokuwa imepita, Mimi nitakwenda mahali ambapo mimi sitaweza kurudi.

< Књига о Јову 16 >