< Књига о Јову 15 >

1 А Елифас Теманац одговори и рече:
Ndipo Elifazi Mtemani alijibu na kusema,
2 Хоће ли мудар човек казивати празне мисли и пунити трбух ветром источним,
Mtu mwenye hekima anapaswa kujibu kwa maarifa yasiyofaa na kujijaza mwenyewe na upepo wa mashariki?
3 Препирући се говором који не помаже и речима које нису ни на шта?
Anapaswa kuhojiana na mazungumzo yasiyo na faida au na hotuba ambazo kwa hizo yeye hawezi kufanya mema?
4 А ти уништаваш страх Божји и укидаш молитве к Богу.
Dhahiri, wewe wafifisha heshima ya Mungu; Wewe wazuia heshima kwa yeye,
5 Јер безакоње твоје показују уста твоја, ако и јеси изабрао језик лукав.
kwa maana uovu wako hufundisha midomo yako; Wewe wachagua kuwa na ulimi wa mtu mwenye hila.
6 Осуђују те уста твоја, а не ја; и усне твоје сведоче на те.
Mdomo wako mwenyewe hukukukumu wewe, siyo wangu; hakika, midomo yako mwenyewe hushuhudia dhidi yako wewe.
7 Јеси ли се ти први човек родио? Или си пре хумова саздан?
Je, wewe ni mwanadamu wa kwanza ambaye aliyezaliwa? Wewe ulikuwepo kabla ya vilima kuwepo?
8 Јеси ли тајну Божију чуо и покупио у себе мудрост?
Wewe Umewahi kusikia maarifa ya siri ya Mungu? Je, wewe wajihesabia mwenye hekima wewe mwenyewe?
9 Шта ти знаш што ми не бисмо знали? Шта ти разумеш што не би било у нас?
Ni kitu gani unachokifahamu wewe ambacho sisi hatukijui? Ni kitu gani unachokifahamu wewe ambacho hakiko katika sisi?
10 И седих и старих људи има међу нама, старијих од оца твог.
Pamoja nasi wapo pia wenye mvi na watu wazee sana ambao ni wazee zaidi kuliko baba yako.
11 Мале ли су ти утехе Божије? Или имаш шта сакривено у себи?
Je, faraja ya Mungu ni ndogo sana kwako, maneno ambayo ni ya upole dhidi yako wewe?
12 Што те је занело срце твоје? И што севају очи твоје,
Kwa nini moyo wako wewe unakupeleka mbali? Kwa nini macho yako yananga'ra,
13 Те обраћаш против Бога дух свој и пушташ из уста својих такве речи?
ili ya kwamba kuirejesha roho yako kwa Mungu na kuyatoa maneno hayo kutoka katika mdomo wako?
14 Шта је човек, да би био чист, и рођени од жене, да би био прав?
Je, mwanadamu yeye ni nini kwamba yeye anapaswa kuwa safi? Yeye mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke ni nini kwamba yeye anapaswa awe mwenye haki?
15 Гле, не верује свецима својим, и небеса нису чиста пред очима Његовим;
Tazama, Mungu haweki tumaini lake hata kwa mmoja wake aliye mtakatifu; Hakika, mbingu haziko safi machoni pake yeye;
16 А камоли гадни и смрдљиви човек, који пије неправду као воду?
jinsi gani asivyo safi ni mmoja aliye mbaya na mla rushwa, mtu ambaye hunywa uovu kama maji!
17 Ја ћу ти казати, послушај ме, и приповедићу ти шта сам видео,
Mimi nitakuonyesha wewe; Nisikilize mimi; Mimi nitakutangazia wewe vitu ambavyo nimeviona,
18 Шта мудраци казаше и не затајише, шта примише од отаца својих,
vitu ambavyo watu wenye hekima wamepita chini yake kutoka kwa baba zao, vile vitu ambavyo mababu zao hawakuvificha.
19 Којима самим дана би земља, и туђин не прође кроз њу.
Hawa walikuwa mababu zao, ambao kwao pekee nchi walipewa, na miongoni mwao hakuna mgeni aliyepita.
20 Безбожник се мучи свега века свог, и насилнику је мало година остављено.
Mtu mwovu hupitia katika maumivu siku zake zote, idadi ya miaka iliyowekwa juu kwa mtesaji kuteseka.
21 Страх му зуји у ушима, у мирно доба напада пустошник на њ.
Sauti ya vitisho katika masikio yake; pindi yeye yuko katika kufanikiwa, mharibu atakuja juu yake yeye.
22 Не верује да ће се вратити из таме, одсвуда привиђа мач.
Yeye hafikiri kwamba yeye atarudi kutoka katika giza; Upanga humngojea yeye.
23 Тумара за хлебом говорећи: Где је? Зна да је за њ спремљен дан тамни.
Yeye huenda sehemu mbali mbali kwa ajili ya mkate, akisema, 'Kiko wapi? ' Yeye anatambua kuwa siku ya giza iko mkononi.
24 Туга и невоља страше га, и наваљују на њ као цар готов на бој.
Dhiki na mateso makali humfanya aogope; wao hushinda dhidi yake yeye, kama mfalme tayari kwa vita.
25 Јер је замахнуо на Бога руком својом, и Свемогућем се опро.
Kwa sababu yeye ameunyosha mkono wake dhidi ya Mungu na ameishi kwa kiburi dhidi ya aliye mkuu,
26 Трчи исправљена врата на њ с многим високим штитовима својим.
huyu mtu mwovu hukimbia kwa Mungu na shingo ngumu, kwa vifundo vikubwa vya ngao.
27 Јер је покрио лице своје претилином, и наваљао сало на бокове своје.
Hii ni kweli, hata ingawa yeye amefunika uso wake kwa mafuta yake na amekusanya mafuta juu ya viuno vyake,
28 И седео је у градовима раскопаним и у кућама пустим, обраћеним у гомилу камења.
na ameishi katika miji yenye ukiwa; katika nyumba ambazo hakuna mwanadamu anayeishi humo sasa na ambazo zilikuwa tayari kuwa magofu.
29 Неће се обратити нити ће остати благо његово, и неће се раширити по земљи добро његово.
Yeye hatakuwa tajiri; utajiri wake yeye hautadumu; hata kivuli chake hakitadumu katika nchi.
30 Неће изаћи из мрака, огранке његове осушиће пламен, однеће га дух уста његових.
Yeye hatatoka nje ya giza; mwali wa moto utakausha matawi yake; katika pumzi ya kinywa cha Mungu yeye ataenda zake.
31 Нека се не узда у таштину преварени, јер ће му таштина бити плата.
Mwacheni yeye asitumaini katika vitu visivyofanya kazi, akijidanganya yeye mwenyewe; maana upuuzi utakuwa mshahara wake yeye.
32 Пре свог времена свршиће се, и грана његова неће зеленети.
Itatokea kabla ya wakati wake yeye atapaswa kufa; tawi lake halitakuwa kijani.
33 Откинуће се као с лозе незрео грозд његов и пупци ће се његови као с маслине побацати.
Yeye atazipukutisha zabibu zake zisizovunwa kama mzabibu; yeye atayaondoa maua yake kama mti wa mzeituni.
34 Јер ће опустети збор лицемерски, и огањ ће спалити шаторе оних који примају поклоне.
Kwa maana msaada wa watu wasiomcha Mungu utakuwa tasa; moto utateketeza hema za rushwa.
35 Зачињу невољу и рађају муку, и трбух њихов саставља превару.
Wao wanabeba mimba yenye ubaya na kuzaa uovu; tumbo lao hutunga mimba ya udanganifu.

< Књига о Јову 15 >