< Књига о Јову 14 >

1 Човек рођен од жене кратка је века и пун немира.
Mwanadamu, ambaye amezaliwa na mwanamke, huishi siku chache tu na amejaa mahangaiko.
2 Као цвет ниче, и одсеца се, и бежи као сен, и не остаје.
Yeye huchanua kutoka katika ardhi kama ua na kukatwa chini; yeye hukimbia kama kivuli na hawezi kudumu.
3 И на таквог отвараш око своје, и мене водиш на суд са собом!
Je, wewe unatazama chochote katika hivi? Mnanileta mimi hukumuni pamoja nanyi?
4 Ко ће чисто извадити из нечиста? Нико.
Ni nani anayeweza kukileta kitu safi kutoka katika kitu kichafu? Hakuna awaye yote.
5 Измерени су дани његови, број месеца његових у Тебе је; поставио си му међу, преко које не може прећи.
Siku za mwanadamu zimeamriwa. Idadi ya miezi yake unayo wewe; umekiweka kikomo chake ambacho hawezi kukivuka.
6 Одврати се од њега да почине докле не наврши као надничар дан свој.
Tazama mbali kutoka kwake kwamba yeye aweze kupumzika, ili kwamba aweze kufurahia siku yake kama mtu aliyekodishwa kama yeye anaweza kufanya hivyo.
7 Јер за дрво има надања, ако се посече, да ће се још омладити и да неће бити без изданка;
Kunaweza kuwa na tumaini kwa mti; kama ukikatwa chini, unaweza kuchipua tena, hivyo chipukizi lake halitapotea.
8 Ако и остари у земљи корен његов и у праху изумре пањ његов,
Japokuwa mizizi yake inakua na kuzeeka katika ardhi, na shina lake kufa katika udongo,
9 Чим осети воду, опет напупи и пусти гране као присад.
hata kama bado lina harufu ya maji pekee, litachipua tena na kutoa nje matawi kama mche.
10 А човек умире изнемогао; и кад издахне човек, где је?
Lakini mwanadamu hufa; yeye huwa dhaifu; haswaa, mwanadamu hukoma kupumua, na tena yuko wapi yeye?
11 Као кад вода отече из језера и река опадне и усахне,
Kama maji yanavyopotea kutoka ziwani, na kama vile mto upotezavyo maji na kukauka,
12 Тако човек кад легне, не устаје више; докле је небеса неће се пробудити нити ће се пренути ода сна свог.
vivyo hivyo watu hulala chini na hawaamki tena. Mpaka pale mbingu zitakapokuwa hazipo tena, hawataamka wala kuamshwa kutoka katika kulala kwao.
13 О да ме хоћеш у гробу сакрити и склонити ме докле не утоли гнев Твој, и да ми даш рок кад ћеш ме се опоменути! (Sheol h7585)
Laiti, kwamba ungenificha mimi mbali katika kuzimu mbali kutoka katika mahangaiko, na kwamba ungenitunza mimi katika siri hadi hasira yake imalizike, kwamba ungeniwekea mimi muda maalumu wa kukaa huko na kisha kuniita mimi katika fahamu! (Sheol h7585)
14 Кад умре човек, хоће ли оживети? Све дане времена које ми је одређено чекаћу докле ми дође промена.
Ikiwa mwanadamu akifa, yeye ataishi tena? Ikiwa hivyo, ningependa kusubiri kule muda wangu wote wa kuharibika mpaka kufunguliwa kwangu kutakapokuja.
15 Зазваћеш, и ја ћу Ти се одазвати; дело руку својих пожелећеш.
Wewe ungeita, na mimi ningekujibu wewe. Wewe ungekuwa na shauku ya kazi ya mikono yako.
16 А сада бројиш кораке моје, и ништа не остављаш за грех мој.
Wewe ungehesabu na kutunza nyayo zangu; Wewe usingejali kumbukumbu ya dhambi yangu.
17 Запечаћени су у тобоцу моји преступи, и завезујеш безакоња моја.
Uovu wangu ungetiwa muhuri katika mkoba; wewe ungeufunga uovu wangu.
18 Заиста, као што гора падне и распадне се, и као што се стена одвали с места свог,
Lakini hata milima huanguka na kuwa si chochote; hata miamba huhamishwa kutoka mahali pake;
19 И као што вода спира камење и поводањ односи прах земаљски, тако надање човечије обраћаш у ништа.
maji yaliyokuwa chini ya mawe; kufurika kwake huondoa mbali mavumbi ya nchi. Kama hivi, ninyi mnavyoharibu matumaini ya mwanadamu.
20 Надвађујеш га једнако, те одлази, мењаш му лице и отпушташ га.
Ninyi daima humshinda yeye, na yeye hupita mbali; Ninyi mnabadilisha uso wake na kumtuma yeye mbali kufa.
21 Ако синови његови буду у части, он не зна; ако ли у срамоти, он се не брине.
Kama watoto wake wa kiume ni wa kuheshimiwa, yeye, hatambui hicho; na kama wakishushwa chini, yeye haoni hicho.
22 Само тело док је жив болује, и душа његова у њему тужи.
Yeye hujisikia tu maumivu ya mwili wake mwenyewe, na hujiombolezea yeye mwenyewe.

< Књига о Јову 14 >