< Књига пророка Језекиља 32 >
1 Опет дванаесте године, дванаестог месеца, првог дана, дође ми реч Господња говорећи:
Kisha ikawa katika mwezi wa kumi na mbili wa mwaka wa kumi na mbili, siku ya kwanza ya mwezi, lile neno la Yahwe likanijia, kusema,
2 Сине човечји, наричи за Фараоном царем мисирским, и реци му: Ти си као лавић међу народима и као змај у мору, и пролазиш реке своје и мутиш воду ногама својим и газиш по рекама њеним.
“Mwanadamu, inua maombolezo kuhusu Farao mfalme wa Misri; mwambie, 'Wewe ni kama simba mdogo juu ya mataifa, lakini kama jitu la kutisha, unatoka kwenye maji, unayachafua maji kwa miguu yako na kuyachafua maji yao.
3 Овако вели Господ Господ: Разапећу ти мрежу своју са збором многих народа, и извући ће те у мојој мрежи.
Bwana Yahwe asema hivi: Basi nitautandaza wavu wangu juu yako katika kusanyiko la watu wengi, na watawainua juu katika wavu wangu.
4 И оставићу те на земљи, и бацићу те у поље, и пустићу све птице небеске да седају на те, и наситићу тобом звери са све земље.
Nitakuacha katika nchi. Nitakutupa kwenye shamba na kufanya ndege wote wa angani watue juu yako; njaa ya wanyama wote waishio juu ya nchi watashibishwa na wewe.
5 И разметнућу месо твоје по горама и напунићу долине гомилама од тебе.
Kwa kuwa nitaiweka nyama yako juu ya milima, na nitayajaza mabonde kwa funza wako waliokufa.
6 И земљу где пливаш напојићу крвљу твојом до врх гора, и потоци ће бити пуни тебе.
Kisha nitamwaga damu yako juu ya milima, na vitanda vya kijito vitajazwa kwa damu yako.
7 И кад те угасим, застрећу небо, и звезде на њему помрачити, сунце ћу заклонити облаком, и месец неће светлити светлошћу својом.
Kisha wakati nitakapokuzimisha, nitazifunika mbingu na kuzitia giza nyota zake; nitalifunika jua kwa mawingu, na mwezi hautatoa nuru yake usiku.
8 Сва ћу светла видела на небу помрачити за тобом, и пустићу таму на твоју земљу, говори Господ Господ.
Mianga ya mbinguni nitaiweka giza juu yako, na nitaweka giza juu ya nchi-hivi ndivyo asemavyo Bwana Yahwe.
9 И устрашићу срце многих народа кад објавим пропаст твоју међу народима, по земљама којих не знаш.
Hivyo nitaitisha mioyo ya watu wengi katika nchi ambao huwajui, wakati nitakapoleta kuhusu uvunjifu miongoni mwa mataifa, miongoni mwa nchi ambazo hukuzijua.
10 И удивићу тобом многе народе, и цареви ће се њихови згрозити од тебе, кад махнем мачем својим пред њима, и дрхтаће сваки час сваки за душу своју у дан кад паднеш.
Nitawashangaza watu wengi kuhusiana na wewe; wafalme wao watatetemeka kwa hofu kuhusiana na wewe nitakapoutikisa upanga wangu mbele yao. Kila wakati kila mmoja atatetemeka kwa sababu yako, katika siku ya kuanguka kwako.
11 Јер овако вели Господ Господ: Мач цара вавилонског доћи ће на те.
Kwa kuwa Bwana Yahwe asema hivi: Upanga wa mfalme wa Babeli utakuja juu yako.
12 Мачевима јуначким поваљаћу мноштво твоје, мачевима најљућих између народа; оне ће разорити понос Мисиру, и све ће се мноштво његово потрти.
Nitawafanya watu wako kuanguka kwa panga za mashujaa-kila shujaa ni tishio la mataifa. Hawa mashujaa watateketeza kiburi cha Misri na kuangamiza watu wake wote.
13 И потрћу сву стоку његову покрај великих вода, те их неће више мутити нога човечија нити ће их папак од какве животиње мутити.
Kwa kuwa nitaiharibu mifugo yote kutoka karibu na maji mengi; na mguu wa mtu hautayatibua tena, wala kwato za wanyama hazitayatibua.
14 Тада ћу стишати воду њихову, и учинићу да потоци њихови теку као уље, говори Господ Господ.
Kisha nitayafanya maji yao kuwa matulivu na kufanya mito yao kukimbia kama mafuta-hivi ndivyo asemavyo Bwana Yahwe.
15 Кад опустим земљу мисирску и она буде без свега што је у њој, и побијем све који живе у њој, тада ће познати да сам ја Господ.
Wakati nitakapoifanya nchi ya Misri sehemu iliyojitenga, wakati nchi iliyopungukiwa na vitu viijazavyo, wakati nitakapo washambulia wakaao ndani yake, watajua yakwamba mimi ni Yahwe.
16 Ово је нарицање што ће се нарицати; тако ће нарицати кћери народне, за Мисиром и за свим мноштвом његовим нарицаће, говори Господ Господ.
Kutakuwa na maombolezo; binti za mataifa wataomboleza juu yake; wataomboleza juu ya Misri, juu ya watu wake wote wataomboleza-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”'
17 По том дванаесте године, петнаести дан истог месеца, дође ми реч Господња говорећи:
Kisha ikawa katika mwaka wa kumi na mbili, siku ya kumi na tano ya mwezi, lile neno la Yahwe likanijia, kusema,
18 Сине човечји, наричи за мноштвом мисирским, и свали њих и кћери јаких народа у најдоњи крај земље с онима који силазе у јаму.
“Mwanadamu, omboleza kwa ajili watu wa misri na walete chini-yeye na binti za mataifa mashuhuri-hata chini ya dunia pamoja na wale walioshuka chini kwenye shimo.
19 Од кога си лепши? Сиђи и лези с необрезанима.
'Je! wewe ni mzuri zaidi kuliko mtu mwingine yeyote? Nenda chini na lala chini pamoja na wasiotahiriwa.'
20 Пашће посред побијених мачем, мач је дат, вуците га и све мноштво његово.
Wataanguka miongoni mwao waliokuwa wameuawa kwa upanga. Upanga ulikuwa umewekwa! Alikuwa amepatiwa upanga; watamkamata na watu wake.
21 Говориће му најхрабрији јунаци исред гроба с помоћницима његовим, који сиђоше и леже необрезани, побијени мачем. (Sheol )
Hodari wa wapiganaji katika Sheoli atasema kuhusu Misri na rafiki zake, 'Wameshuka chini hapa! Watalala pamoja na wasiotahiriwa, pamoja na wale waliokuwa wameuawa kwa upanga.' (Sheol )
22 Онде је Асирац и сав збор његов, гробови су му око њега, сви су побијени, пали од мача.
Ashuru yupo huko pamoja na kusanyiko lake. Makaburi yake yamemzunguka; wote waliuawa kwa upanga.
23 Гробови су му у дну јаме, а збор му је око његовог гроба; сви су побијени, пали од мача, који задаваху страх земљи живих.
Wale ambao makaburi yao yamewekwa katika maficho ya mashimo yaliyo huko, pamoja na kusanyiko lake. Makaburi yake yakiwazunguka wote waliokuwa wameuawa, walioanguka kwa upanga, wale walioleta hofu juu ya nchi ya walio hai.
24 Онде је Елам и све мноштво његово око његовог гроба; сви су побијени, пали од мача, који сиђоше необрезани на најдоњи крај земље, који задаваху страх земљи живих; и носе срамоту своју с онима који силазе у јаму.
Elamu yupo huko pamoja na watu wake wote. Makaburi yake yamemzunguka; wote walikuwa wameuawa. Wale walioawa kwa upanga, walioshuka chini wasiotahiriwa hata sehemu ya chini kabisa ya dunia, waliowatia hofu juu ya nchi ya walio hai na wale waliobeba aibu yao wenyewe, pamoja na wale washukao chini kwenye shimo.
25 Међу побијенима наместише постељу њему и свему мноштву његовом, гробови су му око њега, сви су необрезани побијени мачем, који задаваху страх земљи живих; и носе срамоту своју с онима који силазе у јаму, метнути су међу побијене.
Wamemuwekea kitanda kwa ajili ya Elamu na watu wake wote kati ya wachinjaji; kaburi lake limemzunguka. Wote hawajatahiriwa, kukatwa vipande kwa upanga, kwa sababu waliwaleta mashujaa wao juu ya nchi ya walio hai. Hivyo wamechukua aibu yao wenyewe, pamoja na wale washukao kwenye shimo miongoni mwa wote waliouawa, wale washukao kwenda shimoni. Elamu yu miongoni mwa wale waliokuwa wameuawa.
26 Онде је Месех, Тувал и све мноштво његово, гробови су му око њега, сви су необрезани побијени мачем, који задаваху страх земљи живих.
Mesheki, Tubali, na watu wake wote wako huko! Makaburi yao yamewazunguka. Wote hawajatahiriwa, wameuawa kwa upanga, kwa sababu walileta utiisho wao juu ya nchi ya walio hai.
27 Али не леже међу јунацима који падоше између необрезаних, који сиђоше у гроб с оружјем својим, и метнуше мачеве под главе своје, и безакоње њихово лежи на костима њиховим, ако и беху јунаци страшни на земљи живих. (Sheol )
Wasilale pamoja mashujaa walioanguka wa wasiotahiriwa walioshuka chini kwa Sheoli pamoja na silaha zao zote za vita, na pamoja na panga zao zote walizoziweka chini ya vichwa vyao na maovu yao juu ya mifupa yao. Kwa kuwa walikuwa tishio kwa mashujaa katika nchi ya walio hai. (Sheol )
28 И ти ћеш се сатрти међу необрезанима, и лежаћеш код побијених мачем.
Basi wewe, Misri, utavunjika kati yao wasiotahiriwa! Utalala karibu nao waliokuwa wamekatwa vipande vipande kwa upanga.
29 Онде је Едом, цареви његови и сви кнезови његови, који су са силом својом метнути међу побијене мачем; леже међу необрезанима и с онима који сиђоше у јаму.
Edomu yuko huko na wafalme na viongozi wake wote. Walikuwa wamehifadhiwa katika uwezo wao pamoja na wale walioawa kwa upanga. Pamoja na wasiotahiriwa wamelala, pamoja na wale walioshuka kwenye shimo.
30 Онде су сви кнезови северни и сви Сидонци, који сиђоше к побијенима са страхом својим, стидећи се силе своје; и леже необрезани с онима који су побијени мачем, и носе срамоту своју с онима који сиђоше у јаму.
Wakuu wa kaskazini wako huko-wote na Wasidoni wote walioshuka chini pamoja na hao waliokuwa wamekatwa vipande vipande. Walikuwa na nguvu na kuwafanya wengine kuogopa, lakini sasa wako huko kwa aibu, wasiotahiriwa pamoja na wale waliokatwa vipande vipande kwa upanga. Wamebeba aibu yao wenyewe, pamoja nao waendao kwenye shimo.
31 Њих ће видети Фараон, и утешиће се за свим мноштвом својим, Фараон и сва војска његова, побијени мачем, говори Господ Господ.
Farao ataona na kupata faraja kuhusu kundi lake waliokatwa vipande vipande kwa upanga -Farao na jeshi lake lote-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
32 Јер зададох свој страх земљи живих, и Фараон ће и све мноштво његово лежати међу необрезанима с онима који су побијени мачем, говори Господ Господ.
Natamuweka kama utiisho wangu katika nchi ya walio hai, lakini atakuwa amelazwa chini katikati yao wasiotahiriwa, miongoni mwa wale walio katwa vipande kwa upanga, Farao na makundi yake yote-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.