< Књига о Јестири 6 >

1 Ону ноћ не могаше цар спавати, и заповеди те му донесоше књигу од знаменитих догађаја, дневнике, те је читаше цару.
Usiku ule mfalme hakupata usingizi, hivyo akaagiza aletewe kitabu cha kumbukumbu za matukio ya utawala wake, asomewe.
2 И нађе се записано како је Мардохеј проказао за Вихтана и Тереса, два дворанина, који чуваху стражу на прагу, да гледају да дигну руке на цара Асвира.
Kitabu hicho kilikutwa na kumbukumbu kwamba Mordekai alikuwa amefichua jinsi Bigthana na Tereshi, waliokuwa maafisa wawili wa mfalme, walinzi wa lango walivyokuwa wamepanga hila ya kumuua Mfalme Ahasuero.
3 Тада рече цар: Каква је част и како је добро учињено Мардохеју за то? А момци цареви, слуге његове, рекоше: Није му учињено ништа.
Mfalme akauliza, “Je, ni heshima na shukrani gani Mordekai alipokea kwa ajili ya jambo hili?” Watumishi wake wakajibu, “Hakuna lolote alilofanyiwa.”
4 А цар рече: Ко је у трему? А Аман беше дошао у спољашњи трем двора царевог да каже цару да се обеси Мардохеј на вешала која му је приправио.
Mfalme akasema, “Ni nani yuko uani?” Wakati huo huo Hamani alikuwa ameingia ua wa nje wa jumba la mfalme kusema na mfalme kuhusu kumwangika Mordekai katika mahali pa kuangikia watu alipokuwa amepajenga kwa ajili yake.
5 А момци цареви рекоше му: Гле, Аман стоји у трему. А цар рече: Нека дође.
Watumishi wake wakamjibu, “Hamani amesimama uani.” Mfalme akaamuru, “Mleteni ndani.”
6 И Аман дође, а цар му рече: Шта треба учинити човеку ког цар хоће да прослави? А Аман рече у себи: Кога би цар хтео прославити ако не мене?
Hamani alipoingia, mfalme alimuuliza, “Afanyiwe nini mtu ambaye mfalme apenda kumheshimu?” Basi Hamani akawaza moyoni mwake, “Ni nani mwingine ambaye mfalme angemheshimu kuliko mimi?”
7 И рече Аман цару: Кога цар хоће да прослави,
Kwa hiyo akamjibu mfalme, “Kwa mtu ambaye mfalme apenda kumheshimu,
8 Треба донети царско одело које цар носи, и довести коња на коме цар јаше, и метнути му на главу венац царски;
aletewe joho la kifalme ambalo mfalme ameshalivaa na farasi ambaye mfalme alishampanda, ambaye amevikwa taji ya kifalme kichwani mwake.
9 И одело и коња треба дати коме између највећих кнезова царевих да обуку човека оног ког цар хоће да прослави, па да га проведу на коњу по улицама градским и вичу пред њим: Овако бива човеку кога цар хоће да прослави.
Kisha joho na farasi vikabidhiwe kwa mmojawapo wa wakuu wa mfalme anayeheshimika sana. Nao wamvike mtu yule ambaye mfalme anapenda kumheshimu, na aongozwe akiwa juu ya farasi kupitia barabara za mji, wakitangaza mbele yake, ‘Hivi ndivyo anavyofanyiwa mtu ambaye mfalme apenda kumheshimu!’”
10 Тада рече цар Аману: Брже узми одело и коња као што рече, и учини тако Мардохеју, Јудејцу који седи на вратима царевим; немој изоставити ништа што си рекао.
Mfalme akamwamuru Hamani, “Nenda mara moja, chukua joho na farasi na ufanye kama vile ulivyopendekeza kwa Mordekai Myahudi, akaaye langoni mwa mfalme. Usipuuze kufanya kitu chochote ulichoshauri.”
11 И узе Аман одело и коња, и обуче Мардохеја и проведе га на коњу по улицама градским вичући пред њим: Овако бива човеку кога цар хоће да прослави.
Hivyo Hamani akachukua joho na farasi. Akamvika Mordekai, na kumpandisha juu ya farasi akamtembeza katika barabara za mji akitangaza mbele yake, “Hivi ndivyo anavyofanyiwa mtu ambaye mfalme anapenda kumheshimu!”
12 Потом се врати Мардохеј на врата царева, а Аман брже отиде кући својој жалостан и покривене главе.
Baadaye Mordekai akarudi kwenye lango la mfalme. Lakini Hamani akakimbia nyumbani, akiwa amejaa huzuni,
13 И приповеди Аман Сереси, жени својој и свим пријатељима својим све што му се догоди. Тада му рекоше мудраци његови и Сереса жена његова: Кад је од јудејског семена Мардохеј пред којим си почео падати, нећеш му одолети, него ћеш пасти пред њим.
naye akamweleza Zereshi mkewe pamoja na rafiki zake wote kila kitu ambacho kimempata. Washauri wake pamoja na Zereshi mkewe wakamwambia, “Kwa kuwa Mordekai, ambaye mbele yake umeanza kuanguka ni wa asili ya Kiyahudi, huwezi kushindana naye; kwa hakika utaanguka!”
14 И док они још говораху с њим, дођоше дворани цареви и брже одведоше Амана на обед који зготови Јестира.
Walipokuwa bado wakizungumza naye, matowashi wa mfalme wakaja na kumharakisha Hamani aende katika karamu aliyoiandaa Esta.

< Књига о Јестири 6 >