< 2 Књига о царевима 7 >
1 Тада рече Јелисије: Чујте реч Господњу: Тако вели Господ: Сутра ће у ово доба бити мера белог брашна за сикал а две мере јечма за сикал на вратима самаријским.
Elisha akasema, “Sikiliza neno la Yahwe. Hivi ndivyo Yahwe asemavyo: “Kesho mda kama huu kipimo cha unga mzuri kitauzwa kwa shekeli, na vipimo viwili vya shayiri kwa shekeli, kwenye lango la Samaria.””
2 А војвода на ког се руку цар наслањаше, одговори човеку Божијем и рече: Да Господ начини окна на небу, би ли могло то бити? А Јелисије рече: Ето, ти ћеш видети својим очима, али га нећеш јести.
Basi yule nahodha ambaye alikuwa akitegemea mkono wake amemjibu mtu wa Mungu, na kusema, “Ona, hata kama Yahwe ataweka madirisha mbinguni, je jambo hili linawezekana?” Elisha akajibu, “Ona, utaona ikitokea kwa macho yako mwenyewe, lakini hutakula chochote katika hilo.”
3 А беху на вратима четири човека губава, и рекоше један другом: Што седимо овде да умремо?
Basi, kulikuwa na watu wanne wenye ukoma upande wa nje wa lango la mji. Wakaambizana kila mmoja, “Kwa nini tukae hapa hadi hapo tutakapokufa?
4 Да кажемо: Да уђемо у град, глад је у граду, те ћемо умрети онде: а да останемо овде, опет ћемо умрети; него хајде да ускочимо у логор сирски: ако нас оставе у животу, остаћемо у животу, ако ли нас погубе, погинућемо.
Kama tukisema kwamba tutaenda kwenye ule mji, maana mjini kuna njaa, na tutakufa hapo. Lakini kama tukiendelea kukaa hapa, bado tutakufa. Sawa, njoni, twendeni kwenye lile jeshi la Washami. Kama wakitupa uhai, tutakuwa hai, na kama wakituua, tutakufa tu.”
5 И тако, уставши у сумрак пођоше у логор сирски, и дођоше до краја логора сирског, и гле, не беше никога.
Hivyo wakaamka asubuhi kabla giza halijaisha kwenda kwenye kambi ya Washami; Wakati walipofika sehemu ya mwanzo wa kambi, hapakuwa na mtu hapo.
6 Јер Господ учини те се у логору сирском чу лупа кола и коња и велике војске, те рекоше један другом: Ето цар је Израиљев најмио на нас цареве хетејске и цареве мисирске да ударе на нас.
Kwa kuwa Bwana alikuwa ameunda jeshi la Washami kusikia sauti ya magari ya farasi, na sauti za farasi-sauti za jeshi jingine kubwa, ndipo wakaambizana kila mmoja wao, “Yule mfalme wa Israeli amekodisha wafalme wa Wahiti na Wamisri waje wapigane dhidi yetu.”
7 Те се подигоше и побегоше по мраку оставивши шаторе своје и коње своје и магарце своје и логор као што је био, и побегоше ради душа својих.
Hivyo wale maaskari wakaondoka kungali giza; waliacha mahema yao, punda zao, na kambi kama ilivyokuwa, na kukimbia kwa ajili ya maisha yao.
8 Па кад дођоше губавци на крај логора, уђоше у један шатор, и наједоше се и напише се, и покупише из њега сребро и злато и хаљине, и отидоше те сакрише. Па се вратише и уђоше у други шатор, па покупише и из њега, и отидоше те сакрише.
Wakati wale watu wenye ukoma walipokuja sehemu ya mwisho wa kambi, wakaenda kwenye hema moja na kula na kunywa, na kubeba fedha na dhahabu na nguo, na kwenda na kuzificha. Wakarudi na kuingia kwenye hema nyingine na kubeba kutoka pale pia, na kwenda kuvificha.
9 Тада рекоше међу собом: Не радимо добро; овај је дан дан добрих гласова; а ми ћутимо. Ако ушчекамо до зоре, стигнуће нас безакоње. Зато сада хајде да идемо и јавимо дому царевом.
Basi, wakaambizana kila mmoja, “Hatufanyi sahihi. Siku hii ni siku ya habari njema, lakini tunanyamaza kimya kuhusu hili. Kama tukisubiri mpaka kutakapopambazuka, adhabu itakuwa juu yetu. Basi, njoni, twendeni na kuwaambia nyumba ya mfalme.”
10 И тако дошавши дозваше вратара градског и казаше му говорећи: Идосмо у логор сирски, и гле, нема никога, ни гласа човечијег; него коњи повезани и магарци повезани, и шатори како су били.
Kwa hiyo wakaenda na kuwaita mabawabu wa mji. Wakawaambia, wakisema, “Tumeenda kambi ya Washami, lakini hapakuwa na mtu pale, hakuna sauti ya mtu yeyote, lakini kulikuwa na farasi wamefungwa, na punda wamefungwa, na zile hema kama zilivyokuwa.”
11 А он дозва остале вратаре, и јавише у дом царев.
Ndipo mabawabu wakatoa habari, ndipo wakaambiwa ndani ya nyumba ya mfalme.
12 А цар уставши по ноћи рече слугама својим: Казаћу вам сада шта су нам учинили Сирци. Знају да гладујемо, зато отидоше из логора да се сакрију у пољу говорећи: Кад изиђу из града, похватаћемо их живе и ући ћемо у град.
Basi yule mfalme akainuka usiku nakusema kwa watumishi wake, “Nitawaambia sasa kile ambacho Washami walichotufanyia. Wanajua kwamba tunanjaa, hivyo wameondoka kwenye kambi kwenda kujificha kwenye mashamba. Wanasema, 'Wakati watakapotoka mjini, tutawakamata wakiwa hai, na kuingia mjini.”
13 А један од слуга његових одговори и рече: Да узмемо пет осталих коња што још има у граду; гле, то је све што је остало од мноштва коња израиљских; то је све што није изгинуло од мноштва коња израиљских; да пошаљемо да видимо.
Mmoja wa wale watumishi wa mfalme akajibu na kusema, “Nakuomba, ngoja baadhi ya watu wachukue farasi watano wale waliosalia, ambao wamebaki kwenye mji. Wako kama mkutano wote wa Israeli waliobaki-wengi wamekufa; ngoja tuwatume na tuone.”
14 И узеше два коња колска, које посла цар за војском сирском, говорећи: Идите и видите.
Hivyo wakachukua magari mawili ya farasi pamoja na farasi, na mfalme akawatuma baada ya jeshi la Washami, akisema, “Enendeni mkaone.”
15 И отидоше за њима до Јордана, и гле, по свему путу беше пуно хаљина и судова, које побацаше Сирци у хитњи. Тада се вратише посланици и јавише цару.
Wakawafuata kwenda Yordani, na barabara zote zilikuwa zimejaa na vifaa ambavyo Washami walivitupa wapate kukimbia haraka. Kwa hiyo wale wajumbe wakarudi na kumwambia mfalme.
16 Тада изађе народ и разграби логор сирски; и беше мера белог брашна за сикал, и две мере јечма за сикал, по речи Господњој.
Wale watu wakatoka nje na wakaziteka nyara zile kambi za Washami. Hivyo kipimo cha unga mzuri uliuzwa kwa shekeli moja, na vipimo viwili vya shayiri kwa shekeli moja, kama vile ambavyo neno la Yahwe lilivyosema.
17 И цар постави на врата оног војводу, на ког се руку наслањаше, а народ га изгази на вратима, те умре, по речи човека Божијег, коју рече кад цар к њему дође.
Naye mfalme alimwagiza yule nahodha ambaye alitegemea mkono wake kuwa mkuu wa lango, na watu wakamkanyaga chini langoni. Alikufa kama mtu wa Mungu alivyosema, ambaye ameongea wakati yule mfalme alipomshukia.
18 Јер кад човек Божји рече цару: Две мере јечма за сикал и мера белог брашна за сикал биће сутра у ово доба на вратима самаријским,
Basi ikatokea kama yule mtu wa Mungu alivyosema kwa mfalme akisema, “Mda kama huu kwenye lango la Samaria, vipimo viwili vya shayiri vitapatikana kwa shekeli, na kipimo cha unga mzuri kwa shekeli.”
19 А онај војвода одговори човеку Божијем говорећи: Да Господ начини окна на небу, би ли могло бити шта кажеш? А Јелисије рече: Ти ћеш видети својим очима, али га нећеш јести.
Yule nahodha alimjibu yule mtu wa Mungu na kusema, “Tazama, hata kama Yahwe angefanya madirisha mbinguni, je hiki kitu kingeweza kutokea” Elisha akasema, “Tazama, utaona kikitokea kwa macho yako mwenyewe, lakini hutakula chochote katika hicho.”
20 И зби му се то, јер га изгази народ на вратима, те умре.
Hivyo ndivyo haswa kilichompata, kwa kuwa watu wakamkanyaga kwenye lango, na kufa.