< 2 Коринћанима 1 >

1 Од Павла, апостола Исуса Христа по вољи Божијој и брата Тимотија цркви Божјој у Коринту, са свима светима који су у свој Ахаји:
Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, na Timotheo ndugu yetu, kwa kanisa la Mungu lililoko Korintho, na kwa waumini wote walioko katika mkoa wote wa Akaya.
2 Благодат вам и мир од Бога Оца нашег, и Господа Исуса Христа.
Neema na iwe kwenu na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo.
3 Благословен Бог и Отац Господа нашег Исуса Христа, Отац милости и Бог сваке утехе,
Na asifiwe Mungu na Baba wa Bwana Yesu Kristo. Yeye ni Baba wa rehema na Mungu wa faraja yote.
4 Који нас утешава у свакој невољи нашој, да бисмо могли утешити оне који су у свакој невољи утехом којом нас саме Бог утешава.
Mungu hutufariji sisi katika mateso yetu yote, ili kwamba tuweze kuwafariji wale walio katika mateso. Tunawafariji wengine kwa faraja ileile ambayo Mungu alitumia kutufariji sisi.
5 Јер како се страдања Христова умножавају на нама тако се и утеха наша умножава кроз Христа.
Kwa kuwa kama vile mateso ya Kristo huongezeka kwa ajili yetu, vile vile faraja yetu huongezeka kupitia Kristo.
6 Ако ли смо, пак, у невољи, за вашу је утеху и спасење, које постаје у трпљењу тих истих страдања која и ми подносимо.
Lakini kama tunataabishwa, ni kwa ajili ya faraja yenu na wokovu wenu. Na kama tunafarijiwa, ni kwa ajili ya faraja yenu. Faraja yenu inafanya kazi kikamilifu mnaposhiriki mateso kwa uvumilivu kama sisi pia tunavyoteseka.
7 И надање наше тврдо је за вас. Ако ли се утешавамо, за вашу је утеху и спасење, знајући да као што сте заједничари у нашем страдању тако и у утеси.
Na ujasiri wetu juu yenu ni thabiti. Tunajua kwamba kama vile ambavyo mnashiriki mateso, vile vile mnashiriki faraja.
8 Јер вам нећемо, браћо, затајити невољу нашу која нам се догоди у Азији кад нам је било претешко и преко силе тако да се нисмо надали ни живети;
Kwa kuwa hatutaki ninyi muwe wajinga, ndugu, kuhusu matatizo tuliyokuwa nayo huko Asia. Tulionewa zaidi ya vile tuwezavyo kubeba, kana kwamba hatukuwa hata na tumaini la kuishi tena.
9 Него сами у себи расудисмо да нам ваља помрети, да се већ не уздасмо у себе него у Бога који подиже мртве.
Kweli, tulikuwa na hukumu ya kifo juu yetu. Lakini hiyo ilikuwa ni kutufanya sisi tusiweke tumaini juu yetu wenyewe, badala yake tuweke tumaini katika Mungu, afufuaye wafu.
10 Који нас је од толике смрти избавио, и избавља; и у Њега се уздамо да ће нас и још избавити,
Alituokoa sisi kutoka hayo maafa ya mauti, na atatuokoa tena. Tumeweka ujasiri wetu katika yeye ya kwamba atatuokoa tena.
11 С помоћу и ваше молитве за нас; да многи људи многу хвалу дају Богу за даре који су нама дати вас ради.
Atafanya hivi kama vile ninyi pia mtusaidiavyo kwa maombi yenu. Hivyo wengi watatoa shukurani kwa niaba yetu kwa ajili ya upendeleo wa neema tuliyopewa sisi kupitia maombi ya wengi.
12 Јер је наша слава ово: сведочанство савести наше да смо у простоти и чистоти Божјој, а не у мудрости телесној него по благодати Божјој живели на свету, а особито међу вама.
Tunajivunia hili: ushuhuda wa dhamiri yetu. Kwa kuwa ni katika nia safi na usafi wa Mungu kwamba tulienenda wenyewe katika dunia. Tumefanya hivi hasa na ninyi, na sio katika hekima ya ulimwengu, lakini badala yake ni katika neema ya Mungu.
13 Јер вам друго не пишемо него шта читате и разумевате. А надам се да ћете и до краја разумети.
Hatuwaandikii chochote ambacho hamwezi kukisoma au kuelewa. Ninaujasiri
14 Као што неки и разуместе да смо вам слава као и ви нама за дан Господа нашег Исуса Христа.
kwamba kwa sehemu mumekwisha kutuelewa. Na ninaujasiri kwamba katika siku ya Bwana Yesu tutakuwa sababu yenu kwa ajili ya kiburi chenu, kama vile mtakavyokuwa kwetu.
15 И у овом поуздању хтедох да вам дођем пре, да другу благодат имате;
Kwa sababu nilikuwa na ujasiri kuhusu hili, nilitaka kuja kwenu kwanza, ili kwamba muweze kupokea faida ya kutembelewa mara mbili.
16 И кроз вас да дођем у Македонију, и опет из Македоније да дођем к вама, и ви да ме пратите у Јудеју.
Nilikuwa napanga kuwatembelea wakati nikielekea Makedonia. Tena nilitaka kuwatembelea tena wakati nikirudi kutoka Makedonia, na kisha ninyi kunituma mimi wakati nikielekea Uyahudi.
17 Али кад сам ово хтео, еда ли сам дакле шта непристојно чинио? Или што се накањујем, да се по телу накањујем, да буде у мене да да, а не не?
Nilipokuwa nafikiria namna hii, je, nilikuwa nasitasita? Je ninapanga mambo kulingana na viwango vya kibinadamu, ili kwamba niseme “Ndiyo, ndiyo” na “Hapana, hapana” kwa wakati mmoja?
18 Али је Бог веран, те реч наша к вама не би да и не.
Lakini kama vile Mungu alivyo mwaminifu, hatusemi vyote “Ndiyo” na “Hapana.”
19 Јер Син Божји Исус Христос, ког ми вама приповедасмо ја и Силван и Тимотије, не би да и не, него у Њему би да.
Kwa kuwa mwana wa Mungu, Yesu Kristo, ambaye Silvano, Timotheo na mimi tulimtangaza miongoni mwenu, siyo “Ndiyo” na “Hapana.” Badala yake, yeye wakati wote ni “Ndiyo.”
20 Јер колико је обећања Божијих, у Њему су да, и у Њему амин, Богу на славу кроз нас.
Kwa kuwa ahadi zote za Mungu ni “Ndiyo” katika yeye. Hivyo pia kupitia yeye tunasema “Amina” kwa utukufu wa Mungu.
21 А Бог је који нас утврди с вама у Христу, и помаза нас,
Sasa ni Mungu ambaye hututhibitisha sisi pamoja nanyi katika Kristo, na alitutuma sisi.
22 Који нас и запечати, и даде залог Духа у срца наша.
Aliweka muhuri juu yetu na alitupa Roho katika mioyo yetu kama dhamana ya kile ambacho angetupatia baadaye.
23 А ја за сведока Бога призивам на своју душу да штедећи вас не дођох више у Коринт.
Badala yake, namsihi Mungu kunishuhudia mimi kwamba sababu iliyonifanya nisije Korintho ni kwamba nisiwalemee ninyi.
24 Не као да ми владамо вером вашом, него смо помагачи ваше радости; јер у вери стојите.
Hii sio kwa sababu tunajaribu kudhibiti jinsi imani yenu inavyotakiwa kuwa. Badala yake, tunafanya pamoja nanyi kwa ajili ya furaha yenu, kama mnavyosimama katika imani yenu.

< 2 Коринћанима 1 >