< 2 Књига дневника 33 >

1 Дванаест година беше Манасији кад поче царовати, и царова педесет и пет година у Јерусалиму.
Manase alikuwa na umri wa miaka kumi na mbili alipoanza kutawala, alitawala miaka hamsini na tano katika Yerusalemu.
2 А чињаше што је зло пред Господом по гадним делима оних народа које одагна Господ испред синова Израиљевих.
Akafanya yalikuwa uovu katika macho ya Yahwe, kama yalivyo mambo ya machukizo ya mataifa ambao Yahwe alikuwa amewafukuza mbele ya watu wa Israeli.
3 Јер опет погради висине, које беше раскопао Језекија отац његов, и подиже олтаре Валима, и начини лугове, и клањаше се свој војсци небеској и служаше јој.
Kwa maana alizijenga tena sehemu za juu ambazo baba yake Hezekia alikuwa amezibomoa, na akajenga madhabahu kwa ajili ya mabaali, akatengeneza sanaamu za Maashera, na akaziinamia chini nyota zote za mbinguni na kuziabudu.
4 Начини олтаре и у дому Господњем, за који беше рекао Господ: У Јерусалиму ће бити име моје довека.
Manase akajenga madhbahu za kipagani katika nyumba ya Yahwe, ingawa Yahwe alikuwa amemwamuru, “Ni katika Yerusalemu ambamo jina langu litawekwa milele”.
5 Начини олтаре свој војсци небеској у два трема дома Господњег.
Alijenga madhabahu kwa ajili ya nyota zote za mbinguni katika vile viwanja viwili vya nyumba ya Yahwe.
6 И проводи синове своје кроз огањ у долини сина Еномовог, и гледаше на времена и гаташе и врачаше, и уреди оне што се договарају с духовима и врачаре, и чињаше врло много шта је зло пред Господом гневећи Га.
Katika bonde la Beni Hinomu akawaweka wanaye katika moto. Akafanya misemo ya ubashiri, na uchawi, akassoma utabiri; akashauriana na wale waliozungumza na wafu na wale waliozungumza na na roho. Akafanaya maaovu mengi katika mcho ya Yahwe na alimfanya Mungu akasirike.
7 И постави лик резан који начини у дому Божјем, за који беше рекао Бог Давиду и Соломуну сину његовом: У овом дому и у Јерусалиму, који изабрах између свих племена Израиљевих, наместићу име своје довека.
Ile sanamu ya Maashera aliyokuwa amefanya, akaipeleka katika nyumba ya Mungu. Ni kuhusu nyumba hii ambayo Mungu alikuwa amesema kwa Daudi na Selemani mwanaye; alikuwa amesema, “Ni katika nyumba hii na katika Yerusalemu, ambao nimeuchangua kutoka makabila yote ya Israeli, kwamba nitaliweka jina langu milele.
8 И нећу више кренути ноге синовима Израиљевим из земље коју сам одредио оцима вашим, ако само уздрже и устворе све што сам им заповедио преко Мојсија, сав закон и уредбе и судове.
Sitawaondoa tena watu wa Israeli katina nchi hii ambayo niliitoa kwa babu zao, ikiwa tu watakuwa makini katika kuyashika yote niliyowaamuru, kuzishika sheria zangu, amri zangu, na sheria zangu nilizowapa kupitia Musa.”
9 Али Манасија заведе Јуду и Јерусалим, те чинише горе него народи које истреби Господ испред синова Израиљевих.
Manase akawaongoza Yuda na wakaaji wa Yerusalemu hata kufanya uovu zaidi kuliko hata watu wa mataifa ambao Yahwe alikuwa amewateketeza mbele za Israeli.
10 И Господ говораше Манасији и народу његовом, али не хтеше слушати.
Yahwe akasema kwa Manase, na kwa watu wake wote, lakini hawakumsikiliza.
11 Зато доведе Господ на њих главаре од војске цара асирског, и ухватише Манасију у трњу, и свезавши га у двоје вериге бронзане одведоше га у Вавилон.
Kwa hiyo Yahwe akaleta juu yao maamri jeshsi wa jeshi la Ashuru, ambao walimchukua Manase katika minyonyoro, wakamfunga kwa pingu, na wakampeleka Babeli.
12 И кад беше у невољи, мољаше се Господу Богу свом, и понизи се веома пред Богом отаца својих.
Manase alipokuwa katika dhika, alimuomba Yahwe, Mungu wake, na akajinyenyekesha sana mbele za Mungu wa babu zake.
13 И молећи се умоли Му се, те услиши молитву његову и поврати га у Јерусалим на царство његово. Тада позна Манасија да је Господ Бог.
Akaomba kwake; na Mungu akamsikiliza, na Mungu akasikia kuomba kwake na akamrudisha Yerusalemu, katika ufalme wake. Kisha Manase akafahamu kwamba Yahwe alikuwa Mungu.
14 А после тога озида зид иза града Давидовог са запада Гиону, од самог потока па до рибљих врата и око Офила, и изведе га врло високо; и постави војводе по свим тврдим градовима Јудиним.
Baada ya hayo, manase akajenga ukuta wa nje ya mji wa Daudi, upande wa magharibi wa Gihoni, katika bonde, hadi kwenye lango la Samaki. Akauzungushia mlima wa Ofeli na akaupandisha ukuta hadi usawa mrefu sana. Akaweka maamri jeshi jasiri katika ngome zote za miji ya Yuda.
15 И изнесе из дома Господњег богове туђе и лик и све олтаре које беше начинио на гори дома Господњег и у Јерусалиму, и баци иза града.
Akaipeleka mbali miungu yote ya kigeni, akaondoa sanamu zote kwenye nyumba ya Yahwe, na madhabahu zote ambazo alikuwa amejenga juu ya mlima wa nyumba ya Yahwe na katika Yerusalemu, na kuvitupa nje ya mji.
16 Па оправи олтар Господњи и принесе на њему жртве захвалне и у славу, и заповеди Јудејцима да служе Господу Богу Израиљевом.
Akaijenga tena madhabahu ya Yahwe na juu yake akatoa sadaka za amani na sadaka za shukrani; akamwamuru Yuda amtumikie Yahwe, Mungu wa Israeli.
17 Али народ још приношаше жртве на висинама, али само Господу Богу свом.
Hata hivyo watu bado walitoa sadaka mahali pa sehemu za juu, lakini kwa Yahwe, Mungu wao pekee.
18 А остала дела Манасијина и молитва његова Богу његовом и речи које му говорише видеоци у име Господа Бога Израиљевог, то је све у књизи о царевима Израиљевим.
Katika mambo mengine kuhusu Manase, maombi yake kwa Mungu wake, na maneno ya waonaji ambao walisema kwake katika jina la Yahwe, Mungu wa Israeli, tazama, yameandikwa miongoni mwa matendo ya wafalme wa Israeli.
19 А молитва његова и како се умолио, и сви греси његови и преступи, и места где је поградио висине и подигао лугове и ликове резане пре него се понизи, то је све записано у књигама пророчким.
Katika matukio hayo kuna historia ya maombi yake, na jinsi Mungu alivyoguswa na maomabi hayo. Pia kuna kumbu kumbu ya dhambi zake zote na makosa yake, na sehemu ambako alikuwa amejenga sehemu za juu na kuzisimamisha Maashera na sanamu za kuchonga, kambla ya kujinyenyekesha mwenyewe — na imeandikwa kuhusu hayo katika tarehe ya waonaji. (Maandishi ya kale yanasema hivi, “tarehe ya Hozai,” ambayo ni maandishi ya kifungu asili. Lakini matoleo mengi ya kisasa yamesahihisha na kusomeka “tarehe ya waonaj” Pia, matoleo machache ya kisasa yanasema “tarehe ya waonaji”.).
20 И почину Манасија код отаца својих, и погребоше га у дому његовом. А на његово се место зацари Амон, син његов.
Kwa hiyo Manase akalala na babu zake, na wakamzika katika nyumba yake mwenyewe. Amoni, mwaye, akawa mfalme katika nafasi yake.
21 Двадесет и две године имаше Амон кад поче царовати, и царова две године у Јерусалиму.
Amoni alikuwa na umri wa miaka ishirini na mbili alipoanza kutawala; alitawala miaka miwili katika Yerusalemu.
22 И чињаше што је зло пред Господом као што је чинио Манасија, отац му; јер свим ликовима резаним, које начини Манасија, отац његов, приношаше Амон жртве и служаше им.
Akafanya yaliyokuwa uovu katika macho ya Yaahwe, kama Manase, baba yake, alivyofanya. Amoni alitoa sadaka katika sanamau zote za kuchonga ambazo alitengeneza Manase baba yake, na aliziabudu.
23 Али се не понизи пред Господом, као што се понизи Манасија отац његов; него исти Амон још више грешаше.
Hakujinyenyekesha mbele za Yahwe, kama baba yake Manase alivyokuwa amefanya. Badala yake, Amoni huyu huyu alifanya makosa zaidi na zaidi.
24 И побунише се на њ слуге његове, и убише га у кући његовој.
Watumishi wake wakapanga njama wa zidi yake na wakamua katika nyumba yake mwenyewe.
25 Тада поби народ земаљски све који се беху побунили на цара Амона, и зацари народ земаљски Јосију, сина његовог на његово место.
Lakini watu wa nchi wakawaua wote waliofanya njama zidi ya Mfalme Amoni, na wakamfanya Yosia, mwanaye, mfalme katika nafasi yake.

< 2 Књига дневника 33 >