< 2 Књига дневника 18 >
1 И Јосафат имајући велико благо и славу, опријатељи се с Ахавом.
Sasa Yehoshafati alikauwa na utajiri mwingi na heshima kubwa; alifanya undugu na Ahabu mmoja wa watu wa familia yake akamuo binti yake.
2 И после неколико година отиде к Ахаву у Самарију; и накла му Ахав много оваца и волова и народу који беше с њим, и наговараше га да пође на Рамот галадски.
Baada ya miaka kadhaa, akashsuka chini kwa Ahabu huko Samaria. Ahabu akachinja kondoo na ngo'mbe wengi kwa ajili ya yake na watu waliokuwa pamoja naye. Ahabu pia akamshawishi kuivamia Ramothi-gileadi pamoja naye.
3 И рече Ахав цар Израиљев Јосафату цару Јудином: Хоћеш ли ићи са мном на Рамот галадски? А он рече: Ја као ти, народ мој као твој народ; хоћемо с тобом на војску.
Ahabu, mfalme wa Israeli, akamwambia Yehoshafati, mfalme wa Yuda, “Utakwenda Ramothi-gileadi pamoja nami?” Yehoshafati akamjibu, “Mimi ni kama wewe, na watu wangu ni kama watu wako; tutakuwa pamoja nawe katika vita.”
4 Још рече Јосафат цару Израиљевом: Питај данас шта ће Господ рећи.
Yehoshafati akamwambia mfalme wa Israeli, Tafadhali litafute neno la Yahwe kwanza kwa ajili ya jibu lako”
5 Тада сазва цар Израиљев пророке своје, четири стотине људи, и рече им: Хоћемо ли ићи на војску на Рамот галадски, или ћу се оканити? А они рекоше: Иди, јер ће га Господ дати у руке цару.
Kisha mfale wa Israeli akawakusanya manabii pamoja, wanauame mia nne, na akasema akwao, Tutaenda vitani Ramothi-gileadi, au nisiende?” Wakasema, “Vamia, kwa maana Mungu ataitia mkononi mwa mfalme.”
6 А Јосафат рече: Има ли ту још који пророк Господњи да га питамо?
Lakini Yehoshafati akasema, “Hakuna nabii mwingine hapa wa Yahwe ambaye kwake tunapaswa kutafuta ushauri?”
7 А цар рече Јосафату: Има још један човек преко ког бисмо могли упитати Господа; али ја мрзим на њ, јер ми не прориче добра него свагда зло; то је Михеја син Јемлин. А Јосафат рече: Нека цар не говори тако.
Mfale wa Israeli akamwambia Yehoshafati, Bado kuna mtu mmoja amabaye kwake lazima tuutafute ushauri wa Yahwe, Mikaya mwana wa Imla, lakini namchukia kwa sababu yeye huwa hatabiri mema kamwe kuhusu mimi, bali kila mara maovu,” Lakini Yehoshafati akasema, “Mfalme hapaswi kusema hivyo.”
8 Тада цар Израиљев дозва једног дворанина, и рече му: Брже доведи Михеју, сина Јемлиног.
Kisha mfalme wa Israeli akamwita akida na kusema, Haraka mlete Mikaya mwana wa Imla.”
9 А цар Израиљев и Јосафат, цар Јудин сеђаху, сваки на свом престолу обучени у царске хаљине, сеђаху на пољани код врата самаријских, и сви пророци пророковаху пред њима.
Sasa Ahabu mfalme wa Israeli na Yehoshafati mfalme wa Yuda walikuwa wamekaa kila mmoja katika kiti cha enzi, wamevalia kanzu zao, katika sehemu ya uwazi katika maingilia ya lango la Samaria, na manabii wote walikuwa wakitabairi mbele zao.
10 И Седекија син Хананин начини себи гвоздене рогове, и рече: Овако вели Господ: Овим ћеш бити Сирце докле их не истребиш.
Zedekia mwana wa Kenaani akajitengenezea pembe za chuma na kusema, Yahwe anasema hivi: Kwa kutumia hizi pembe mtawasukuma Waaramu hadi waangamie.”
11 Тако и сви пророци пророковаху говорећи: Иди на Рамот галадски, и бићеш срећан, јер ће га Господ предати цару у руке.
Manabii wote wakatabiri kitu kile kile, wakisema, “Vamia Raamothi-gleadi na shinda. kwa maana Yahwe ameutia kwenye mkono wa mfalme.”
12 А посланик који отиде да дозове Михеју рече му говорећи: Ево пророци проричу сви једним гласом добро цару; нека и твоја реч буде као њихова, и говори добро.
Mjumbe aliyeenda kumuita Mikaya akasema kwake, akisema, “Sasa angalia, maneno ya manabii yanatangaza mambo mema kwa ajili ya mfalme kwa kinywa kimoja. Tafadhali maneno yako yawe kama maneno ya mmoja wao na sema mambo mema.”
13 А Михеја рече: Тако да је жив Господ, говорићу оно што рече Бог мој.
Mikaya akajibu, “Kama Yahwe aishivyo, mimi nitasema kile mbacho Mungu anasema.”
14 И кад дође к цару, рече му цар: Михеја! Хоћемо ли ићи на војску на Рамот галадски, или ћу се оканити? А он рече: Идите, бићете срећни, и даће вам се у руке.
Alipokuja kwa mfalme, mfamle akamwambaia, “Mikaya, tutaenda Ramothi -gileadi kwa ajili ya vita, au la?” Mikaya akamjibu, “Vamia na utashinda! kwa maana utakuwa ushinda mkuu.”
15 А цар му рече: Колико ћу те пута заклањати да ми не говориш него истину у име Господње?
Kisha mfalme akasema kwake, “Ni mara ngapi ninapaswa kukutaka kuapa kutoniambia kitu chochote sispokuwa kweli katika jina la Yahwe?
16 Тада рече: Видео сам сав народ Израиљев разасут по планинама као овце које немају пастира, јер рече Господ: Ови немају господара, нека се врате свак својој кући с миром.
Kwa hiyo Mikaya akasema, “Niliwaoana Israeli wametawanyika ktika mlima, kama kondoo wasio na mchungaji, na Yahwe akasema, hawa hawana mchungaji. Ebu kila mtu arudi nyumbani kwake kwa amani.”
17 Тада рече цар Израиљев Јосафату: Нисам ли ти рекао да ми неће пророковати добра него зло?
Kwa hiyo mfalme wa Israeli akamwambia Yehoshafati, “Sikukuambia kwamba asingeweza kutabiri mema juu yangu, bali majanga tu?
18 А Михеја рече: Зато чујте реч Господњу: Видех Господа где седи на престолу свом, а сва војска небеска стајаше му с десне и с леве стране;
Kisha Mikaya akasema, “Kwa hiyo ninyi nyote mnapashwa kulisikia neno la Yahwe: Nilimuon Yahwe amekaa juu ya kiti chake cha enzi, na majeshi yote ya mbinguni yalikauwa yamekaa mkono wake wa kulia na mkono wake wa kushoto.
19 И Господ рече: Ко ће преварити Ахава цара Израиљевог да отиде и падне код Рамота галадског? Још рече: Један рече ово а други оно.
Yahwe akasema, Ni nani atakayemrubuni Ahabu, mfalme wa Israeli, ili kwamba aende na kuanguka huko Ramothi-gileadi?' Mmoja alisema hivi na mwingine hivi.
20 Тада изиђе један дух, и ставши пред Господа рече: Ја ћу га преварити. А Господ му рече: Како?
Kisha roho ikaja moja kwa maja na kusimama mbele ya Yahwe na kusema, 'Nitamrubuni.' Yahwe akamwambia, 'Kivipi?'
21 Одговори: Изићи ћу и бићу лажљив дух у устима свих пророка његових. А Господ му рече: Преварићеш га и надвладаћеш, иди учини тако.
Roho ikajibu, “nitatoka nje na nitakuwa roho ya uongo katika vinywa vya manabii wake wote.' Yahwe akajibu, 'utamrubuni, na pia utafanikiwa. nenda sasa na fanya hivyo.'
22 Зато сада ето, Господ је метнуо лажљив дух у уста тим пророцима твојим; а Господ је изрекао зло по те.
Sasa ona, Yahwe ameweka roho ya uongo katika midomo ya manabii wako hawa, na Yahwe ametangaza majanga kwa ajili yako.”
23 Тада приступи Седекија син Хананин, и удари Михеју по образу говорећи: Којим је путем отишао дух Господњи од мене да говори с тобом?
Kisha Zedekia mwana wa Kenaana, akaja, akampiga kofi mika juu ya shavu, na kusema, “Kwa njia gani Roho wa Yahwe alitoka kwangu ili aseme nawe?”
24 А Михеја му рече: Ето, видећеш у онај дан кад отидеш у најтајнију клет да се сакријеш.
Mika akasema, Angalia, utalijua hilo katika siku hiyo, mtakapokimbia katika baadhi ya vyumba vya ndani kwa ajili ya kujificha.”
25 Тада цар Израиљев рече: Ухватите Михеју, и одведите га к Амону заповеднику градском и к Јоасу сину царевом.
Mfalme wa Israeli akasema kwa baadhi ya watumishi, “Enyi watu mkamateni Mikaya na mmpeleke hadi Amoni, mkuu wa mji na, na kwa Yoashi, mwanangu.
26 И реците им: Овако вели цар: Метните овог у тамницу, а дајите му по мало хлеба и по мало воде докле се не вратим у миру.
Nanyi mtamwambia, 'Mfalme anasema: Mweke gerezanai huyu mtu na umlishe kwa mkate kiogo tu na maji kidogo tu, mpaka nitakaporudi salama.”
27 А Михеја рече: Ако се вратиш у миру, није Господ говорио преко мене. Још рече: Чујте сви народи.
Kisha Mikaya akasema, “Kama utarudi salama, Yahwe hajasema nami.”Kisha akaongeza, “Sikiliza haya, enyi watu wote.”
28 И отиде цар Израиљев с Јосафатом царем Јудиним на Рамот галадски.
Kwa hiyo Ahabu, mfalme wa Israeli, na Yehoshafati, mfalme wa Yuda, wakaenda juu ya Ramothi-giledi.
29 И рече цар Израиљев Јосафату: Ја ћу се преобући кад пођем у бој, а ти обуци своје одело. И преобуче се цар Израиљев, и отидоше у бој.
Mfalme wa Israeli akamwamabia Yehoshafati, “Nitajibadilisha mwenyewe na kwenda vitani, lakini wewe vaa mavazi yako ya kifalme.” Kwa hiyo mfalame wa Israeli akajibalisha, na wakaenda vitani.
30 А цар сирски заповеди војводама од кола својих говорећи: Не ударајте ни на малог ни на великог, него на самог цара Израиљевог.
Sasa mfalme wa Aramu alikuwa amewaamuru maakida wa magari yake, akisema, Msiwavamie wanajeshsi wasio wa muhimu wala wanajeshsi muhimu. Badala yake, mvamieni mfalme wa Israeli pekee,”
31 А кад војводе од кола видеше Јосафата, рекоше: То је цар Израиљев. И окренуше се на њ да га ударе. Али Јосафат повика, и Господ му поможе, и одврати их Бог од њега.
Ikawa kwamba maakida wa magari walipomuona Yehoshafati wakasema, “Yule ni mfalme wa Israeli.” Wakageka kumzunguka wamvamie, lakini Yehoshafati akalia, na Yahwe akamsaidia. Mungu akawageza nyuma kutoka kwake.
32 Јер видевши војводе од кола да није цар Израиљев, одступише од њега.
Ikawa kwamba maakida wa magari walipoona ya kuwa hakuwa mfalme wa Israeli, wakarudi nyuma wasimfukuze.
33 А један застрели из лука нагоном и устрели цара Израиљевог где спуча оклоп. А он рече свом возачу: Савиј руком својом и извези ме из боја, јер сам рањен.
Lakini mtu mmoja akauvuta upinde wake kwa kubahatisha na kumpiga mfalme wa Israeli kati kati ya maungio ya mavazi yake. Kisha Ahabu akamwambia dereva wa gari lake, “Geuza nyuma na nitoe nje ya mapigano, kwa maana nimejeruhiwa vibaya sana.”
34 И бој би жесток оног дана, а цар Израиљев заоста на колима својим према Сирцима до вечера, и умре о сунчаном заходу.
Mapigano yakazidi kuwa makali siku hiyo, na mfalme wa israeli akashikiliwa katika gari lake kuwaelekea Waaramu hadi jioni. Muda jua lilipokaria kwenda chini, akafa.