< 1 Књига о царевима 20 >

1 А Вен-Адад цар сирски скупи војску своју, и имаше са собом тридесет и два цара, и коње и кола; и отишавши опколи Самарију и стаде је бити.
Beni Hadadi mfalme wa Shamu akakusanya jeshi lake lote pamoja. Kulikuwa na wafalme thelathini na mbili wasaidizi pamoja naye, na magari na farasi. Akapanda, akaihusuru Samaria na kupigana nayo.
2 И посла посланике к Ахаву, цару Израиљевом у град,
Akatuma wajumbe katika mji kwa Ahabu mfalme wa Israeli, akamwambia, “Beni Hadadi anasema hivi:
3 И поручи му: Овако вели Вен-Адад: Сребро твоје и злато твоје моје је, тако и жене твоје и твоји лепи синови моји су.
Fedha zako na dhahabu zako ni zangu. Pia wake zako na watoto, wale wazuri, sasa ni wangu.”
4 А цар Израиљев одговори и рече: Као што си рекао, господару мој царе, ја сам твој и све што имам.
Mfalme wa Israeli akajibu akasema, “Na iwe kama unavyosema, bwana wangu, mfalme. Mimi pamoja na vile nilivyo navyo ni mali yako.”
5 А посланици опет дођоше и рекоше: Овако вели Вен-Адад: Послао сам к теби и поручио: Сребро своје и злато своје и жене своје и синове своје да ми даш.
Wale wajumbe wakaja tena wakasema, “Beni Hadadi anasema hivi, 'Nilituma neno kwako nikisema kwamba lazima ukabidhi kwangu fedha zako, dhahabu zako, wake zako na watoto wako.
6 Зато ћу сутра у ово доба послати слуге своје к теби да прегледају кућу твоју и куће слуга твојих, и шта ти је год мило, они ће узети и однети.
Lakini kesho nitatuma watumishi wangu kwako wakati kama huu, nao wataichunguza nyumba yako na nyumba za watumishi wako. Nao watatia mikononi mwao na kukichukua kila wakipendacho machoni mwao.'”
7 Тада дозва цар Израиљев све старешине земаљске и рече: Гледајте и видите како овај тражи зло; јер посла к мени по мене и по синове моје и по сребро моје и по злато моје, и ја му не браних.
Ndipo mfalme wa Israeli akawaita wazee wote wa nchi pamoja akawaambia, ''Hebu angalieni jinsi huyu mtu anavyotafuta matatizo. Amenitumia ujumbe kwamba anataka kuchukua wake zangu, watoto wangu, fedha na dhahabu zangu, nami sijamkatalia.”
8 А све старешине и сав народ рекоше му: Не слушај га и не пристај.
Wazee wote na watu wote wakamwambia Ahabu, “Usimsikilize wala kukubaliana na matakwa yake.”
9 И рече посланицима Вен-Ададовим: Кажите цару господару мом: Што си прво поручио слузи свом све ћу учинити; али ово не могу учинити. Тако отидоше посланици и однесоше му тај одговор.
Ahabu akawaambia wajumbe wa Beni Hadadi, “Mwambieni bwana wangu mfalme kwamba, 'Ninakubaliana na kila kitu ambacho kwanza uliwatuma watumishi wako kufanya kwangu, lakini sikubaliani na matakwa yako haya ya pili.'” Wale watumishi wa Beni Hadadi wakaondoka wakampelekea mrejesho Beni Hadadi.
10 А Вен-Адад посла к њему и поручи: Тако да ми учине богови и тако додаду! Неће бити доста праха од Самарије да свему народу који иде за мном допадне по једна грст.
Naye Beni Hadadi akatuma tena majibu yake kwa Ahabu, akaisema, “basi miungu inifanyie hivyo na zaidi, kama hata mavumbi ya Samaria yatawatosheleza watu watu wote wanaonifuata kuchukua kila mmoja angalau konzi mkononi mwake.”
11 А цар Израиљев одговори и рече: Кажите: Нека се хвали онај који се опасује као онај који се распасује.
Naye mfalme wa Israeli akamjibu akisema, “Mwabieni Beni Hadadi, 'Hakuna abebaye silaha yake, atakayejivuna kama wakati wa kuishusha.”'
12 А кад он то чу пијући с царевима под шаторима, рече слугама својим: Дижите се. И дигоше се на град.
Beni Hadadi aliusikia ujumbe huu wakati alipokuwa akinywa, yeye na wafalme walikuwa pamoja naye waliokuwa kwenye mahema yao. Beni Hadadi akayaamuru majaeshi yake, “Jipangeni katika sehemu zenu kwa ajili ya vita.” Kwa hiyo wakajiandaa kivita ili kuuvamia mji.
13 Тада гле, приступи један пророк к Ахаву цару Израиљевом, и рече: Овако вели Господ: Видиш ли све ово мноштво? Ево, ја ћу ти га дати у руке данас да познаш да сам ја Господ.
Tazama, nabii akaja kwa Ahabu mfalme wa Israeli akasema, “BWANA asema, 'Je umeliona hili jeshi kubwa? Tazama, nitaliweka katika mkono wako leo, nawe utatambua kuwa mimi ni BWANA.'”
14 А Ахав рече: Преко кога? А он рече: Овако вели Господ: Преко момака кнезова земаљских. Опет рече: Ко ће заметнути бој? А он рече: Ти.
Naye Ahabu akajibu, ''kwa nani? BWANA akamjibu akasema, “kwa kuwatumia viijana wanaotumikia maliwali wa wilaya.” kisha Ahabu akasema, “Ni nani atakayepewa hiyo vita?' BWANA akamwambia, “wewe.”
15 Тада преброја момке кнезова земаљских, и беше их двеста и тридесет и два; после њих преброја сав народ, све синове Израиљеве, и беше их седам хиљада.
Ndipo Ahabu alipowataarifu wale vijna wanaowatumikia maliwali wa wilaya. Idadi yao ilikuwa 232. Baada yao aliwahesabu wanajeshi wote, jeshi lote la Israeli; idadi yao ilikuwa elfu saba.
16 И изиђоше у подне; а Вен-Адад пијући опи се у шаторима с тридесет и два цара који му дођоше у помоћ.
Nao wakatoka wakati wa adhuhuri. Naye Beni Hadadi alikuwa akinywa na kulewa hemani mwake, yeye na wale wafalme wadogo thelathini na mbili waliokuwa wakimsaidia.
17 И изиђоше прво момци кнезова земаљских; а Вен-Адад посла, и јавише му и рекоше: Изиђоше људи из Самарије.
Wale maakida vijana waliokuwa wakiwasaidia maliwali wa wilaya walitangulia kwanza. Kisha Beni Hadadi alitaarifiwa na wanaskauti aliokuwa amewatuma kwamaba, “kuna watu wanakuja kutoka Samaria.”
18 А он рече: Ако су изашли мира ради, похватајте их живе; ако су изашли на бој, похватајте их живе.
Beni Hadadi akasema, “wawe wamekuja kwa amani au kwa vita, wakamteni wakiwa hai.”
19 И изиђоше из града момци кнезова земаљских, и војска за њима.
Kwa hiyo wale vijvana wanaowatumikia maliwali wa wilaya wakaenda mjini na jeshi likawafuata kwa nyuma.
20 И сваки уби с којим се сукоби, те Сирци побегоше, а Израиљци их потераше. И Вен-Адад, цар сирски побеже на коњу с коњицима.
Kila mmoja akaua adui wake na wale washami wakakimbia. Israeli ikawashinda. Beni Hadadi mfalme wa Shamu akatoroka kwa farasi pamoja na wapanda farasi.
21 И цар Израиљев изиђе и поби коње и кола, и учини велик покољ међу Сирцима.
Kisha mfalme wa Israeli akaenda akawashambulia farasi na magari, na kuwaua washami kwa mauaji makubwa.
22 Потом дође пророк к цару Израиљевом и рече му: Иди, буди храбар; и промисли и види шта ћеш чинити, јер ће до године опет доћи цар сирски на те.
Yule nabii akaja kwa mfalme wa Israeli akamwambia, “Nenda, ukajiimarishe mwenyewe, uelewa na kupanga kile unachofanya, kwa sababu mwakani mfalme wa Shamu atapanda dhidi yako tena.”
23 А цару сирском рекоше слуге његове: Њихови су богови горски богови, зато нас надјачаше; него да се бијемо с њима у пољу, за цело ћемо их надјачати.
Wale watumishi wa mfalme wa Shamu wakamwambia, “Mungu wao ni mungu wa milimani. Hiyo ndiyo sababu walikuwa na nguvu kuliko tulivyokuwa. Lakini sasa hebu tupigane nao katika nchi tambarare, na kwa hakika tutakuwa na nguvu kuliko wao.
24 Учини дакле овако: Уклони те цареве с места њихових, и постави војводе место њих.
Na ufanye hivi: waondoe wafalme; mwondoe kila mmoja mahali pake ukaweke majemedari mahali pao.
25 Па скупи војску каква је била она која је изгинула, и коње какви су били они коњи, и кола као она кола; па да се побијемо с њима у пољу; зацело ћемо их надјачати. И послуша их, и учини тако.
Kisha ujihesabie jeshi kama lile jeshi ulilopoteza, farasi kwa farasi na gari kwa gari, nasi tutapigana nao katika nchi tambarare. Kwa hakika tutakuwa na nguvu kuliko walivyo.” Kwa hiyo Beni Hadadi akausikiliza ushauri huo naye akafanya kama alivyoshauriwa.
26 А кад прође година, Вен-Адад преброја Сирце, и пође у Афек да војује на Израиља.
Baada ya mwanzo wa mwaka mpya, Beni Hadadi akawahesabu Washami na akapanda Afeki kupigana na Israeli.
27 А синови Израиљеви пребројаше се, и понесавши хране изиђоше пред њих. И стадоше у логор синови Израиљеви према њима, као два мала стада коза, а Сирци беху прекрилили земљу.
Watu wa Israeli walikuwa wamehesabiwa na walikuwa wamejipanga kupigana nao. Watu wa Israeli wakafanya kambi mbele yao kama makundi mawili madogo ya mbuzi, lakini Washami wakaujaza upande wa nchi.
28 Тада дође човек Божји, и проговори цару Израиљевом, и рече: Овако вели Господ: Што Сирци рекоше да је Господ горски Бог а није Бог пољски, зато ћу ти дати у руке све ово мноштво велико да знате да сам ја Господ.
Ndipo mtu wa Mungu akaja karibu akaongea mfalme wa Israeli akamwambia, “BWANA anasema: 'Kwa kuwa Washami wamesema kuwa BWANA ni mungu wa milima, na wala si mungu wa mabondeni, nitaliweka hili jeshi kubwa mkononi mwako, nawe utajua kuwa mimi ni BWANA.'”
29 И стајаху у логору једни према другима седам дана; а седмог дана побише се, и синови Израиљеви побише Сираца сто хиљада пешака у један дан.
Kwa hiyo majeshi yakaweka kambi yakikabiliana kwa muda wa siku saba. Kisha siku ya saba vita vikaanza. Watu wa Israeli wakawaua Washami 100, 000 wanajeshi wa ardhini kwa siku moja.
30 А остали побегоше у град Афек, и паде зид на двадесет и седам хиљада људи који беху остали. И Вен-Адад побегав у град уђе у најтајнију клет.
Waliobaki wakakimbilia Afeki, mjini, na ule ukuta ukaanguka juu ya watu ishiriinina saba elfu waliobaki. Naye Beni Hadadi akakimbilia mjini. akaingia kwenye chumba cha ndani.
31 А слуге му рекоше: Ево чули смо да су цареви дома Израиљевог милостиви цареви; да вежемо кострет око себе и да метнемо узице себи око вратова, па да изиђемо пред цара Израиљевог, да ако остави у животу душу твоју.
Wale watumishi wa Beni Hadadi wakamwambia, “Tazama sasa, tumesikia kwamba wale wafalme wa nyumba ya Israeli ni wenye rehema. Tafadhali hebu tuvaeni magaunia viunoni mwetu na kamba vichwani mwetu, na twendeni kwa mfalme wa Israeli. Labda atakuokoa roho yako.”
32 И везаше кострет око себе, и метнуше узице себи око вратова, и дођоше к цару Израиљевом и рекоше: Слуга твој Вен-Адад вели: Остави у животу душу моју. А он рече: Је ли још жив? Брат ми је.
Kwa hiyo wakavaa magunia viunoni mwao na kujifunga kamba vichwani mwao na kisha wakaenda kwa mfalme wa Israeli wakamwambia, “Mtumishi wako Beni Hadadi, anasema, 'tafadhali niachie uhai wangu.” Ahabu akawaambia, “Je, bado yuko hai? Yeye ni ndugu yangu.”
33 А људи узеше то за добар знак, и одмах да би га ухватили за реч рекоше: Брат је твој Вен-Адад. А он рече: Идите, доведите га. Тада Вен-Адад изиђе к њему; а он га посади на своја кола.
Sasa wale watu walikuwa wakisikiliza ishara yeyote kutoka kwa Ahabu, kwa hiyo wakamjibu haraka, “Ndiyo ndugu yako Beni Hadadi bado yuko hai.” Ahabu akawaambia, “Nendeni mkamlete.” Ndipo Beni Hadadi alipokuja kwake, na Ahabu akamwacha aje kwenye gari lake.
34 Тада му рече Вен-Адад: Градове које је узео отац мој твом оцу, вратићу, и начини себи улице у Дамаску као што је отац мој учинио у Самарији. А он одговори: С том вером отпустићу те. И учини веру с њим, и отпусти га.
Beni Hadadi akamwambia Ahabu, “Nitakurudishia miji yako ambayo baba yangu alichukua toka kwa baba yako, na unaweza kutengeneza masoko kwa ajili yako Dameski, kama baba yangu alivyofanya kule Samaria.” Ahabu akajibu, “Nitakuacha uende kwa agano hili.” Kwa hiyo Ahabu akafanya agano naye kisha akamwacha aende.
35 Тада један између синова пророчких рече другом по речи Господњој: Биј ме. Али га онај не хте бити.
Mtu mmoja, mmoja wana wa wana wa manabii, akamwambia mmoja wa wale manabii wenzake kwa neno la BWANA, “Tafadhali nipige.” Lakini yule mtu akakataa kumpiga.
36 А он му рече: Што не послуша глас Господњи, зато, ево кад отидеш од мене, лав ће те заклати. И кад отиде од њега, сукоби га лав и закла га.
Kisha yule nabii akamwambia nabii mwenzake, “Kwa sababu umekataa kutii sauti ya BWANA, mara tu utakaponiacha, simba atakuua.” na mara tu baad ya yule mtu kumwacha, simba akamkuta na kumwua.
37 Опет, нашав другог рече му: Биј ме. А онај га изби и израни га.
Kisha yule nabii akamkuta mtu mwingine akamwambia, “Tafadhali nipige.”Yule mtu akampiga na kumwumiza.
38 Тада отиде пророк и стаде на пут куда ће цар проћи, и нагрди се пепелом по лицу.
Kisha yule nabii akaondoka akaenda kumsubiri yule mfalme barabarani; naye alikuwa amejibadilisha kwa kilemba machoni pake.
39 А кад цар пролажаше, он викну цара и рече: Твој слуга беше изашао у бој, а један дошавши доведе ми човека и рече: Чувај овог човека; ако ли га нестане, биће твоја душа за његову душу, или ћеш платити таланат сребра.
Ikawa mfalme alipokuwa akipita, Yule nabii akamwita mfalme na kumwambia, “Mtumishi wako alienda katikati ya pigano, na askari akasimama akamleta adui kwangu akasema, 'Mwangalie mtu huyu. Na ikiwa kwa vyovyote atatoroka, basi maisha yako yatatolewa kwa ajili ya maisha yake vinginevyo utalipa kilo thelathini za fedha.
40 А кад твој слуга имаше посла тамо амо, њега неста. Тада му рече цар Израиљев: То ти је суд, сам си одсудио.
Lakini kwa kuwa mtumishi wako alikuwa na mambo mengi akienda huku na kule, yule askari adui akatoroka.” Basi mfalme wa Israeli akamwambia, Hivyo ndivyo itakavyokuwa hukukmu yako - umejihukumu mwenyewe.”
41 А он брже убриса пепео с лица, и цар Израиљев позна га да је један од пророка.
Ndipo yule nabii alipoondoa haraka kile kilemba machoni pake, na mfalme wa Israeli alipotambua kuwa huyo alikuwa mmoja wa manabii.
42 А он му рече: Овако вели Господ: Што си пустио из руку човека ког сам ја осудио да се истреби, душа ће твоја бити за његову душу и народ твој за његов народ.
Yule nabii akamwambia mfalme, “BWANA anasema, 'Kwa sababu umemwachia aende mtu yule niliyekuwa nimemhukumu kifo, maisha yako yatachukua nafasi ya maisha yake.'”
43 И отиде цар Израиљев кући својој зловољан и љутит, и дође у Самарију.
Kwa hiyo mfalme wa Israeli akaenda nyumbani kwake akiwa na moyo mzito na mwenye hasira, akafika Samaria.

< 1 Књига о царевима 20 >