< Zaharija 12 >

1 Breme rijeèi Gospodnje za Izrailja. Govori Gospod, koji je razapeo nebesa i osnovao zemlju, i stvorio èovjeku duh koji je u njemu:
Hili ni tamko la neno la Yahwe kwa Israeli - Bwana asema, azitandaye mbingu na kuweka msingi wa dunia, aiumbaye roho ya mtu ndani yake,
2 Evo, ja æu uèiniti Jerusalim èašom za opijanje svijem narodima unaokolo, koji æe opsjesti Jerusalim ratujuæi na Judu.
“Tazama, nitaifanya Yerusalemu kuwa kikombe kiwafadhaishacho watu wote wamzungukao. Itakuwa hivyo hivyo pia kwa Yuda wakati wa kuhusuriwa kwa Yerusalemu.
3 I u taj æu dan uèiniti Jerusalim teškim kamenom svijem narodima; koji ga god htjedbudu dignuti, satræe se, ako bi se i svi narodi zemaljski sabrali na nj.
Katika siku hiyo, nitaifanya Yerusalemu kuwa jiwe zito kwa watu wa jamaa zote. Kila atakayejaribu kuliinua jiwe hilo atajihumiza sana, na mataifa yote ya dunia yatakusanyika kinyume cha mji huo.
4 U taj æu dan, govori Gospod, uèiniti da svi konji budu plašljivi i svi konjanici bezumni; i otvoriæu oèi svoje na dom Judin, i oslijepiæu sve konje narodima.
Katika siku hiyo asema Yahwe - nitampiga kila farasi kwa ushangao na kila mpanda farasi kwa wendawazimu. Nitaiangalia nyumba ya Yuda kwa upendeleo na nami nitawapiga kwa upofu farasi wa majeshi.
5 Te æe govoriti glavari Judini u srcu svom: jaki su mi stanovnici Jerusalimski Gospodom nad vojskama, Bogom svojim.
Ndipo watawala wa Yuda watakapojisemea mioyoni mwao, 'Wakaao Yerusalemu ndio nguvu yetu kwa sababu ya Yahwe wa majeshi, Mungu wao.'
6 U onaj æu dan uèiniti da glavari Judini budu kao ognjište u drvima i kao luè zapaljen u snopovima, te æe proždrijeti i nadesno i nalijevo sve narode unaokolo, a Jerusalim æe još ostati na svom mjestu, u Jerusalimu.
Katika siku hiyo nitawafanya watawala wa Yuda kuwa kama mitungi ya moto katika miti na kama miali ya moto kati ya nafaka isimamayo, kwani utateketeza watu wote walio karibu upande wao wa kulia na kushoto. Yerusalemu atakaa mahali pake tena.
7 I Gospod æe saèuvati šatore Judine najprije, da se ne diže nad Judom slava doma Davidova i slava stanovnika Jerusalimskih.
Yahwe ataziokoa hema za Yuda kwanza, ili kwamba utukufu ya nyumba ya Daudi na utukufu wa wale waishio Yerusalemu hautazidi sehemu iliyosalia ya Yuda.
8 U onaj æe dan Gospod zaklanjati stanovnike Jerusalimske, i najslabiji meðu njima biæe u taj dan kao David, i dom æe Davidov biti kao Bog, kao anðeo Gospodnji pred njima.
Katika siku hiyo Yahwe atakuwa mtetezi wa wakao Yerusalemu, na siku hiyo waliodhaifu miongoni mwao watakuwa kama Daudi, wakati nyumba ya Daudi watakuwa kama Mungu, kama malaika wa Yahwe mbele yao.
9 I u taj dan tražiæu da istrijebim sve narode koji doðu na Jerusalim;
“Itakuwa kwamba katika siku hiyo nitaanza kuyaharibu mataifa yote yajayo kinyume cha Yerusalemu.
10 I izliæu na dom Davidov i na stanovnike Jerusalimske duh milosti i molitava, i pogledaæe na mene kojega probodoše; i plakaæe za njim kao za jedincem, i tužiæe za njim kao za prvencem.
Lakini nitamwaga roho ya huruma na kuiombea nyumba ya Daudi na wakao Yerusalemu, hivyo wataniangalia mimi, waliomchoma kwa mkuki. Wataniombolezea, kama amwombolezeaye mwana wa pekee; watamwombolezea kwa uchungu sana kama aombolezaye kifo cha mzaliwa wa kwanza.
11 U ono æe vrijeme biti tužnjava velika u Jerusalimu kao tužnjava u Adadrimonu u polju Megidonskom.
Katika siku hiyo maombolezo huko Yerusalemu yatakuwa kama maombolezo ya Hadadi Rimoni katika tambarare za Megido.
12 I tužiæe zemlja, svaka porodica napose; porodica doma Davidova napose, i žene njihove napose; porodica doma Natanova napose, i žene njihove napose;
Nchi itaomboleza, kila ukoo peke yao. Ukoo wa nyumba ya Daudi utakuwa peke yake na wake zao watakuwa peke yao mbali na wanaume. Ukoo wa nyumba ya Nathani utakuwa peke yao na wake zao watakuwa peke yao mbali na waume.
13 Porodica doma Levijeva napose, i žene njihove napose; porodica Semejeva napose, i žene njihove napose;
Ukoo wa nyumba ya Lawi utakuwa peke yao na wake zao watakuwa peke yao mbali na waume. Ukoo wa Washimei utakuwa peke yao na wake zao watakuwa peke yao mbali na waume.
14 Sve ostale porodice, svaka napose, i žene njihove napose.
Kila ukoo uliosalia - kila mmoja utakuwa peke yake na wake watakuwa pekee mbali na waume.

< Zaharija 12 >