< Psalmi 76 >
1 Zna se u Judeji za Boga, u Izrailja je veliko ime njegovo.
Mungu amefanya mwenyewe kujulikana katika Yuda; jina lake ni kuu katika Israeli.
2 U Salimu je stan njegov i naselje njegovo na Sionu.
Hema yake iko salemu; makao yake yako yako Sayuni.
3 Ondje je polomio krilate strijele luku, štit i maè i rat.
Huko ndiko alivunja mishale ya upinde, ngao, upanga, na silaha zingine za vita. (Selah)
4 Ti si svijetao; divniji od gora hajduèkih.
Wewe unang'aa sana na huufunua utukufu wako, ushukapo kutoka milimani, ambako uliwauwa mateka.
5 Koji su junaèkog srca postaše plijen, zaspaše snom svojim, i junaci ne naðoše ruku svojih.
Wenye moyo shujaa walitekwa nyara; walilala mauti. Mashujaa wote walikuwa wanyonge.
6 Od prijetnje tvoje, Bože Jakovljev, drijemlju kola i konj.
Kwa kukemea kwako, ewe Mungu wa Yakobo, wote gari na farasi walilala mauti.
7 Ti si strašan, i ko æe se održati pred licem tvojim kad se razgnjeviš?
Wewe, ndiyo wewe, ni wa kuogopwa; ni nani awezaye kusimama mbele yako wakati ukiwa na hasira?
8 S neba javljaš sud; zemlja se prepada i muèi,
Kutoka mbinguni wewe uliifanya hukumu yako isikike; nchi iliogopa na ikaa kimya
9 Kad Bog ustaje na sud, da pomože svima koji stradaju na zemlji.
wakati wewe, Mungu, ulipoinuka kutekeleza hukumu na kuwaokoa wote wa nchi walio onewa. (Selah)
10 I gnjev ljudski obraæa se u slavu tebi, kad se jednom opašeš gnjevom.
Hakika hukumu ya hasira yako dhidi ya binadamu itakuletea wewe sifa; wewe hujifunga mwenyewe hasira yako iliyo baki.
11 Polažite i izvršujte zavjete Gospodu Bogu svojemu; svi koji ste oko njega, nosite dare strašnome.
Wekeni nadhiri kwa Yahwe Mungu wenu na kuzihifadhi. Nao wote wamzungukao yeye mleteeni zawadi yeye ambaye ni wa kuogopwa.
12 On ukroæava duh knezovima, on je strašan carevima zemaljskim.
Yeye huzikata roho za wakuu; huogopwa na wafalme wa nchi.