< Psalmi 74 >
1 Zašto se, Bože, srdiš na nas dugo; dimi se gnjev tvoj na ovce paše tvoje?
Mungu, kwa nini umetukataa milele? Kwa nini hasira yako inawaka dhidi ya kondoo wa malisho yako?
2 Opomeni se sabora svojega, koji si stekao od starine, iskupio sebi u našljednu državu, gore Siona, na kojoj si se naselio.
Wafikilie watu wako, ambao uliwanunua siku nyingi zilizopita, kabila ambalo wewe umelikomboa liwe urithi wako, na Milima Sayuni, mahali uishipo.
3 Podigni stope svoje na stare razvaline: sve je razrušio neprijatelj u svetinji.
Uje utazame uharibifu kamili, uharibifu ambao umefanywa na adui mahali patakatifu.
4 Rièu neprijatelji tvoji na mjestu sabora tvojih, svoje obièaje postavljaju mjesto naših obièaja.
Washindani wako walivamia katikati ya mahali pako maalumu; walipandisha bendera zao za vita.
5 Vidiš, oni su kao onaj koji podiže sjekiru na spletene grane u drveta.
Walipakatakata kwa shoka kama katika msitu mnene.
6 Sve u njemu što je rezano razbiše sjekirama i bradvama.
Walipaharibu na kuvunja sanaa zilizonakshiwa zote; walizivunja kwa shoka na nyundo.
7 Ognjem sažegoše svetinju tvoju; na zemlju obalivši oskvrniše stan imena tvojega.
Walipachoma patakatifu pako; walipanajisi mahari unapoishi, wakigongagonga kwenye ardhi.
8 Rekoše u srcu svojem: potrimo ih sasvijem. Popališe sva mjesta sabora Božijih na zemlji.
Walisema mioyoni mwao, “Tutawaharibu wote.” Walichoma sehemu zako zote za kukutania katika nchi.
9 Obièaja svojih ne vidimo, nema više proroka, i nema u nas ko bi znao dokle æe to trajati.
Sisi hatuoni tena ishara; hakuna tena nabii, na hakuna yeyote miongoni mwetu ajuaye haya yatadumu kwa muda gani.
10 Dokle æe se, Bože, rugati nasilnik? hoæe li dovijeka protivnik prkositi imenu tvojemu?
Mpaka lini, Mungu, adui atakurushia wewe matusi? Je, atalitukana jina lako milele?
11 Zašto ustavljaš ruku svoju i desnicu svoju? Pruži iz njedara svojih, i istrijebi ih.
Kwa nini umerudisha nyuma mkono wako, mkono wako wa kuume? Utoe mkono wako kwenye mavazi yako na uwaangamize.
12 Bože, care moj, koji od starine tvoriš spasenje posred zemlje!
Lakini Mungu amekuwa mfalme wangu tangu enzi, akileta wokovu tuniani.
13 Ti si silom svojom raskinuo more, i satro glave vodenim nakazama.
Wewe uliigawa bahari; ulishambulia vichwa vya majitu ya kutisha baharini majini.
14 Ti si razmrskao glavu krokodilu, dao ga onima koji žive u pustinji da ga jedu.
Wewe ulishambulia vichwa vya lewiathani; na kumfanya awe chakula cha viumbe hai jangwani.
15 Ti si otvorio izvore i potoke, ti si isušio rijeke koje ne presišu.
Ulizifungulia chemchem na vijito; uliikausha mito itiririkayo.
16 Tvoj je dan i tvoja je noæ, ti si postavio zvijezde i sunce.
Mchana ni wako, na usiku ni wako pia; uliweka jua na mwezi mahari pake.
17 Ti si utvrdio sve krajeve zemaljske, ljeto i zimu ti si uredio.
Umeiweka mipaka ya nchi; umeumba majira ya joto na majira ya baridi.
18 Opomeni se toga, neprijatelj se ruga Gospodu, i narod bezumni ne mari za ime tvoje.
Kumbula vile adui alivyo vurumisha matusi kwako, Yahwe, na kwamba watu wapumbavu wamelitukana jina lako.
19 Ne daj zvijerima duše grlice svoje, nemoj zaboraviti stada stradalaca svojih zasvagda.
Usimtoe njiwa afe kwa mnyama wa porini. Usiusahau milele uhai wa watu wako walio onewa.
20 Pogledaj na zavjet; jer su sve peæine zemaljske pune stanova bezakonja.
Kumbuka agano lako, maana majimbo ya giza ya nchi yamejaa maeneo ya vurugu.
21 Nevoljnik nek se ne vrati sramotan, ništi i ubogi neka hvale ime tvoje.
Usiwaache walioonewa warudishwe kwa aibu; uwaache maskini na walioonewa walisifu jina lako.
22 Ustani, Bože, brani stvar svoju, opomeni se kako ti se bezumnik ruga svaki dan!
Inuka Mungu, itetee heshima yako; kumbuka wajinga wanavyokutukana machana kutwa.
23 Ne zaboravi obijesti neprijatelja svojih, vike, koju jednako dižu protivnici tvoji!
Usisahau sauti ya adui zako au kelele za wale wanaoendelea kukuchafua.