< Psalmi 41 >

1 Blago onome koji razumije ništemu! Gospod æe ga izbaviti u zli dan.
Amebarikiwa mtu yule amkumbukaye mnyonge; katika siku ya taabu, Yahwe atamuokoa.
2 Gospod æe ga saèuvati i poživiæe ga; biæe blažen na zemlji. Neæeš ga dati na volju neprijateljima njegovijem.
Yahwe atamuhifadhi na kumuweka hai, naye atabarikiwa duniani; Yahwe hata mrudisha kwenye mapenzi ya adui zake.
3 Gospod æe ga ukrijepiti bolna na odru. Sasvijem mijenjaš postelju njegovu u bolesti njegovoj.
Awapo kwenye kitanda cha mateso Yahwe atamsaidia; nawe utakifanya kitanda cha ugonjwa kuwa kitanda cha uponyaji.
4 Ja vièem: Gospode! smiluj se na me, iscijeli dušu moju, sagriješih ti.
Nami nilisema, “Yahwe unihurumie! Uniponye, kwa maana nimekutenda dhambi wewe.”
5 Neprijatelji moji govore zlobno za mene: “kad æe umrijeti, i ime njegovo poginuti?”
Adui zangu huongea maovu dhidi yangu, wakisema, 'Atakufa lini na jina lake lipotee?'
6 I ako ko doðe da me vidi, laska; srce njegovo slaže u sebi nepravdu, i otišavši kazuje.
Adui yangu ajapo kuniona, huongea mambo yasiyo na maana; moyo wake hukusanya maafa yangu kwa ajili yake mwenyewe; na aondokapo kwangu, yeye huwaambia watu wengine kuhusu hayo.
7 Šapæu o meni meðu sobom neprijatelji moji, i misle mi zlo:
Wale wote wanaonichukia kwa pamoja hunon'gona dhidi yangu; nao wanafarijika kwa ajili ya maumivu yangu.
8 “Zla stvar doðe na njega, legao je; neæe više ustati.”
Wakisema, “Gonjwa baya limemshikilia yeye haswa; na sasa kuwa amelala kitandani, hatainuka kamwe.”
9 I èovjek mira mojega, u kojega se uzdah, koji jeðaše hljeb moj, podiže na me petu.
Kweli, hata rafiki yangu wa karibu, ambae nilimuamini, aliye kula mkate wangu, ameinua kisigino chake dhidi yangu.
10 Ali ti, Gospode, smiluj se na me, i podigni me; a ja æu im vratiti.
Bali wewe, Yahwe, unihurumie na uniinue ili kwamba niwalipizie kisasi.
11 Po tome æu poznati da sam ti mio, ako se ne uzraduje neprijatelj moj nada mnom.
Na hivi nitajua kuwa unafurahishwa nami, kwa kuwa adui yangu hatafurahia kunishinda.
12 A mene cijela saèuvaj, i daj mi da stojim pred licem tvojim dovijeka.
Kwangu mimi, wewe unanisaidia katika uadilifu wangu na utaniweka mbele ya uso wako milele.
13 Blagosloven Bog Izrailjev od vijeka do vijeka. Amin, amin.
Yahwe, Mungu wa Israeli asifiwe milele na milele. Amen na Amen. Kitabu ya Pili

< Psalmi 41 >