< Psalmi 101 >

1 Milost i pravdu pjevam; tebe, Gospode, slavim.
Nitaimba uaminifu wa agano lako na hukumu; kwako, Ee Yahwe, Nitakuimbia sifa.
2 Razmišljam o putu pravom, kad bi god došao k meni, hodim u bezazlenosti srca svojega u domu svom.
Nitatembea katika njia ya uadilifu. Oh, ni lini utakuja kwangu? Nitatembea kwa uadilifu ndani ya nyumba yangu.
3 Ne stavljam pred oèi svoje rijeèi nepotrebne, mrzim na djela koja su protiv zakona, ne pristajem za njima.
Sitaweka matendo maovu mbele ya macho yangu; ninachukia uovu usio na maana; hauta shikamana nami.
4 Srce pokvareno daleko je od mene; zlijeh ne znam.
Watu waliopotoka wataniacha mimi; mimi sichangamani na uovu.
5 Ko tajno opada bližnjega svojega, toga izgonim; ko je ohola oka i naduta srca, toga ne trpim.
Nitamwangamiza yeyote amsengenyaye jirani yake kwa siri. Sitamvumilia yeyote mwenye kiburi.
6 Oèi su moje obraæene na vjerne na zemlji, da bi sjedjeli sa mnom. Ko hodi putem pravijem, taj služi meni.
Nitawachagua walio waaminifu katika nchi wakae upande wangu. Wale watembeao katika njia ya uhadilifu watanitumikia.
7 Ne živi u domu mojem koji radi lukavo; koji govori laž, ne stoji pred oèima mojima.
Watu wadanganyifu hawatabaki ndani ya nyumba yangu; waongo hawatakaribishwa mbele ya macho yangu.
8 Jutrom zatirem sve bezbožnike na zemlji, da bih istrijebio iz grada Gospodnjega sve koji èine bezakonje.
Asubuhi hata asubuhi nitawaangamiza waovu wote kutoka nchini; nitawaondoa watendao maovu wote katika mji wa Yahwe.

< Psalmi 101 >