< Poslovice 1 >

1 Prièe Solomuna sina Davidova, cara Izrailjeva,
Mithali za Sulemani mwana wa Daudi, mfalme wa Israeli.
2 Da se poznaje mudrost i nastava, da se razumiju rijeèi razumne,
Mithali hizi zinafundisha hekima na maarifa, kufundisha maneno ya busara,
3 Da se prima nastava u razumu, u pravdi, u sudu i u svemu što je pravo,
ili mpate maarifa kwa ajili ya kuishi kwa kutenda wema, haki na adili.
4 Da se daje ludima razboritost, mladiæima znanje i pomnjivost.
Mithali hizi zinatoa hekima kwa wale ambao hawakufunzwa, na kuwapa vijana maarifa na hadhari.
5 Mudar æe slušati i više æe znati, i razuman æe steæi mudrost,
Watu wenye busara wasikie na kuongeza elimu yao na watu wenye ufahamu wapate mwongozo,
6 Da razumije prièe i znaèenje, rijeèi mudrijeh ljudi i zagonetke njihove.
kwa kuelewa mithali, misemo, vitendawili na maneno ya wenye busara.
7 Poèetak je mudrosti strah Gospodnji; ludi preziru mudrost i nastavu.
Hofu ya Yehova ni chanzo cha maarifa- wapumbavu hudharau hekima na nidhamu.
8 Slušaj, sine, nastavu oca svojega, i ne ostavljaj nauke matere svoje.
Mwanangu, sikia fundisho la baba yako na wala usiziache kanuni za mama yako;
9 Jer æe biti vijenac od milina oko glave tvoje, i grivna na grlu tvom.
zitakuwa kilemba cha neema katika kichwa chako na jebu zinazoning'inia kwenye shingo yako.
10 Sine moj, ako bi te mamili grješnici, ne pristaj;
Mwanangu wenye dhambi wakikushawishi katika dhambi zao, kataa kuwafuata.
11 Ako bi rekli: hodi s nama da vrebamo krv, da zasjedamo pravome ni za što;
Kama watasema, “haya tufuatae, tuvizie ili kufanya mauaji, tujifiche ili tuwashambulie watu wasio na hatia, pasipo sababu.
12 Proždrijeæemo ih kao grob žive, i svekolike kao one koji slaze u jamu; (Sheol h7585)
Haya tuwameza wakiwa hai, kama kuzimu inavyowachukua wenye afya, na kuwa kama wale waangukao kwenye shimoni. (Sheol h7585)
13 Svakojakoga blaga dobiæemo, napuniæemo kuæe svoje plijena;
Tutapata vitu vyote vya thamani; tutazijaza nyumba zetu vile tunavyoiba kwa wengine.
14 Bacaæeš ždrijeb svoj s nama; jedan æe nam tobolac biti svjema;
Weka vitu vyako kwetu; tutakuwa na mfuko moja kwa pamoja.”
15 Sine moj, ne idi na put s njima, èuvaj nogu svoju od staze njihove.
Mwanangu, usitembee katika njia moja pamoja nao; usiruhusu mguu wako kugusa katika mapito yao;
16 Jer nogama svojim trèe na zlo i hite da proljevaju krv.
miguu ya hukimbilia mabaya na huharakisha kumwaga damu.
17 Jer se uzalud razapinje mreža na oèi svakoj ptici;
Kwa kuwa haina maana kumtegea ndege mtego wakati ndege anaona.
18 A oni vrebaju svoju krv i zasjedaju svojoj duši.
Watu hawa huvizia kujiua wenyewe—wanatega mtego kwa ajili yao wenyewe.
19 Taki su putovi svijeh lakomijeh na dobitak, koji uzima dušu svojim gospodarima.
Ndivyo zilivyo njia za kila ambaye hupata utajiri kwa udhalimu; mapato ya udhalimu huondoa uhai wa wenye utajiri.
20 Premudrost vièe na polju, na ulicama pušta glas svoj;
Hekima inalia kwa sauti mtaani, inapaza sauti katika viwanja;
21 U najveæoj vrevi vièe, na vratima, u gradu govori svoje besjede:
katika mitaa inalia kwa sauti kuu, kwenye maingilio ya milango ya mji inasema “
22 Ludi, dokle æete ljubiti ludost? i potsmjevaèima dokle æe biti mio potsmijeh? i bezumni dokle æe mrziti na znanje?
Mpaka lini enyi wajinga mtapenda kuwa wajinga? Mpaka lini enyi wenye dhihaka mtapenda dhihaka, na hadi lini enyi wapumbavu, mtachukia maarifa?
23 Obratite se na karanje moje; evo, izasuæu vam duh svoj, kazaæu vam rijeèi svoje.
Zingatia karipio langu; nitatoa mawazo yangu kwa ajili yenu; nitawafahamisha maneno yangu.
24 Što zvah, ali ne htjeste, pružah ruku svoju, ali niko ne mari,
Nimeita, nanyi mkakataa kusikiliza; nimeunyosha mkono wangu, wala hakuna aliyezingatia.
25 Nego odbaciste svaki savjet moj, i karanja mojega ne htjeste primiti;
Lakini mumedharau mafundisho yangu yote na wala hamkuzingatia maelekezo yangu.
26 Zato æu se i ja smijati vašoj nevolji, rugaæu se kad doðe èega se bojite;
Nitacheka katika taabu yenu, nitawadhihaki wakati wa kupatwa taabu-
27 Kad kao pustoš doðe èega se bojite, i pogibao vaša kao oluja kad doðe, kad navali na vas nevolja i muka.
hofu ya kutisha itawapata kama tufani na maafa yatawakumba kama upepo wa kisulisuli, taabu na uchungu vitawapata.
28 Tada æe me zvati, ali se neæu odazvati; rano æe tražiti, ali me neæe naæi.
Halafu wataniita, nami sitawajibu; wataniita katika hali ya kukata tamaa lakini hawataniona.
29 Jer mrziše na znanje, i straha Gospodnjega ne izabraše;
Kwa sababu wamechukia maarifa na hawakuchagua kuwa na hofu ya Yehova,
30 Ne pristaše na moj svjet, i preziraše sva karanja moja.
hawakufuata mafundisho yangu na wakayadharau masahihisho yangu yote.
31 Zato æe jesti plod od putova svojih, i nasitiæe se savjeta svojih.
Watakula matunda ya njia zao, na watashibishwa kwa matunda ya hila zao wenyewe.
32 Jer æe lude ubiti mir njihov, i bezumne æe pogubiti sreæa njihova.
kwa maana wajinga hufa wanaporudi nyuma, na kutojali kwa wapumbavu kutawaangamiza.
33 Ali ko me sluša, boraviæe bezbrižno, i biæe na miru ne bojeæi se zla.
Bali kila anisikilizaye ataishi kwa usalama na atapumzika salama pasipo hofu ya maafa.

< Poslovice 1 >