< Poslovice 3 >
1 Sine moj, ne zaboravljaj nauke moje, i zapovijesti moje neka hrani srce tvoje.
Mwanangu, usisahau mafundisho yangu, bali zitunze amri zangu moyoni mwako,
2 Jer æe ti donijeti dug život, dobre godine i mir.
kwa kuwa zitakuongezea miaka mingi ya maisha yako na kukuletea mafanikio.
3 Milost i istina neka te ne ostavlja; priveži ih sebi na grlo, upiši ih na ploèi srca svojega.
Usiache kamwe upendo na uaminifu vitengane nawe; vifunge shingoni mwako, viandike katika ubao wa moyo wako.
4 Te æeš naæi milost i dobru misao pred Bogom i pred ljudima.
Ndipo utapata kibali na jina zuri mbele za Mungu na mwanadamu.
5 Uzdaj se u Gospoda svijem srcem svojim, a na svoj razum ne oslanjaj se.
Mtumaini Bwana kwa moyo wako wote wala usizitegemee akili zako mwenyewe;
6 Na svijem putovima svojim imaj ga na umu, i on æe upravljati staze tvoje.
katika njia zako zote mkiri yeye, naye atayanyoosha mapito yako.
7 Ne misli sam o sebi da si mudar; boj se Gospoda i uklanjaj se oda zla.
Usiwe mwenye hekima machoni pako mwenyewe; mche Bwana ukajiepushe na uovu.
8 To æe biti zdravlje pupku tvojemu i zaljevanje kostima tvojim.
Hii itakuletea afya mwilini mwako, na mafuta kwenye mifupa yako.
9 Poštuj Gospoda imanjem svojim i prvinama od svega dohotka svojega;
Mheshimu Bwana kwa mali zako na kwa malimbuko ya mazao yako yote;
10 I biæe pune žitnice tvoje obilja, i presipaæe se vino iz kaca tvojih.
ndipo ghala zako zitakapojaa hadi kufurika, viriba vyako vitafurika kwa mvinyo mpya.
11 Sine moj, ne odbacuj nastave Gospodnje, i nemoj da ti dosadi karanje njegovo.
Mwanangu, usiidharau adhabu ya Bwana na usichukie kukaripiwa naye,
12 Jer koga ljubi Gospod onoga kara, i kao otac sina koji mu je mio.
kwa sababu Bwana huwaadibisha wale awapendao, kama vile baba afanyavyo kwa mwana apendezwaye naye.
13 Blago èovjeku koji naðe mudrost, i èovjeku koji dobije razum.
Heri mtu yule aonaye hekima, mtu yule apataye ufahamu,
14 Jer je bolje njom trgovati nego trgovati srebrom, i dobitak na njoj bolji je od zlata.
kwa maana hekima ana faida kuliko fedha na mapato yake ni bora kuliko ya dhahabu safi.
15 Skuplja je od dragoga kamenja, i što je god najmilijih stvari tvojih ne mogu se izjednaèiti s njom.
Hekima ana thamani kuliko marijani; hakuna chochote unachokitamani kinachoweza kulinganishwa naye.
16 Dug život u desnici joj je, a u ljevici bogatstvo i slava.
Maisha marefu yako katika mkono wake wa kuume; katika mkono wake wa kushoto kuna utajiri na heshima.
17 Puti su njezini mili puti i sve staze njezine mirne.
Njia zake zinapendeza, mapito yake yote ni amani.
18 Drvo je životno onima koji se hvataju za nju, i ko je god drži sreæan je.
Yeye ni mti wa uzima kwa wale wanaomkumbatia; wale wamshikao watabarikiwa.
19 Gospod je mudrošæu osnovao zemlju, utvrdio nebesa razumom.
Kwa hekima Bwana aliiweka misingi ya dunia, kwa ufahamu aliziweka mbingu mahali pake;
20 Njegovom mudrošæu razvališe se bezdane i oblaci kaplju rosom.
kwa maarifa yake vilindi viligawanywa, nayo mawingu yanadondosha umande.
21 Sine moj, da ti to ne odlazi iz oèiju; èuvaj pravu mudrost i razboritost;
Mwanangu, hifadhi maamuzi mema na busara, usiache vitoke machoni pako;
22 I biæe život duši tvojoj i nakit grlu tvojemu.
ndipo vitakapokuwa uzima nafsini mwako na pambo la neema shingoni mwako.
23 Tada æeš iæi bez brige putem svojim, i noga tvoja neæe se spotaæi.
Kisha utaenda katika njia yako salama, wala mguu wako hautajikwaa;
24 Kad liježeš, neæeš se plašiti, i kad poèivaš, sladak æe ti biti san.
ulalapo, hautaogopa; ulalapo usingizi wako utakuwa mtamu.
25 Neæeš se plašiti od nagle strahote ni od pogibli bezbožnièke kad doðe.
Usiogope maafa ya ghafula au maangamizi yanayowapata waovu,
26 Jer æe ti Gospod biti uzdanica i èuvaæe ti nogu da se ne uhvati.
kwa kuwa Bwana atakuwa tumaini lako na kuepusha mguu wako kunaswa katika mtego.
27 Ne odreci dobra onima kojima treba, kad možeš uèiniti.
Usizuie wema kwa wale wanaostahili ikiwa katika uwezo wako kutenda.
28 Ne govori bližnjemu svojemu: idi, i doði drugi put, i sjutra æu ti dati, kad imaš.
Usimwambie jirani yako, “Njoo baadaye, nitakupa kesho”: wakati wewe unacho kitu kile karibu nawe.
29 Ne kuj zla bližnjemu svojemu koji živi s tobom bez brige.
Usifanye hila ya kumdhuru jirani yako, ambaye anaishi karibu na wewe akikuamini.
30 Ne svaðaj se ni s kim bez uzroka, ako ti nije uèinio zla.
Usimshtaki mtu bila sababu, wakati hajakutenda dhara lolote.
31 Nemoj zavidjeti nasilniku, ni izabrati kojega puta njegova.
Usimwonee wivu mtu mwenye jeuri wala kuchagua njia yake iwayo yote,
32 Jer je mrzak Gospodu zlikovac, a u pravednih je tajna njegova.
kwa kuwa Bwana humchukia mtu mpotovu, lakini siri yake iko kwa mwenye haki.
33 Prokletstvo je Gospodnje u kuæi bezbožnikovoj, a stan pravednièki blagosilja.
Laana ya Bwana i juu ya nyumba ya mwovu, lakini yeye huibariki nyumba ya mwenye haki.
34 Jer potsmjevaèima on se potsmijeva, a krotkima daje milost.
Huwadhihaki wale wanaodhihaki, lakini huwapa neema wale wanyenyekevu.
35 Mudri æe naslijediti slavu, a bezumnike æe odnijeti sramota.
Wenye hekima hurithi heshima, bali huwaaibisha wapumbavu.