< Brojevi 1 >

1 Još reèe Gospod Mojsiju u pustinji Sinajskoj u šatoru od sastanka prvi dan drugoga mjeseca druge godine po izlasku njihovu iz zemlje Misirske, govoreæi:
Mungu alimwambia Musa katika hema ya kukutania walipokuwa katika jangwa la Sinai. Hii ilitokea katika siku ya kwanza ya mwezi wa pili miaka miwili baadaya Waisraeli kutoka nchi ya Misri. Mungu alisema,
2 Izbrojte sav zbor sinova Izrailjevih po porodicama njihovijem i po domovima otaca njihovijeh i po imenima njihovijem, sve muškinje, glavu po glavu,
'fanya sensa ya wanaume wote wa Israel kutoka kila ukoo, katika familia za baba zao. Wahesabu kwa majina, wahesabu kila mume, kila mwanamume
3 Od dvadeset godina i više, sve koji mogu iæi na vojsku u Izrailju, izbrojte ih po èetama njihovijem ti i Aron;
kuanzia umri a miaka ishirini na zaidi. Uwahesabu wote wanaoweza kupigana kama askari wa Israel. Wewe na Haruni mtaandika idadi ya wanaume katika makundi ya majeshi yao.
4 I s vama neka bude po jedan èovjek od svakoga plemena, koji je poglavar u domu otaca svojih.
Kila mwanamume kwa kila kabila, kichwa cha ukoo, lazima atumike na wewe kama kiongozi wa kabila.
5 A ovo su imena ljudi koji æe biti s vama: od plemena Ruvimova Elisur sin Sedijurov;
Haya ndiyo majina ya viongozi ambao watapigana pamoja na wewe: Kutoka kabila la Reubeni, Elizuri mwana wa Shedeuri;
6 Od Simeunova Salamilo sin Surisadejev;
kutoka kabila la Simeoni, Shelumiel mwana wa Zurishadai
7 Od Judina Nason sin Aminadavov;
Kutoka kabila la Yuda, Nashoni mwana wa Aminadabu;
8 Od Isaharova Natanailo sin Sogarov;
Ktoka kabila la Isakari, Nethaneli mwana wa Zuari;
9 Od Zavulonova Elijav sin Helonov;
kutoka kabila Zebuluni, Eliabu mwana wa Heloni
10 Od sinova Josifovijeh: od plemena Jefremova Elisama sin Emijudov; od Manasijina Gamalilo sin Fadasurov;
kutoka kabila la Efraimu mwana wa Yusufu, Elishama mwana wa Ammihudi; kutoka kabila la Manase, Gamaliel mwan wa Pedazuri;
11 Od Venijaminova Avidan sin Gadeonijev;
kutoka kabila la Benjamini mwana wa Ysufu, Abidani mwan wa Gidion;
12 Od Danova Ahijezer sin Amisadajev;
Kutoka kabila la Dan, Ahizeri mwana wa Amishadai;
13 Od Asirova Fagailo sin Ehranov;
kutoka kabila Asheri, Pagieli mwana wa Okirani;
14 Od Gadova Elisaf sin Raguilov;
kutoka kabila la Gadi, Eliasafu mwana wa Deuli;
15 Od Neftalimova Ahirej sin Enanov.
na kutoka kabila la Naftali, Ahira mwana wa Enani.”
16 To su koji se sazivahu na zbor, knezovi u plemenima otaca svojih, tisuænici Izrailjevi.
Hawa ndio wanaume waliochaguliwa kutoka kwa watu. Waliongoza kabila za mababu zao. Walikuwa viongozi wa koo katika Israel.
17 I uze Mojsije i Aron te ljude, koji biše imenovani.
Musa na Haruni wakawachukua wale wanaume, waliokuwa wameandikwa kwa majina,
18 I sabraše sav zbor prvi dan drugoga mjeseca, i prepisaše ih po porodicama njihovijem i po domovima otaca njihovijeh i po imenima njihovijem od dvadeset godina i više, glavu po glavu.
na pamoja na wanaume hao waliwakusanya wanume wote katika siku ya kwanza ya mwezi wa pili. Kisha kila mwanume wa miaka ishirini na zaidi alitambua babu zake. Alitakiwa kutaja koo na famila kutoka katika ukoo.
19 Kako bješe Gospod zapovjedio Mojsiju, tako ih izbroji u pustinji Sinajskoj.
Kisha Musa akaandika hesabu yao huko katika nyika ya Sinai, Kama Mungu alivyokuwa amemwamuru kufanya.
20 I bješe sinova prvenca Izrailjeva Ruvima, roda njihova po porodicama njihovijem i po domovima otaca njihovijeh, kad se izbroji po imenima s glave na glavu sve muškinje od dvadeset godina i više, što mogaše iæi na vojsku,
Kutoka uzao wa Reubeni, mtoto wa kwanza wa Israel, yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini na zaidi wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka hesabu ya ukoo na familia.
21 Bješe ih izbrojenijeh od plemena Ruvimova èetrdeset i šest tisuæa i pet stotina.
Waliwahesabu wanaume 46, 000 kutoka ukoo wa Reubeni.
22 Sinova Simeunovijeh, roda njihova po porodicama njihovijem i po domovima otaca njihovijeh, kad se izbroji po imenima s glave na glavu sve muškinje od dvadeset godina i više, što mogaše iæi na vojsku,
Kutoka uzao wa Simeoni yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini na zaidi au wenye uwezo wa kwenda vitani, kutokana na hesabu ya ukoo na familia.
23 Bješe ih izbrojenijeh od plemena Simeunova pedeset i devet tisuæa i tri stotine.
Walihesabu wanaume 59, 300 kutoka kabila la Simeoni.
24 Sinova Gadovijeh, roda njihova po porodicama njihovijem i po domovima otaca njihovijeh, kad se izbrojiše po imenima od dvadeset godina i više svi što mogahu iæi na vojsku,
Kutoka uzao wa Gadi yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
25 Bješe ih izbrojenijeh od plemena Gadova èetrdeset i pet tisuæa, šest stotina i pedeset.
Walihesabu wanaume 45, 650 kutoka kabila la Gadi.
26 Sinova Judinijeh, roda njihova po porodicama njihovijem i po domovima otaca njihovijeh, kad se izbrojiše po imenima od dvadeset godina i više svi što mogahu iæi na vojsku,
Kutoka uzao wa Yuda yalihesabiwa majina yote ya wanaume wenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
27 Bješe ih izbrojenijeh od plemena Judina sedamdeset i èetiri tisuæe i šest stotina.
walihesabiwa wanume 74, 000 kutoka kabila la Yuda.
28 Sinova Isaharovijeh, roda njihova po porodicama njihovijem i po domovima otaca njihovijeh, kad se izbrojiše po imenima od dvadeset godina i više svi što mogahu iæi na vojsku,
Kutoka uzao wa Isakari yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
29 Bješe ih izbrojenijeh od plemena Isaharova pedeset i èetiri tisuæe i èetiri stotine.
Walihesabiwa wanaume 54, 000 kutoka kabila la Isakari.
30 Sinova Zavulonovijeh, roda njihova po porodicama njihovijem i po domovima otaca njihovijeh, kad se izbrojiše po imenima od dvadeset godina i više svi što mogahu iæi na vojsku,
Kutoka uzao wa Zabuloni yalihesabiwa majina yote ya kila mwanamume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
31 Bješe ih izbrojenijeh od plemena Zavulonova pedeset i sedam tisuæa i èetiri stotine.
Walihesabiwa wanume 57, 400 kutoka kabila la Zabuloni.
32 Od sinova Josifovijeh: sinova Jefremovijeh, roda njihova po porodicama njihovijem i po domovima otaca njihovijeh, kad se izbrojiše po imenima od dvadeset godina i više svi što mogahu iæi na vojsku,
Kutoka uzao wa Efraimu mwana wa Yusufu yalihesabiwa majina yote ya kila mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
33 Bješe ih izbrojenijeh od plemena Jefremova èetrdeset tisuæa i pet stotina.
Walihesabiwa wanaume 40, 500 kutoka kabila la Efraimu.
34 Sinova Manasijinih, roda njihova po porodicama njihovijem i po domovima otaca njihovijeh, kad se izbrojiše po imenima od dvadeset godina i više svi što mogahu iæi na vojsku,
Kutoka uzao wa Manase mwana wa Yusufu yaliheabiwa majina yote ya kila mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu y a ukoo na familia.
35 Bješe ih izbrojenijeh od plemena Manasijina trideset i dvije tisuæe i dvjesta.
Walihesabiwa wanaume 32, 000 kutoka kabila la Manase.
36 Sinova Venijaminovijeh, roda njihova po porodicama njihovijem i po domovima otaca njihovijeh, kad se izbrojiše po imenima od dvadeset godina i više svi što mogahu iæi na vojsku,
Kutoka uzao wa Benjamini yalihesabiwa majina yote ya kila mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na wenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
37 Bješe ih izbrojenijeh od plemena Venijaminova trideset i pet tisuæa i èetiri stotine.
Walihesabiwa wanaume 35, 000 kutoka kabila la Benjamini.
38 Sinova Danovijeh, roda njihova po porodicama njihovijem i po domovima otaca njihovijeh, kad se izbrojiše po imenima od dvadeset godina i više svi što mogahu iæi na vojsku,
Kutoka uzao wa Dani yalihesabiwa majina yote ya kila mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na mwenye uwezo wa kwenda vitani, Kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
39 Bješe ih izbrojenijeh od plemena Danova šezdeset i dvije tisuæe i sedam stotina.
Walihesabiwa wanaume 62, 000 kutoka kabila la Dani.
40 Sinova Asirovijeh, roda njihova po porodicama njihovijem i po domovima otaca njihovijeh, kad se izbrojiše po imenima od dvadeset godina i više svi što mogahu iæi na vojsku,
Kutoka uzao wa Asheri yalihesabiwa majina yote ya kila mwanume mwenye umri wa miaka ishirini au zadi na mwenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu y a ukoo na familia.
41 Bješe ih izbrojenijeh od plemena Asirova èetrdeset i jedna tisuæa i pet stotina.
Walihesabiwa wanaume 41, 500 kutoka ukoo wa Asheri.
42 Sinova Neftalimovijeh, roda njihova po porodicama njihovijem i po domovima otaca njihovijeh, kad se izbrojiše po imenima od dvadeset godina i više svi što mogahu iæi na vojsku,
Kutoka ukoo wa Naftali yalihesabiwa majina yote ya kila mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi na mwenye uwezo wa kwenda vitani, kutoka kwenye hesabu ya ukoo na familia.
43 Bješe ih izbrojenijeh od plemena Neftalimova pedeset i tri tisuæe i èetiri stotine.
Walihesabiwa wanaume 53, 400 kutoka kabila la Naftari
44 Ovo su oni koje Mojsije i Aron izbrojiše s knezovima Izrailjskim, s dvanaest ljudi, koji bijahu po jedan za svaki dom otaca svojih.
Musa na Haruni waliwahesabu wanaume wote hawa, pamoja na wale wanaume kumi na wawili waliokuwa wakiongoza yale makabila kumi na mawili ya Israeli.
45 I svega bješe sinova Izrailjevijeh izbrojenijeh po domovima otaca svojih od dvadeset godina i više, svijeh što mogahu iæi na vojsku,
Kwa hiyo wanaume wote wa Israeli wenye umri wa miak ishirini au zaidi, wote wenye uwezo wa kwenda vitani, walihesabiwa kutoka kwenye familia zao.
46 Bješe ih izbrojenijeh šest stotina i tri tisuæe i pet stotina i pedeset.
Walihesabu wanaume 603, 550.
47 Ali Leviti po plemenu otaca svojih ne biše brojeni meðu njih.
Lakini wanaume toka uzao wa Lawi hawakuhesabiwa,
48 Jer Gospod reèe Mojsiju govoreæi:
Kwa sababu BWANA alimwambia Musa,
49 Plemena Levijeva nemoj brojati, niti broja njihova sastaviti sa sinovima Izrailjevijem.
“usiwahesabu wale wa kabila la Lawi wala kuwajumuisha kwenye jumla ya watu wa Israeli.
50 Nego postavi Levite nad šatorom od svjedoèanstva i nad svijem posuðem u njemu i nad svijem što pripada njemu; oni neka nose šator i sve posuðe njegovo, neka služe u njemu, i staju oko šatora.
Badala yake, waagize Walawi kuliangalia hema la amri za agano, na kuangalia mapambo ya hema na vyote vilivyomo. Walawi watalazimika kulibeba hema na lazima wayabebe mapambo ya hema. Lazima waliangalie hema na kuyatengeneza mazingira yake. Wataiangalia masikani na kuzitengeneza kambi zinazolizunguka.
51 I kad se šator krene, neka ga slože Leviti; i kad šator stane, onda neka ga razapnu Leviti. A ko bi drugi pristupio, da se pogubi.
Kila hema litakapotakiwa kuhamishiwa eneo jingine, Walawi ndio watakaolipeleka pale. Na kila hema litakapotakiwa kusimamishwa, Walawi ndio watakao lisimamisha. Na mgeni yeyote atakayelisogelea hema lazima auawe.
52 I sinovi Izrailjevi neka staju svaki u svom okolu i svaki kod svoje zastave po èetama svojim.
Wakati watu wa Israeli watakaposimamisha hema zao, kila mwanaume lazima awe karibu na bango la jeshi lake.
53 A Leviti neka staju oko šatora od svjedoèanstva, da ne doðe gnjev na zbor sinova Izrailjevijeh; i neka Leviti rade što treba oko šatora od svjedoèanstva.
Hata hivyo Walawi lazima waweke hema zao kuizunguka hiyo masikani ya amri za agano ili kwamba hasira yangu isije ikawaka juu ya wana wa Israeli. Walawi lazima wailinde hiyo masikani ya amri za agano.”
54 I uèiniše sinovi Izrailjevi kako Gospod zapovjedi, sve tako uèiniše.
Wana wa Israeli walifanya yote haya. Walifanya yote ambayo BWANA aliagiza kupitia Musa.

< Brojevi 1 >