< Brojevi 9 >

1 Još reèe Gospod Mojsiju u pustinji Sinajskoj druge godine po izlasku njihovu iz zemlje Misirske prvoga mjeseca, govoreæi:
Bwana akasema na Mose katika Jangwa la Sinai katika mwezi wa kwanza wa mwaka wa pili baada ya Waisraeli kutoka Misri. Akasema,
2 Neka slave sinovi Izrailjevi pashu u odreðeno vrijeme.
“Waamuru Waisraeli waadhimishe Pasaka katika wakati ulioamriwa.
3 Èetrnaestoga dana ovoga mjeseca uveèe slavite je u odreðeno vrijeme, po svijem zakonima i po svijem uredbama njezinijem slavite je.
Adhimisheni wakati ulioamriwa, yaani wakati wa kuzama jua siku ya kumi na nne ya mwezi huu, kufuatana na desturi zake zote na masharti yake.”
4 I reèe Mojsije sinovima Izrailjevijem da slave pashu.
Hivyo Mose akawaambia Waisraeli waiadhimishe Pasaka,
5 I slaviše pashu prvoga mjeseca èetrnaestoga dana uveèe u pustinji Sinajskoj; kako bješe Gospod zapovjedio Mojsiju, sve onako uèiniše sinovi Izrailjevi.
nao wakafanya hivyo kwenye Jangwa la Sinai wakati wa kuzama jua siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza. Waisraeli wakafanya kila kitu kama vile Bwana alivyomwamuru Mose.
6 A bijahu neki koji se oskvrniše o mrtvaca te ne mogahu slaviti pashe onaj dan; i doðoše isti dan pred Mojsija i pred Arona;
Lakini baadhi yao hawakuweza kuadhimisha Pasaka siku ile kwa sababu walikuwa najisi kwa taratibu za kiibada kwa ajili ya kugusa maiti. Kwa hiyo wakamwendea Mose na Aroni siku ile ile,
7 I rekoše mu ljudi oni: mi smo neèisti od mrtvaca; zašto da nam nije slobodno prinijeti žrtvu Gospodu u vrijeme zajedno sa sinovima Izrailjevijem?
wakamwambia Mose, “Tumekuwa najisi kwa sababu tumegusa maiti, lakini kwa nini tuzuiliwe kumtolea Bwana sadaka yake pamoja na Waisraeli wengine katika wakati ulioamriwa?”
8 A Mojsije im reèe: stanite da èujem šta æe zapovjediti Gospod za vas.
Mose akawajibu, “Ngojeni mpaka nitafute kile Bwana anachoagiza kuwahusu ninyi.”
9 A Gospod reèe Mojsiju govoreæi:
Ndipo Bwana akamwambia Mose,
10 Kaži sinovima Izrailjevijem i reci: ko bi bio neèist od mrtvaca ili bi bio na daljnom putu izmeðu vas ili izmeðu vašega natražja, neka slavi pashu Gospodu,
“Waambie Waisraeli: ‘Wakati mmoja wenu au wazao wenu wanapokuwa najisi kwa sababu ya maiti au wakiwa safarini, hata hivyo wanaweza kuadhimisha Pasaka ya Bwana.
11 Drugoga mjeseca èetrnaestoga dana uveèe neka je slave, s prijesnijem hljebom i s gorkim zeljem neka je jedu.
Wataiadhimisha wakati wa kuzama jua siku ya kumi na nne ya mwezi wa pili. Watamla mwana-kondoo, pamoja na mkate usiotiwa chachu, na mboga chungu.
12 Neka ne ostavljaju od nje ništa do jutra, i kosti da joj ne prelome, po svemu zakonu za pashu neka je slave.
Wasibakize chochote hadi asubuhi wala wasivunje mifupa ya mwana-kondoo. Wakati wanapoadhimisha Pasaka, hawana budi kufuata masharti yote.
13 A ko je èist i nije na putu, pa bi propustio slaviti pashu, da se istrijebi duša ona iz naroda svojega, jer ne prinese Gospodu žrtve na vrijeme, grijeh svoj neka nosi onaj èovjek.
Lakini kama mtu ni safi kwa taratibu za kiibada naye hayuko safarini, asipoadhimisha Pasaka, mtu huyo hana budi kukatiliwa mbali na watu wake kwa sababu hakutoa sadaka ya Bwana kwa wakati ulioamriwa. Mtu huyo atawajibika kubeba matokeo ya dhambi yake.
14 I ako bi meðu vama živio stranac i slavio bi pashu Gospodu, po zakonu i uredbi za pashu neka je slavi; a zakon da vam je jednak i strancu i onomu ko se rodio u zemlji.
“‘Mgeni anayeishi miongoni mwenu ambaye anataka kuadhimisha Pasaka ya Bwana, lazima afanye hivyo kwa kufuata desturi na masharti. Lazima masharti yawe sawasawa kwa mgeni na mzawa.’”
15 A u koji dan bi podignut šator, pokri oblak šator nad naslonom od svjedoèanstva; a uveèe bješe nad šatorom kao oganj do jutra.
Katika siku hiyo ambayo Maskani, Hema la Ushuhuda, iliposimamishwa, wingu liliifunika. Kuanzia jioni mpaka asubuhi wingu lililokuwa juu ya Maskani lilionekana kama moto.
16 Tako bijaše jednako: oblak ga zaklanjaše, ali noæu bijaše kao oganj.
Hivyo ndivyo lilivyoendelea kuwa; wingu liliifunika wakati wa mchana, na usiku lilionekana kama moto.
17 I kad bi se oblak podigao iznad šatora, tada polažahu sinovi Izrailjevi, a gdje bi stao oblak, ondje se ustavljahu sinovi Izrailjevi.
Wakati wowote wingu lilipoinuka kutoka juu ya Hema, nao Waisraeli waliondoka; mahali popote wingu liliposimama, Waisraeli walipiga kambi.
18 Po zapovijesti Gospodnjoj polažahu sinovi Izrailjevi, i po zapovijesti Gospodnjoj ustavljahu se; dokle god stajaše oblak nad šatorom, oni stajahu u okolu,
Kwa amri ya Bwana Waisraeli waliondoka, na kwa amri yake walipiga kambi. Kwa muda wote wingu liliposimama juu ya Maskani, Waisraeli walibaki wamepiga kambi.
19 I kad oblak dugo stajaše nad šatorom, tada svršivahu sinovi Izrailjevi što treba svršivati Gospodu i ne polažahu.
Wakati wingu lilipobaki juu ya Maskani kwa muda mrefu, Waisraeli walitii amri ya Bwana nao hawakuondoka.
20 I kad oblak bijaše nad šatorom malo dana, po zapovijesti Gospodnjoj stajahu u okolu i po zapovijesti Gospodnjoj polažahu.
Wakati mwingine wingu lilikuwa juu ya Maskani kwa siku chache tu; kwa amri ya Bwana wangelipiga kambi na kisha kwa amri yake wangeliondoka.
21 Kad bi pak oblak stajao od veèera do jutra, a ujutru bi se podigao oblak, tada polažahu; bilo danju ili noæu, kad bi se oblak podigao, oni polažahu.
Wakati mwingine wingu lilikuwepo kuanzia jioni mpaka asubuhi tu, na lilipoinuka asubuhi, nao waliondoka. Ikiwa ni mchana au usiku, wakati wowote wingu lilipoinuka, waliondoka.
22 Ako li bi dva dana ili mjesec dana ili godinu oblak stajao nad šatorom, stajahu u okolu sinovi Izrailjevi i ne polažahu, a kako bi se podigao, oni polažahu.
Ikiwa wingu lilikaa juu ya Maskani kwa siku mbili au mwezi au mwaka, Waisraeli wangebaki wamepiga kambi na hawakuondoka; lakini lilipoinuka, wangeondoka.
23 Po zapovijesti Gospodnjoj stajahu u oko, i po zapovijesti Gospodnjoj polažahu; i svršivahu što treba svršivati Gospodu, kao što bješe zapovjedio Gospod preko Mojsija.
Kwa amri ya Bwana walipiga kambi, na kwa amri ya Bwana waliondoka. Walitii amri ya Bwana, kufuatana na agizo lake kupitia Mose.

< Brojevi 9 >