< Brojevi 25 >
1 I življaše Izrailj u Sitimu, i narod stade èiniti preljubu sa kæerima Moavskim.
Israeli alipokuwa akikaa Shitimu, wanaume wa Israeli walianza kuzini na wanawake wa Kimoabu,
2 One pozivahu narod na žrtve svojih bogova, i narod jeðaše, i klanjaše se bogovima njihovijem.
ambao waliwaalika kushiriki katika kutoa kafara kwa miungu yao. Watu wakala na kusujudu mbele ya miungu hii.
3 I Izrailj prionu uz Velfegora; i razgnjevi se Gospod na Izrailja.
Kwa hiyo Israeli akaungana katika kumwabudu Baali wa Peori. Hasira ya Bwana ikawaka dhidi yao.
4 I reèe Gospod Mojsiju: uzmi sve knezove narodne, i objesi ih Gospodu prema suncu, da se odvrati gnjev Gospodnji od Izrailja.
Bwana akamwambia Mose, “Uwachukue viongozi wote wa watu hawa, uwaue na uwaweke hadharani mchana peupe mbele za Bwana, ili hasira kali ya Bwana iweze kuondoka kwa Israeli.”
5 I reèe Mojsije sudijama Izrailjevijem: pobijte svaki svoje koji su prionuli uz Velfegora.
Kwa hiyo Mose akawaambia waamuzi wa Israeli, “Kila mmoja wenu lazima awaue wale wanaume wenu, walioshiriki katika kumwabudu Baali wa Peori.”
6 I gle, jedan izmeðu sinova Izrailjevijeh doðe i dovede k braæi svojoj jednu Madijanku na oèi Mojsiju i na oèi svemu zboru sinova Izrailjevijeh; a oni zaplakaše na vratima šatora od sastanka.
Ndipo mwanaume wa Kiisraeli akamleta mwanamke wa Kimidiani katika jamaa yake palepale mbele ya Mose na mkutano wote wa Israeli walipokuwa wakilia kwenye lango la Hema la Kukutania.
7 A kad to vidje Fines sin Eleazara sina Arona sveštenika, usta isred zbora i uze koplje u ruku;
Finehasi mwana wa Eleazari, mwana wa kuhani Aroni, alipoona jambo hili, akaondoka kwenye kusanyiko, akachukua mkuki mkononi mwake,
8 I uðe za èovjekom Izrailjcem u šator, i probode ih oboje, èovjeka Izrailjca i onu ženu, kroz trbuh, i presta pogibija meðu sinovima Izrailjevijem.
akamfuata yule Mwisraeli ndani ya hema. Akawachoma mkuki wote wawili kwa pamoja, ukapenya kwenye mwili wa yule Mwisraeli na mwili wa yule mwanamke. Ndipo tauni iliyokuwepo dhidi ya Waisraeli ikakoma.
9 I izgibe ih od te pogibije dvadeset i èetiri tisuæe.
Lakini wale waliokufa kwa hiyo tauni walikuwa watu 24,000.
10 Tada reèe Gospod Mojsiju govoreæi:
Bwana akamwambia Mose,
11 Fines sin Eleazara sina Arona sveštenika odvrati gnjev moj od sinova Izrailjevijeh otvorivši revnost za me meðu njima, da ne bih istrijebio sinove Izrailjeve u revnosti svojoj.
“Finehasi mwana wa Eleazari, mwana wa kuhani Aroni, amegeuza hasira yangu mbali na Waisraeli, kwa sababu alikuwa na wivu kama nilio nao kwa heshima yangu miongoni mwao, hata kwamba kwa wivu wangu sikuwaangamiza.
12 Zato mu kaži: evo dajem mu svoj zavjet mirni.
Kwa hiyo mwambie Finehasi ninafanya Agano langu la amani naye.
13 I imaæe on i sjeme njegovo nakon njega zavjet sveštenstva vjeènoga, jer revnova za Boga svojega i oèisti sinove Izrailjeve.
Yeye pamoja na wazao wake watakuwa na Agano la ukuhani milele, kwa sababu alikuwa na wivu kwa ajili ya heshima ya Mungu wake, na akafanya upatanisho kwa Waisraeli.”
14 A èovjeku Izrailjcu ubijenome, koji bi ubijen s Madijankom, bješe ime Zamrije sin Salmonov, knez od doma oca svojega od plemena Simeunova.
Jina la Mwisraeli ambaye aliuawa pamoja na mwanamke wa Kimidiani ni Zimri mwana wa Salu, kiongozi wa jamaa ya Simeoni.
15 A ubijenoj ženi Madijanci bješe ime Hazvija kæi Sura kneza narodnoga u domu oca svojega meðu Madijancima.
Jina la mwanamke wa Kimidiani aliyeuawa ni Kozbi binti wa Suri, aliyekuwa mkuu wa kabila la jamaa ya Wamidiani.
16 I reèe Gospod Mojsiju govoreæi:
Bwana akamwambia Mose,
17 Zavojštite na Madijance, i bijte ih;
“Watendeeni Wamidiani kama adui na mwaue,
18 Jer oni zavojštiše na vas prijevarama svojim, i prevariše vas Velfegorom i Hazvijom kæerju kneza Madijanskoga, sestrom svojom, koja bi ubijena u dan pogibije koja doðe s Fegora.
kwa sababu wao waliwatendea kama adui wakati waliwadanganya katika tukio la Peori na dada yao Kozbi, binti wa kiongozi wa Kimidiani, mwanamke ambaye aliuawa wakati tauni ilikuja kama matokeo ya tukio la Peori.”