< Brojevi 20 >
1 I sinovi Izrailjevi, sav zbor njihov, doðoše u pustinju Sinsku prvoga mjeseca, i stade narod u Kadisu; i ondje umrije Marija, i bi pogrebena ondje.
Kwa hiyo wana wa Israeli, na jamii yote ya watu, wakaenda katika jangwa la Sini katika mwezi wa kwanza; wakaa Kadeshi. Hapo ndipo Miriamu alipofia na kuzikwa.
2 A ondje nemaše zbor vode, te se skupiše na Mojsija i na Arona.
Huko hapakuwa na maji kwa ajili ya watu, kwa hiyo wakakusanyika kinyume na Musa na Haruni huko.
3 I svaðaše se narod s Mojsijem, i govorahu: kamo da smo pomrli kad pomriješe braæa naša pred Gospodom!
Watu wakamlalamikia Musa. Wakasema, “Ilikuwa ni bora kama tungelikufa wakati Waisraeli wenzetu walipokufa mbele za BWANA.
4 Zašto dovedoste zbor Gospodnji u ovu pustinju da izginemo ovdje i mi i stoka naša?
Kwa nini umewaleta watu wa BWANA kufia katika jangwa hili, sisi na wanyama wetu?
5 I zašto nas izvedoste iz Misira da nas dovedete na ovo zlo mjesto, gdje ne rodi ni žito ni smokva ni grožðe ni šipak, a ni vode nema za piæe?
Kwa nini ulitutoa Misri na kutuleta katika eneo hili baya? Hapa hakuna nafaka, wala mitini, wala mizabibu, wala makomamanga. Na hakuna maji ya kunywa.”
6 I doðe Mojsije i Aron ispred zbora na vrata šatora od sastanka, i padoše nièice; i pokaza im se slava Gospodnja.
Basi Musa na Haruni wakatoweka mbele ya mkutano huo. Wakaenda kwenye hema ya kukutania wakalala kifudifudi. Ndipo pale utukufu wa Busara wa BWANA ukaonekana kwao.
7 I reèe Gospod Mojsiju govoreæi:
BWANA akanena na Musa, akamwambia,
8 Uzmi štap, i sazovite zbor ti i Aron brat tvoj, i progovorite stijeni pred njima, te æe dati vodu svoju; tako æeš im izvesti vodu iz stijene, i napojiæeš zbor i stoku njihovu.
“Chukua fimbo yako na uwakusanye watu, wewe na Haruni ndugu yako. Uumbie huu mwamba mbele ya macho yao, na uumuru utoe maji. Nawe utawapa maji kutoka kwenye huu mwamba, nawe utawapa maji ya kunywa hao watu na wanyama wao.”
9 I Mojsije uze štap ispred Gospoda, kako mu zapovjedi Gospod.
Musa akachukua hiyo fimbo mbele ya BWANA, kama vile BWANA alivyokuwa amemwamuru kufanya.
10 I sazvaše Mojsije i Aron zbor pred stijenu, i on im reèe: slušajte odmetnici! hoæemo li vam iz ove stijene izvesti vodu?
Kisha Musa na Haruni wakawakusanya watu pamoja mbele ya ule mwamba. Ndipo Musa akawaambia, “Sasa sikilizeni, enyi wapinzani. Lazima tuwape maji kutoka kwenye huu mwamba?”
11 I diže Mojsije ruku svoju i udari u stijenu štapom svojim dva puta, i izide voda mnoga, te se napoji narod i stoka njihova.
Ndipo Musa akanyosha mkono wake na kuupiga ule mwamba mara mbili kwa fimbo yake, na maji mengi yakatoka. Wale watu wakanywa pamoja na wanyama wao.
12 A Gospod reèe Mojsiju i Aronu: što mi ne vjerovaste i ne proslaviste me pred sinovima Izrailjevim, zato neæete odvesti zbora toga u zemlju koju sam im dao.
Kisha BWANA akamwambia Musa na Haruni, “Kwa kuwa hamkuniheshimu mimi na kuniamini mbele ya watu wa Israeli, hamtawaingiza hawa watu katika nchi niliyowaahidi.
13 To je voda od svaðe, gdje se svaðaše sinovi Izrailjevi s Gospodom, i on se proslavi meðu njima.
Mahali hapa paliitwa maji ya Meriba kwa sababu wana wa Israeli walitofautiana na BWANA pale, na akajionyesha kwao kuwa mtakatifu.
14 Iza toga posla Mojsije poslanike iz Kadisa k caru Edomskom da mu reku: ovako kaže brat tvoj Izrailj: ti znaš sve nevolje koje nas snaðoše:
Musa akatuma wajumbe kutoka Kadeshi kwa mfalme wa Edom: Ndugu yako Israeli anasema hivi: “Wewe unajua magumu yote ambayo yametupata.
15 Kako naši oci siðoše u Misir, i bijasmo u Misiru dugo vremena, i kako Misirci zlo èiniše nama i ocima našim;
Na unajua kuwa babu zetu walienda Misri na waliishi Misri kwa muda mrefu. Wamisri walitutendea vibaya pamoja na babu zetu.
16 I vikasmo ka Gospodu, i Gospod èu glas naš, i posla anðela, koji nas izvede iz Misira; i evo smo u Kadisu, gradu na tvojoj meði.
Tulipomlilia BWANA, akatusikia na kututumia malaika ambaye alitutoa toka Misri. Tazama, sasa tuko Kadeshi, mji unaopakana na nchi yako.
17 Pusti nas da proðemo kroz tvoju zemlju; neæemo iæi preko polja ni preko vinograda, niti æemo piti vode iz kojega studenca; iæi æemo carskim putem, neæemo svrtati ni nadesno ni nalijevo dok ne prijeðemo meðu tvoju.
Tunakuomba uturuhusu kupita katika nchi yako. Hatutapita mashambani wala kwenye mashamba ya mizabibu, wala hatutakunywa maji ya visima vyako. Tutapita kwenye njia kuu ya mfalme. Hatutageuka upande wa kulia wala upande wa kushoto mpaka tutakapopita mpaka wako.”
18 A Edom mu odgovori: ne idi preko moje zemlje, da ne izidem s maèem preda te.
Lakini mfalme wa Edomu akamjibu, “Msipite hapa. Kama mtafanya hivyo, Nitakuja na upanga kukuvamia.”
19 A sinovi Izrailjevi rekoše mu: iæi æemo utrenikom, i ako se napijemo vode tvoje, mi ili stoka naša, platiæemo je; ništa više, samo da pješice proðemo.
Ndipo wana wa Israeli wakamwambia,”tutapitia njia kuu. Kama sisi au wanyama wetu watakunywa maji yako, basi tutalipa. Tunaomba uturuhusu tupite tukitembea kwa miguu yetu, bila kufanya jambo lolote lile.”
20 A on im odgovori: neæete proæi. I izide Edom pred njih s mnogo naroda i s velikom silom.
Lakini mfalme wa Edomu akajibu, “Usipite hapa.” Kwa hiyo nfalme wa Edomu akawa kinyume cha Israeli kwa mkono wenye nguvu pamoja na jeshi kubwa sana.
21 I kad ne htje Edom dopustiti Izrailju da prijeðe preko meðe njegove, Izrailj otide od njega.
Mfame wa Edomu akawazuia wana wa Israeli kupita kwenye mipaka yake. Kwa sababu ya hili, Israeli akageuka kuiacha nchi ya Edomu.
22 I krenuvši se od Kadisa doðoše sinovi Izrailjevi, sav zbor njihov, ka gori Oru.
Kwa hiyo watu wakasafiri kutoka Kadeshi. Wana wa Israeli, watu wote, wakafika Mlima Hori.
23 I Gospod reèe Mojsiju i Aronu na gori Oru kod meðe Edomske govoreæi:
BWANA akanena na Musa na Haruni hapo kwenye Mlima Hori, kwenye mpaka wa Edomu. Akasema,
24 Aron valja da se pribere k rodu svojemu, jer neæe uæi u zemlju koju sam dao sinovima Izrailjevijem, jer ne poslušaste zapovijesti moje na vodi od svaðe.
“Sasa ni wakati wa Haruni kukusanyika na watu wake, hataingia katika nchi ile niliyowaahidi wana wa Israeli. Hii ni kwa sababu ninyi wawili hamkuitii sauti yangu pale kwenye maji ya Meriba.
25 Uzmi Arona i Eleazara sina njegova, i izvedi ih na goru Or.
Mchukue Haruni na Eliazari mwanaye, na uwalete juu ya Mlima Hori.
26 I svuci Aronu haljine njegove i obuci ih Eleazaru sinu njegovu, pa æe se Aron pribrati i umrijeti ondje.
Umvulishi HarunI yale mavazi ya kikuhani na umvalishe Eliazari mwanaye. Haruni atakufa na kulazwa pamoja na watu wake.”
27 I uèini Mojsije kako zapovjedi Gospod; i izidoše na goru Or pred svijem zborom.
Musa akafanya kama BWANA alivyomwamuru. Wakaenda juu y a Mlima Hori na watu wote wakiona.
28 I svuèe Mojsije s Arona haljine njegove i obuèe ih Eleazaru sinu njegovu, i umrije ondje Aron navrh gore, a Mojsije i Eleazar sidoše s gore.
Musa akamvulisha Haruni yale mavazi ya kikuhani na kumvalisha Mwanaye Eliazari. Haruni akafa pale juu ya Mlima Hori. Kisha Musa na Eliazari wakashuka.
29 A kad vidje sav zbor da umrije Aron, plaka sav dom Izrailjev za Aronom trideset dana.
Watu walipoona kuwa Haruni amekufa, taifa lote wakamlilia Haruni kwa siku arobaini.