< Mihej 4 >
1 Ali æe u pošljednja vremena biti utvrðena gora doma Gospodnjega navrh gora i uzvišena iznad humova, i narodi æe se stjecati k njoj.
Lakini katika siku za mwisho itakuja kuhusu kwamba mlima wa nyumba ya Yahwe utawekwa imare juu ya milima mingine. Utainuliwa juu ya milima, na watu watautakabisha.
2 I iæi æe mnogi narodi govoreæi: hodite, da idemo na goru Gospodnju i u dom Boga Jakovljeva, i uèiæe nas svojim putovima, i hodiæemo njegovijem stazama; jer æe iz Siona izaæi zakon i rijeè Gospodnja iz Jerusalima.
Mataifa mengi yataenda na kusema, “Njoni, twendeni juu kwenye mlima wa Yahwe, kwenye nyumba ya Mungu wa Yakobo. Atatufundisha njia zake, na tutembea katika njia zake.” Kwa kuwa kutoka Sayuni sheria itatoka, na neno la Yahwe kutoka Yerusalemu.
3 I sudiæe meðu mnogim narodima, i pokaraæe jake narode nadaleko, i oni æe raskovati maèeve svoje na raonike, i koplja svoja na srpove; neæe dizati maèa narod na narod, niti æe se više uèiti ratu.
Atahukumu miongoni mwa watu na kuamua kuhusiana na mataifa mengi ya mbali. Watapoga mapanga yao kuwa plau na mikuki yao kuwa miuundu ya kupogolea. Taifa halitainua upanga dhidi ya taifa, wala kutawala kwa vita tena.
4 Nego æe sjedjeti svaki pod svojom vinovom lozom i pod smokvom, i neæe biti nikoga da ih plaši; jer usta Gospoda nad vojskama rekoše.
Badala yake, wataketi kila mtu chini ya mzabibu wake na chini ya mtini wake. Hakuna mtu atakayewafanya waogope, kwa kuwa mdomo wa Yahwe wa majeshi umesema.
5 Jer æe svi narodi hoditi svaki u ime boga svojega; a mi æemo hoditi u ime Gospoda Boga svojega uvijek i dovijeka.
Kwa kuwa watu wote wataenenda, kila mmoja, katika jina la mungu wake. Lakini sisi tutaenenda katika jina la Yahwe Mungu wetu milele na milele.
6 U to vrijeme, govori Gospod, sabraæu hrome, i skupiæu odagnane i kojima zlo uèinih.
“Katika siku hiyo,” aseme Yahwe, “Nitamkusanya achechemeaye na kumkusanya aliyefukuzwa, wale ambao nimewatesa.
7 I uèiniæu od hromijeh ostatak i od odagnanih silan narod; i Gospod æe carovati nad njima na gori Sionu otsada i dovijeka.
Nitamrudisha aliyechechemea kwenye mabaki, na yeye aliyetupwa kwenye taifa imara, na mimi, Yahwe, nitatawala juu yao katika Milima Sayuni, sasa na milele.
8 I ti, kulo stadu, stijeno kæeri Sionskoj, tebi æe doæi, doæi æe prva vlast, carstvo kæeri Jerusalimske.
Kama kwako, mnara wa saa kwa ajili ya kundi, mlima wa binti wa Sayuni-utakuja kwenu, utawala wenu wa zamani utarudishwa, ufalme ambao unaomilikiwa na binti wa Yerusalemu.
9 Zašto vièeš tako jako? nema li cara u tebi? eda li izgiboše tvoji savjetnici, te te obuzeše bolovi kao porodilju?
Sasa, kwa nini unapiga kelele kwa sauti kuu? Je hakuna mfalme miongoni mwenu? Je mshauri wako amekufa? Kwa nini uchungu umekushika kama yule mwanamke akiwa anazaa?
10 Muèi se i vièi, kæeri Sionska, kao porodilja, jer æeš izaæi iz grada i stanovaæeš u polju, i otiæi æeš u Vavilon; ondje æeš se osloboditi, ondje æe te iskupiti Gospod iz ruku neprijatelja tvojih.
Kuwa katika uchungu wa kuzaa ili uzae, binti Sayuni, kama mwanamke mwenye uchungu. Kwa sasa utatoka nje ya mji, kuishi kwenye shamba, na kwenda Babeli. Huko utaokolewa. Huko Yahwe atakuokoa kutoka kwenye mikono ya maadui.
11 A sada se sabraše na te mnogi narodi govoreæi: da se oskvrni, i da se oèi naše nagledaju Siona.
Sasa mataifa mengi yamekusanyika juu yako; wakisema; 'Atiwe unajisi; macho yenu yaangalie Sayuni.”'
12 Ali ne znaju misli Gospodnjih, niti razumiju namjere njegove, jer ih je skupio kao snoplje na gumno.
Nabii asema, “Hawayajui mawazo ya Yahwe, wala hawaelewi mpango wake, kwa kuwa wamewakusanaya kama miganda kupura sakafuni.”
13 Ustani i vrsi, kæeri Sionska, jer æu ti naèiniti rog gvozden, i kopita æu ti naèiniti mjedena, te æeš satrti mnoge narode, i posvetiæu Gospodu blago njihovo i imanje njihovo Gospodu sve zemlje.
Yahwe asema, “siamama na upure, binti Sayuni, kwa kuwa nitaifanya pembe yako kuwa chuma, na nitazifanya kwato zako kuwa shaba. Utaponda watu wengi. Nitaweka wakfu udhalimu wao kwangu mwenyewe, Yahwe, miliki zao kwangu, Bwana wa dunia nzima.”