< Malahija 4 >
1 Jer, gle, ide dan, koji gori kao peæ, i svi æe ponositi i svi koji rade bezbožno biti strnjika, i upaliæe ih dan koji ide, veli Gospod nad vojskama, i neæe im ostaviti ni korijena ni grane.
Tazama, siku inakuja, inaka kama tanuru, ambayo wote wenye kiburi na waharifu watakuwa mabua. siku inakuja itawachoma,” asema Bwana wa Majeshi, “siku hiyo itaondoa mzizi au shina.
2 A vama, koji se bojite imena mojega, granuæe sunce pravde, i zdravlje æe biti na zracima njegovijem, i izlaziæete i skakaæete kao teoci od jasala.
Lakini kwenu mnaoliogopa jina langu, jua la haki litawaangazia na uponyaji katika mbawa zake. Mtarukaruka kama ndama zizini.
3 I izgaziæete bezbožnike, jer æe oni biti pepeo pod vašim nogama u dan kad ja uèinim, veli Gospod nad vojskama.
Na waovu wote mtawakanyaga chini, watakuwa majivu chini ya nyazo za miguu yenu siku hiyo nitatenda,”asema Bwana wa Majeshi.
4 Pamtite zakon Mojsija sluge mojega, kojemu zapovjedih na Horivu za svega Izrailja uredbe i zakone.
Kumbukeni kutii sheria za mtumishi wangu Musa, mmri na sheria nilizomwamuru huko Horebu, kwa Israel wote.
5 Evo, ja æu vam poslati Iliju proroka prije nego doðe veliki i strašni dan Gospodnji;
Tazama, nitamtuma Eliya nabii mbele ya siku kuu na yenye kutisha ya kuja kwa Bwana.
6 I on æe obratiti srce otaca k sinovima, i srce sinova k ocima njihovijem, da ne doðem i zatrem zemlju.
Atarudisha moyo wa baba kwa watoto, na mioyo ya watoto kwa baba zao; ili kwamba nisije nikaiangamiza nchi kwa uharibifu wote.”