< Malahija 4 >
1 Jer, gle, ide dan, koji gori kao peæ, i svi æe ponositi i svi koji rade bezbožno biti strnjika, i upaliæe ih dan koji ide, veli Gospod nad vojskama, i neæe im ostaviti ni korijena ni grane.
“Hakika siku inakuja, itawaka kama tanuru. Wote wenye kiburi na kila mtenda mabaya watakuwa mabua makavu, na siku ile inayokuja itawawasha moto,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote. “Hakuna mzizi wala tawi litakalosalia kwao.
2 A vama, koji se bojite imena mojega, granuæe sunce pravde, i zdravlje æe biti na zracima njegovijem, i izlaziæete i skakaæete kao teoci od jasala.
Bali kwenu ninyi mnaoliheshimu Jina langu, jua la haki litawazukia, lenye kuponya katika mabawa yake. Nanyi mtatoka nje na kurukaruka kama ndama aliyeachiwa kutoka zizini.
3 I izgaziæete bezbožnike, jer æe oni biti pepeo pod vašim nogama u dan kad ja uèinim, veli Gospod nad vojskama.
Kisha ninyi mtawakanyaga waovu, nao watakuwa majivu chini ya nyayo za miguu yenu siku ile nitakayofanya mambo haya,” asema Bwana Mwenye Nguvu Zote.
4 Pamtite zakon Mojsija sluge mojega, kojemu zapovjedih na Horivu za svega Izrailja uredbe i zakone.
“Kumbukeni sheria ya mtumishi wangu Mose, amri na sheria nilizompa huko Horebu kwa ajili ya Israeli wote.
5 Evo, ja æu vam poslati Iliju proroka prije nego doðe veliki i strašni dan Gospodnji;
“Tazama, nitawapelekea nabii Eliya kabla ya kuja siku ile iliyo kuu na ya kutisha ya Bwana.
6 I on æe obratiti srce otaca k sinovima, i srce sinova k ocima njihovijem, da ne doðem i zatrem zemlju.
Ataigeuza mioyo ya baba iwaelekee watoto wao, na mioyo ya watoto iwaelekee baba zao, la sivyo nitakuja na kuipiga nchi kwa laana.”