< Levitski Zakonik 22 >
1 I reèe Gospod Mojsiju govoreæi:
Yahweh akazungumza na Musa, kusema,
2 Kaži Aronu i sinovima njegovijem da se èuvaju od svetijeh stvari sinova Izrailjevih, da ne bi oskvrnili sveto ime moje u onom što mi oni posveæuju; ja sam Gospod.
“Ongea na Aroni na wanawe, waambie wajiepushe na vitu vitakatifu vya watu wa Israeli wanavyovitenga kwangu. Wasilinajisi jina langu. Mimi ndimi Yahweh.
3 Reci im: ko bi god iz sjemena vašega od koljena na koljeno pristupio k svetijem stvarima, koje bi posvetili sinovi Izrailjevi Gospodu, kad je neèistota njegova na njemu, taj neka se istrijebi ispred lica mojega; ja sam Gospod.
Waambie, 'Ikiwa mmoja wa wazao wenu katika vizazi vyenu vyote anakaribia vitu vitakatiifu vile ambavyo watu wa Israeli wamevitenga kwa Yahweh, wakati akiwa najisi, sharti mtu huyo akatiliwe mbali atoke mbele zangu. Mimi ndimi Yahweh.
4 Ko bi god iz sjemena Aronova bio gubav ili bi išlo sjeme od njega, neka ne jede svetijeh stvari dokle ne bude èist; tako i koji bi se dotakao koga neèista od mrtva tijela ili onoga od koga je izašlo sjeme.
Hatakuwapo yeyote wa uzao wa Aroni aliye na ungonjwa wa ngozi wa kuambukiza, au maambukizi yatirirkayo kutoka mwilini mwake, atakayekula sehemu yoyote ya dhabihu inatolewayo kwa Yahweh mpaka atakapotakasika. Yeyote agusaye kitu chochote kilichonajisi kwa njia ya kugusa maiti, au kwa kumgusa mtu yeyote aliyetokwa na shahawa,
5 Ili ko bi se dotakao èega što gamiže po zemlji, od èega bi se oskvrnio, ili èovjeka od kojega bi se oskvrnio kakve mu drago radi neèistote njegove,
au yeyote agusaye mnyama atakayemtia unajisi, au mtu yeyote atakayemfanya najisi, kwa hiyo unajisi wowote unaweza kuwa—
6 Ko bi se dotakao takoga èega, biæe neèist do veèera; zato neka ne jede svetijeh stvari ako ne okupa tijela svojega u vodi.
kuhani yeyote agusaye kitu chochote kisichosafi atakuwa najisi hata jioni. Hatakula chochote cha vitu vitakatifu, isipokuwa ameuosha mwili wake katika maji.
7 A kad zaðe sunce, biæe èist, i onda može jesti od svetijeh stvari; jer mu je hrana.
Jua linapotua, ndipo atakuwa safi. Baada ya machweo anaweza kula kutoka katika vitu vitakatifu, kwasababu hivyo ni vyakuala vyake.
8 Mrcinoga ili što raskine zvjerka neka ne jede, da se njim ne skvrni; ja sam Gospod.
Asile mzoga wowote uliookotwa au mnyama aliyeraruliwa na wanyama pori, ambaye kwake atajitia unajisi. Mimi ndimi Yahweh.
9 Tako neka drže što sam uredio da se drži, da ne navuku na se grijeha i ne umru od njega oskvrnivši se. Ja sam Gospod, koji ih posveæujem.
Ni lazima makuhani wafuate maagizo yangu, ama sivyo watakuwa na hatia ya dhambi na wangeweza kufa kwa kunitia unajisi. Mimi ndimi Yahweh ninayewafanya wao watakatifu.
10 Niko drugi da ne jede svetijeh stvari, ni ukuæanin sveštenikov ni nadnièar da ne jede svetijeh stvari.
Hakuna mtu kutoka nje ya familia ya kuahani, wakiwemo wageni wa kuhani au watumwa wake wa kuajiliwa, atakayeweza kula kitu chochote kilicho kitakatifu.
11 A kad sveštenik kupi koga za novce, taj neka ih jede, i koji se rodi u kuæi njegovoj; oni neka jedu jela njegova.
Lakini kama huyo kuhani amenunua mtumwa kwa fedha yake mwenyewe, mtumwa huyo anaweza kula kutoka katika vitu vilivyotengwa kwa Yahweh. Na watu wa familia ya kuhani na watumwa waliozaliwa nyumbani mwake, pia wanaweza kula pamoja naye kutoka katika vitu hivyo.
12 Ali kæi sveštenièka kad se uda za èovjeka drugoga plemena, ona da ne jede od žrtava podignutijeh svetijeh stvari.
Ikiwa binti wa kuhani ameolewa na mtu asiye kuhani, hataweza kula chochote cha mchango wa matoleo matakatifu.
13 A kæi sveštenièka ako obudovi, ili je pusti muž, ako nema poroda, neka se vrati kuæi oca svojega kao što je bila u djetinjstvu svojem, hljeb oca svojega neka jede; ali niko drugoga plemena da ga ne jede.
Lakini ikiwa huyo binti wa kuhani ni mjane au ametalikiwa, na ikiwa hana mtoto, na anarudi kuishi knyumbani kwa baba yake kama alivyokuwa wakati wa ujana wake, anaweza kula kutoka katika chakula cha baba yake. Lakini hakuna yeyote asiye wa familia ya kikuhani anatakayeruhusiwa kula kutoka katika chakula cha kuhani.
14 A ko bi nehotice jeo svetu stvar, neka dometne peti dio i naknadi svešteniku svetu stvar,
Kama mtu anakula chakula kitakatifu bila ya kukijua, naye atamlipa kuahani kwa ajili ya hicho; itampasa kuongeza moja ya tano juu yake na kukirejesha kwa kuhani.
15 Da ne bi skvrnili svetijeh stvari sinova Izrailjevih, koje prinose Gospodu,
Haiwapasi watu wa Israeli kutoheshimu vitu vitakatifu ambavyo vimeinuliwa juu na kuletwa kwa Yahweh,
16 I da ne bi navlaèili na njih kara za prijestup jeduæi svete stvari njihove, jer sam ja Gospod, koji ih posveæujem.
kisha wakajisababishia wenyewe kuchukua dhambi amabyo ingewafanya kuwa na hatia ya kula chakula kitakatifu, kwa kuwa mimi ndimi Yahweh awafanyaye wao watakatifu.”
17 Još reèe Gospod Mojsiju govoreæi:
Yahweh akazungumza na Musa, akasema,
18 Kaži Aronu i sinovima njegovijem i svijem sinovima Izrailjevijem, i reci im: ko god od doma Izrailjeva ili izmeðu stranaca koji su u Izrailju hoæe da prinese žrtvu svoju po kakvom god zavjetu svom, ili od dobre volje svoje dar, što se prinosi Gospodu na žrtvu paljenicu,
“Sema na Aroni na wanawe, na kwa watu wa Israeli wote. Waambie, Mwisraeli yeyote, au Mgeni anayeishi katika Israeli, waletapo dhabihu—iwe ni kutimiza kiapo, au iwe ni sadaka ya hiari, au wanaleta kwa Yahweh sadaka ya kuteketezwa kwa moto,
19 Neka prinese drage volje muško zdravo od goveda ili od ovaca ili od koza.
ikiwa wanataka ikubalike, ni lazima watowe mnyama dume asiye na dosari, kutoka kwenye kundi la ng'ombe, kondoo au mbuzi
20 Na èem bi bila mana, ono ne prinosite, jer vam se ne bi primilo.
Lakini hamtatoa chochote kilicho na dosari. Sitakipokea kwa niaba yenu.
21 I kad ko hoæe da prinese žrtvu zahvalnu Gospodu, izvršujuæi zavjet ili od svoje volje dajuæi dar, od goveda ili od sitne stoke, neka bude zdravo, da bi bilo primljeno; nikake mane da nema na njemu.
Yeyote atoae dhabihu ya sadaka ya ushirika kutoka katika kundi la ng'ombe au la kondoo kwa Yahweh ili kutimiza kiapo, au kama sadaka ya hiari, ili ikubalike, ni lazima isiwe na kilema. Ni lazima pasiweko na kasoro katika mnyama.
22 Slijepo ili kojemu je što slomljeno ili odbijeno, ni gutavo ni krastavo ni lišajivo, što je tako ne prinosite Gospodu, i ne meæite ih na oltar Gospodnji za žrtvu ognjenu.
Msitoe kabisa wanyama waliovipofu, waliojeruhiwa, wala walio na kilema, wenye upele, vidonda vitokavyo usaha, wala wenye vigaga. Msiwatoe hawa kuwa dhabihu ya kuteketezwa kwa moto iliyotolewa kwa Yahweh juu ya madhabahu.
23 A vola ili ovcu ili kozu s udom kojim prevelikim ili premalim možeš prinijeti za dobrovoljni dar; ali za zavjet neæe se primiti.
Unaweza kumleta makisai au mwana-kondoo mlemavu au aliyedumaa kuwa sadaka ya hiari, lakini sadaka kama hiyo kwa ajili kutimiza kiapo, haitapokelewa.
24 Ujalovljeno uvrtanjem, tuèenjem, kidanjem ili rezanjem, ne prinosite Gospodu; i ne èinite toga u zemlji svojoj.
Usitoe kwa Yahweh mnyama yeyote aliyetiwa jeraha, kupondwa, au kukatwa korodani zake.
25 I iz ruke tuðinske nemojte uzimati nijedne stvari da prinesete hljeb Bogu svojemu; jer je kvar njihov u njima; imaju manu, neæe vam se primiti.
Usifanye haya katika nchi yako. Usilete mkate wa Mungu wako kutoka mkononi mwa mgeni. Hao wanyama wenye vilema na dosari ndani yao, hawatapokelewa kabisa kwa ajili yako.
26 Još reèe Gospod Mojsiju govoreæi:
Yahweh akamwambia Musa na akasema,
27 Tele i jagnje i jare kad se omladi, neka bude sedam dana kod majke svoje, pa od osmoga dana i poslije biæe ugodno za žrtvu ognjenu Gospodu.
“Wakati ndama, mwana—kondo au mwana—mbuzi azaliwapo, sharti abaki na mama yake kwa muda wa siku saba. Ndipo kuanzia siku ya nane na kuendelea, anaweza kupokelewa kuwa dhabihu iliyofanywa kwa moto kwa Yahweh.
28 A krave ni ovce ni koze ne koljite u jedan dan s mladetom njezinijem.
Usimchinje ng'ombe jike pamoja na ndama wake au mbuzi jike pamoja na kitoto chake kwa siku moja.
29 I kad prinosite Gospodu žrtvu radi hvale, prinesite je dragovoljno.
Utoapo sadaka ya shukrani kwa Yahweh utaitoa kwa njia iliyokubalika.
30 Neka se jede istoga dana, i ne ostavljajte ništa do jutra; ja sam Gospod.
Ni lazima iliwe siku iyo hiyo inayotolewa. Hutakiwi kubakiza chochote hata asubuhi. Mimi ndimi Yahweh.
31 Zato držite zapovijesti moje, i vršite ih; ja sam Gospod.
Kwa hiyo imewapasa kuzishika amri zangu na kuzifuata. Mimi ndimi Yahweh.
32 I nemojte skvrniti svetoga imena mojega, i ja æu se svetiti meðu sinovima Izrailjevim; ja sam Gospod, koji vas posveæujem.
Msiliabishe jina langu takatifu. Ni lazima nitambuliwe kuwa ni mtakatifu na watu wa Israeli. Mimi ndimi Yahweh niwafanyaye ninyi watakatifu,
33 Koji sam vas izveo iz zemlje Misirske da vam budem Bog; ja sam Gospod.
ambaye amewaleta kutoka katika nchi ya Misri ili niwe Mungu wenu: Mimi ndimi Yahweh.”