< Sudije 21 >

1 A sinovi Izrailjevi bijahu se zakleli u Mispi rekavši: nijedan izmeðu nas da ne da kæeri svoje za ženu sinu Venijaminovu.
Sasa watu wa Israeli walikuwa wameahidi huko Mispa, “Hakuna hata mmoja wetu atakayempa binti yake kuolewa na Mbenyamini.”
2 Zato otide narod k domu Božijemu, i ostaše ondje do veèera pred Bogom, i podigavši glas svoj plakaše vrlo,
Ndipo watu wakaenda Betheli, wakakaa huko mbele ya Mungu hata jioni; wakalia kwa sauti kubwa.
3 I rekoše: zašto se, Gospode Bože Izrailjev, dogodi ovo u Izrailju, danas da nestane jednoga plemena iz Izrailja?
Walipiga kelele, “Kwa nini, Bwana, Mungu wa Israeli, amefanya jambo hili kwa Waisraeli, kwamba moja ya makabila yetu linapotea leo?”
4 I sjutradan urani narod, i naèini ondje oltar, i prinesoše žrtve paljenice i žrtve zahvalne.
Siku iliyofuata watu waliamka mapema na wakajenga madhabahu huko na kutoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani.
5 Tada rekoše sinovi Izrailjevi: ima li ko da nije došao na zbor iz svijeh plemena Izrailjevijeh ka Gospodu? Jer se bijahu teško zakleli za onoga ko ne doðe u Mispu ka Gospodu rekavši: da se pogubi.
Watu wa Israeli wakasema, “Ni nani kati ya kabila zote za Israeli hawakuja katika mkutano wa Bwana?” Kwa kuwa walikuwa wamefanya ahadi muhimu juu ya mtu yeyote ambaye hakuja kwa Bwana huko Mispa. Wakasema, “Hakika yeye atauawa.”
6 Jer se sinovima Izrailjevijem sažali za Venijaminom bratom njihovijem, i rekoše: danas se istrijebi jedno pleme iz Izrailja.
Watu wa Israeli walikuwa na huruma kwa ndugu yao Benyamini. Wakasema, “Leo hii kabila moja limekatiliwa mbali kutoka Israeli.
7 Šta æemo èiniti s onima što su ostali da bi imali žene, kad se zaklesmo Gospodom da im ne damo kæeri svojih za žene?
Ni nani atakayewapa wale walioachwa wake, kwa kuwa tumeahidi kwa Bwana kwamba hatuwezi kuwaruhusu yeyote kati yao aoe binti zetu?”
8 Pa rekoše: ima li ko iz plemena Izrailjevijeh da nije došao u Mispu ka Gospodu? I gle, ne bješe došao na vojsku, na zbor, niko iz Javisa Galadova.
Wakasema, “Ni nani kati ya kabila za Israeli hawakuja kwa Bwana huko Mispa? Ilionekana kuwa hakuna mtu aliyekuja kwenye mkusanyiko kutoka Jabeshi-Gileadi.
9 Jer kad se narod prebroji, gle, ne bješe ondje nijednoga od onijeh koji žive u Javisu Galadovu.
Kwa maana watu walipokuwa wamepangwa kwa utaratibu, tazama, hakuna hata mmoja wa wenyeji wa Yabeshi Gileadi.
10 Zato posla zbor onamo dvanaest tisuæa hrabrijeh ljudi, i zapovjedi im govoreæi: idite i pobijte stanovnike u Javisu Galadovu oštrijem maèem i žene i djecu.
Mkutano huo uliwatuma watu kumi na wawili wa watu wao wenye ujasiri kwa maagizo ya kwenda Jabeshi-gileadi na kuwaangamiza, na kuwaua, hata wanawake na watoto.
11 Ovo æete dakle uèiniti: sve muškinje i sve ženskinje što je poznalo èovjeka pobijte.
“Fanya hivi unapaswa kuua kila mume na kila mwanamke aliyelala na mwanaume.”
12 I naðoše meðu stanovnicima Javisa Galadova èetiri stotine djevojaka, koje ne bjehu poznale èovjeka, i dovedoše ih u oko u Silom, koji je u zemlji Hananskoj.
Watu wale walikuta watu kati ya hao waliokaa Yabeshi-gileadi, wanawake mia nne ambao hawakulala na mwanaume, wakawapeleka kwenye kambi huko Shilo, huko Kanaani.
13 Tada posla sav zbor, te govoriše sinovima Venijaminovijem koji bjehu u stijeni Rimonu, i objaviše im mir.
Mkutano wote ukatuma ujumbe na kuwaambia watu wa Benyamini waliokuwa kwenye mwamba wa Rimoni kwamba walikuwa wanawapa amani.
14 Tako se vratiše sinovi Venijaminovi u to vrijeme, i dadoše im žene koje ostaviše u životu izmeðu žena iz Javisa Galadova; ali ih ne bješe dosta za njih.
Wabenyamini walirudi wakati huo na walipewa wanawake wa Yabeshi Gileadi, lakini hapakuwa na wanawake wa kutosha kwa wote.
15 A narodu bješe žao Venijamina što Gospod okrnji plemena Izrailjeva.
Watu waliomboleza kwa kile kilichotokea Benyamini, kwa kuwa Bwana alifanya mgawanyiko kati ya makabila ya Israeli.
16 Pa rekoše starješine od zbora: šta æemo èiniti s ovima što su ostali da bi imali žene? jer su izginule žene u plemenu Venijaminovu.
Kisha wakuu wa mkutano wakasema, “Tutafanyaje ili Wabenyamini wapate wake, kwa kuwa wanawake wa Benyamini wameuawa?”
17 Potom rekoše: našljedstvo Venijaminovo pripada onima što su ostali, da se ne bi zatrlo pleme iz Izrailja.
Wakasema, 'Lazima kuwe na urithi kwa Wabenyamini waliosalia, ili kabila lisiharibiwe kutoka Israeli.
18 A mi im ne možemo dati žena izmeðu kæeri svojih; jer su se zakleli sinovi Izrailjevi rekavši: da je proklet ko da ženu sinovima Venijaminovijem.
Hatuwezi kuwapa wake kutoka kwa binti zetu, kwa kuwa wana wa Israeli walikuwa wametoa ahadi, 'Na alaaniwe mtu atakayempa Benyamini mke.'”
19 Potom rekoše: evo, godišnji je praznik Gospodnji u Silomu, koji je sa sjevera Vetilju, k istoku, na putu koji ide od Vetilja u Sihem, i s juga Levoni.
Wakasema, “Mnajua kuwa kuna sikukuu kwa Bwana kila mwaka huko Shilo ( ambayo ni kaskazini ya Betheli, mashariki ya barabara inayopanda kutoka Betheli hadi Shekemu, na kusini mwa Lebona).
20 I zapovjediše sinovima Venijaminovijem govoreæi: idite, i zasjedite po vinogradima.
Wakawaagiza wana wa Benyamini, wakisema, “Nendeni, mjifiche kwa siri, na kusubiri katika mashamba ya mizabibu.
21 I pazite: pa kad izidu kæeri Silomske da igraju, izidite iz vinograda i otmite svaki sebi ženu izmeðu kæeri Silomskih; i idite u zemlju Venijaminovu.
Tazama wakati ambapo wasichana kutoka Shilo watatoka kucheza, Tokeni nje ya mizabibu na kila mmoja wenu anapaswa kunyakua mke kutoka kwa wasichana wa Shilo, kisha kurudi kwenye nchi ya Benyamini.
22 A kad doðu oci njihovi ili braæa njihova k nama da se sude, mi æemo im kazati: smilujte im se nas radi, jer u ovom ratu nijesmo zarobili žene za svakoga njih; a vi im nijeste dali, i tako neæete biti krivi.
Wakati baba zao au ndugu zao watakapokuja kutupinga, tutawaambia, 'Tupeni neema! Waache wabaki kwa sababu hatukupata wake kwa kila mtu wakati wa vita. Na ninyi hamna hatia juu ya ahadi, kwa sababu hamkuwapa wao binti zenu.'”
23 Tada sinovi Venijaminovi uèiniše tako, i dovedoše žene prema broju svom izmeðu igraèica koje oteše, i otišavši vratiše se na našljedstvo svoje, i sazidaše opet gradove i naseliše se u njima.
Watu wa Benyamini walifanya hivyo. Walichukua idadi ya wake waliowahitaji kutoka kwa wasichana waliokuwa wakicheza, nao wakawachukua ili wawe wake zao. Wakaenda na kurudi mahali pa urithi wao; wakajenga tena miji, na wakaishi ndani yao.
24 I tako razidoše se sinovi Izrailjevi odande u ono vrijeme svaki u svoje pleme i u porodicu svoju, i otidoše odande svaki na svoje našljedstvo.
Kisha watu wa Israeli wakatoka mahali hapo na kwenda nyumbani, kila mmoja kwa kabila lake na ukoo, na kila mmoja kwa urithi wake mwenyewe.
25 U ono vrijeme ne bješe cara u Izrailju; svaki èinjaše što mu bješe drago.
Siku hizo hapakuwa na mfalme huko Israeli. Kila mtu alifanya yaliyo sawa machoni pake mwenyewe.

< Sudije 21 >