< Sudije 15 >
1 A poslije nekoliko dana, o pšeniènoj žetvi, doðe Samson da pohodi ženu svoju donesavši joj jare, i reèe: idem k ženi svojoj u ložnicu. Ali mu otac njezin ne dade da uðe.
Baada ya siku kadhaa, wakati wa mavuno ya ngano, Samsoni akachukua mbuzi mdogo akaenda kumtembelea mkewe. Akajiambia mwenyewe, “Nitaenda kwenye chumba cha mke wangu.” Lakini baba yake hakumruhusu aingie.
2 Jer reèe otac njezin: ja mišljah zacijelo da ti nije po volji, pa je dadoh drugu tvojemu; nego mlaða sestra njezina nije li ljepša od nje? uzmi nju mjesto one.
Baba yake akasema, “Nilidhani umemchukia, hivyo nikampatia rafiki yako. Dada yake mdogo ni mzuri kuliko yeye, Mchukue badala yake.”
3 A Samson im reèe: ja neæu biti kriv Filistejima kad im uèinim zlo.
Samsoni akawaambia, 'Wakati huu sitakuwa na hatia juu ya Wafilisti wakati nikiwaumiza.'
4 I otišavši Samson uhvati trista lisica, i uze luèa, i sveza po dvije za repove, i metnu po jedan luè meðu dva repa,
Samsoni akaenda na kukamata mbweha mia tatu akawafunga pamoja kila jozi, mkia hadi mkia. Kisha akachukua taa na kuzifunga katikati ya kila mkia.
5 Pa zapali luèeve, i pusti u ljetinu Filistejsku, i popali ljetinu požnjevenu i nepožnjevenu, i vinograde i maslinike.
Alipokwisha kuviwasha moto vienge, akawaachia mbweha katika nafaka za Wafilisti zilizosimama, nao wakawasha moto nafaka zote zilizopandwa, na nafaka iliyosimama shambani, pamoja na mashamba ya mizabibu na mizeituni.
6 Tada Filisteji rekoše: ko je to uèinio? I odgovoriše: Samson zet Tamnaæaninov, jer mu uze ženu i dade je drugu njegovu. Tada doðoše Filisteji i spališe ognjem nju i oca njezina.
Wafilisti waliuliza, “Ni nani aliyefanya hili?” Wakaambiwa, “Samsoni, mkwe wa Mtimna alifanya hivyo kwa sababu Mtimna alimchukua mke wa Samsoni akampa rafiki yake.” Basi Wafilisti wakamwendea wakamchoma kwa moto yeye na baba yake.
7 A Samson im reèe: ako ste i uèinili tako, opet æu vam se osvetiti, pa æu se onda okaniti.
Samsoni akawaambia, “Ikiwa ndivyo mnavyofanya, nitalipiza kisasi juu yenu, na baada ya hayo, nitaacha.”
8 I polomi ih ljuto nogama po bedrima: potom otide i nastani se u peæini od stijene Itama.
Kisha akawakata vipande vipande, paja na mguu, kwa kuwauwa sana. Kisha akashuka chini akaishi katika pango katika mwamba wa Etamu.
9 Tada izidoše Filisteji i stadoše u oko prema Judi, i raširiše se do Lehije.
Ndipo Wafilisti wakaja, wakajitahidi kupigana vita huko Yuda, wakaanzisha jeshi lao huko Lehi.
10 A ljudi od Jude rekoše: što ste izašli na nas? I odgovoriše: izašli smo da svežemo Samsona i da mu uèinimo kako je on nama uèinio.
Watu wa Yuda wakasema, “Kwa nini mmekuja kutupiga?” Wakasema, “Tunashambulia ili tuweze kumkamata Samsoni, na tumtendee kama alivyotutendea.”
11 Tada izide tri tisuæe ljudi iz Jude k peæini u stijeni Itamu, i rekoše Samsonu: ne znaš li da Filisteji vladaju nad nama? zašto si nam dakle to uèinio? A on im reèe: kako su oni meni uèinili tako ja uèinih njima.
Kisha watu elfu tatu wa Yuda wakashuka hata kwenye pango la Eatamu, wakamwambia Samsoni, “Je, hujui kwamba Wafilisti hutawala juu yetu? Je! umetutendea nini?” Samsoni akawaambia, “Kwa kadili walivyonitendea mimi, vivyo hivyo nimewatendea wao.”
12 Oni mu rekoše: došli smo da te svežemo i predamo u ruke Filistejima. A Samson im reèe: zakunite mi se da neæete vi uložiti na me.
Wakamwambia Samsoni, “Tumeshuka kukufunga na kukutia mikononi mwa Wafilisti.” Samsoni akawaambia, “Niapieni kwamba hamtaniua ninyi wenyewe.”
13 Oni mu odgovoriše i rekoše: neæemo; nego æemo te samo svezati i predati u njihove ruke, ali te neæemo pogubiti. I svezaše ga u dva nova uža i odvedoše ga iz stijene.
Wakamwambia, “La, tutakufunga tu kwa kamba na kukupeleka kwao. Tunakuahidi sisi hatutakuua.” Kisha wakamfunga na kamba mbili mpya na kumleta kutoka kwenye mwamba.
14 I kad on doðe do Lehije, Filisteji ga sretoše vièuæi od radosti; a duh Gospodnji siðe na nj, i uža na rukama njegovima postaše kao konci izgorjeli od vatre, i spadoše sveze s ruku njegovijeh.
Alipofika Lehi, Wafilisti walipiga kelele walipokutana naye. Kisha Roho wa Bwana akaja juu yake kwa nguvu. Kamba zilizokuwa juu ya mikono yake zikawa kama kitambaa cha kuteketezwa, na zikaanguka mikononi mwake.
15 I on naðe èeljust magareæu još sirovu, i pruživ ruku svoju uze je, i pobi njom tisuæu ljudi.
Samsoni alipata mfupa mbichi wa taya ya punda, naye akaichukua na kuua watu elfu kwa mfupa huo.
16 Potom reèe Samson: èeljušæu magareæom jednu gomilu, dvije gomile, èeljušæu magareæom pobih tisuæu ljudi.
Samsoni akasema, “Kwa taya ya punda, chungu juu ya chungu, na njaa ya punda nimewaua watu elfu.”
17 A kad izreèe, baci èeljust iz ruke svoje, i nazva ono mjesto Ramat-Lehija.
Samsoni alipomaliza kuzungumza, akatupa taya, na akaita mahali pale Ramath Lehi.
18 I bijaše žedan jako, te zavapi ka Gospodu i reèe: ti si uèinio rukom sluge svojega ovo izbavljenje veliko; a sada hoæu li umrijeti od žeði, ili æu pasti u ruke neobrezanima?
Samsoni alikuwa na kiu sana akamwita Bwana na kusema, “Umempa mtumishi wako ushindi mkubwa. Lakini sasa nitakufa kwa kiu na kuanguka mikononi mwa wale wasiootahiriwa?”
19 Tada Bog rascijepi stijenu u Lehiji, i proteèe voda iz nje, te se napi, i povrati mu se duh i oživje. Zato se prozva onaj izvor En-Akore, koji je u Lehiji do današnjega dana.
Na Mungu akapafungua mahali pa shimo palipo katika Lehi, na maji yakatoka. Alipokunywa, nguvu zake zikarejea na akahuishwa. Kwa hiyo aliita jina la mahali hapo Enhakore, na ni huko Lehi hadi leo.
20 I bi sudija Izrailju za vremena Filistejskoga dvadeset godina.
Samsoni alikuwa mwamuzi wa Israeli katika siku za Wafilisti kwa miaka ishirini.