< Isus Navin 11 >

1 A kad to èu Javin car Asorski, posla k Jovavu caru Madonskom i k caru Simronskom i k caru Ahsavskom,
Basi ikawa aliposikia haya, Yabini, mfalme wa Hazori, alituma ujumbe kwa Yobabu, mfalme wa Madoni, na kwa mfalme Shimroni, na kwa mfalme wa Akshafu.
2 I k carevima koji bijahu na sjeveru u gorama i po ravnicama na jugu od Hinerota i u dolini i u Nafat-Doru na zapad,
Alituma pia ujumbe kwa wafalme walikuwa katika mlima wa kaskazini mwa nchi, katika bonde la Mto Yordani kusini mwa Kinerethi, katika nchi za tambarare, na katika nchi za milima ya Dori kuelekea magharibi.
3 Ka Hananejinu na istoku i zapadu, i Amorejinu i Hetejinu i Ferezejinu i Jevusejinu u gorama, i k Jevejinu pod Ermonom u zemlji Mispi.
Pia, alituma ujumbe kwa Wakanaani walioko mashariki na magharibi, Waamori, Wahiti, Waperizi, Wayebusi katika nchi za milima, na Wahivi karibu na Mlima Hermoni katika nchi ya Mizipa.
4 I izidoše oni i sva vojska njihova s njima, mnogi narod kao pijesak na brijegu morskom, i konji i kola mnoga veoma.
Maadui zao wote walitoka pamoja nao, wanajeshi wengi sana, hesabu yao ilikuwa kama mchanga wa pwani. Walikuwa na farasi wengi sana na magari.
5 Svi ti carevi dogovoriše se i doðoše, i stadoše zajedno u oko na vodi Meromu, da udare na Izrailja.
Wafalme wote hawa walikutana katika muda waliokuwa wameupanga, na walipiga kambi katika maji ya Meromu ili kupigana vita na Israeli.
6 A Gospod reèe Isusu; ne boj ih se; jer sjutra u ovo doba ja æu uèiniti te æe svi biti pobijeni pred Izrailjem; konjma njihovijem ispresijecaj žile, i kola njihova popali ognjem.
Yahweh akamwambia Yoshua, “Usiogope mbele zao, kwa kuwa muda kama huu kesho ninawatia hao kwa Waisraeli wakiwa wafu. Utaivunja vunja miguu ya farasi zao, na utayachoma moto magari yao.”
7 I izide Isus i sva vojska s njim na njih na vodu Merom iznenada, i udariše na njih.
Yoshua na watu wote wa vita walitoka na mara wakafika katika maji ya Meromu, na wakawashambulia maadui.
8 I Gospod ih dade u ruke Izrailju, te ih razbiše i tjeraše ih do Sidona velikoga i do vode Misrefota i do polja Mispe na istok; i tako ih pobiše da ne ostaviše nijednoga živa.
Yahweh akawatia maadui katika mkono wa Israeli, na waliwapiga kwa upanga na wakawafuata mpaka Sidoni, Misrefothi - Maimu, na katika bonde la Mizipa upande wa mashariki. Waliwaua wote hakuna hata mmoja aliyeachwa hai.
9 I uèini im Isus kako mu bješe zapovjedio Gospod: konjma njihovijem ispresijeca žile, i kola njihova popali ognjem.
Yoshua aliwatendea kama vile Yahweh alivyomwambia. Alivunja miguu ya farasi na magari aliyachoma moto.
10 I vrativši se Isus u to vrijeme, uze Asor, i ubi cara njegova maèem; a Asor bješe prije glava svijem tijem carstvima.
Kwa wakati huo, Yoshua alirudi na akauteka mji wa Hazori. Alimwua mfalme wake kwa upanga (Hazori ulikuwa ni kichwa cha falme hizi zote).
11 I pobiše sve živo što bješe u njemu oštrijem maèem sijekuæi, te ne osta ništa živo; a Asor spališe ognjem.
Waliwapiga kwa upanga kila kiumbe chenye uhai kilichokuwa huko, na alivitenga ili viteketezwe, hivyo hapakuwa na kiumbe hai kilichoachwa hai. Na kisha aliuchoma moto Hazori.
12 I sve gradove onijeh careva i sve careve njihove uze Isus i isijeèe ih oštrijem maèem i pobi ih, kao što bješe zapovjedio Mojsije sluga Gospodnji.
Yoshua aliiteka miji yote ya wafalme hawa. Aliwateka pia wafalme wake wote na akawapiga wote kwa upanga. Aliwateketeza kabisa kwa upanga, kama Musa mtumishi wa Yahweh alivyoagiza.
13 Ali nijednoga grada koji osta u opkopima svojim ne popali Izrailj, osim samoga Asora, koji spali Isus.
Waisraeli hawakuchoma moto mji wowote miongoni mwa miji iliyojengwa juu ya vilima vya vifuasi vya udongo, isipokuwa Hazori, ndio mji pekee ambao Yoshua aliuchoma kwa moto.
14 A sav plijen iz tijeh gradova i stoku pograbiše za sebe sinovi Izrailjevi; samo ljude sve isjekoše oštrijem maèem, te ih istrijebiše, ne ostaviše ništa živa.
Jeshi la Israeli lilichukua nyara kutoka katika miji pamoja na mifugo kwa ajili yao wenyewe. Waliua kila mtu kwa upanga hadi pale walipokufa wote. Hakuna kiumbe hai kilichoachwa hai.
15 Kako zapovjedi Gospod Mojsiju sluzi svojemu, tako Mojsije zapovjedi Isusu, a Isus tako uèini; ništa ne izostavi od svega što bješe Gospod zapovjedio Mojsiju.
Kama vile Yahweh alivyomwagiza mtumishi wake Musa, na kwa namna hiyo hiyo, Musa alivyomwagiza Yoshua. Na katika mambo yote ambayo Yahweh alimwamuru Musa kuyafanya, Yoshua hakuacha kufanya hata jambo moja.
16 I tako uze Isus svu tu zemlju, gore i sav južni kraj i svu zemlju Gosensku, i ravnicu i polje, goru Izrailjevu i ravnicu njegovu.
Yoshua alitwaa nchi hiyo yote, nchi ya milima, Negevu yote, nchi yote ya Gosheni, nchi ya vilima vidogo, bonde la Mto Yordani, nchi ya milima ya Israeli, na nchi tambarare.
17 Od gore Alaka, koja se pruža k Siru, do Val-Gada u polju Livanskom, pod gorom Ermonom; i sve careve njihove zarobi i pobi ih i pogubi.
Kutoka Mlima Halaki karibu na Edomu, kuelekea kasikazini hadi Baali Gadi katika bonde karibu na Lebanoni chini ya Mlima Hermoni, aliwateka wafalme wake wote na kuwaua.
18 Dugo vremena vojeva Isus na te careve.
Yoshua alipigana vita na wafalme wote kwa muda mrefu.
19 Ne bi nijednoga grada koji uèini mir sa sinovima Izrailjevijem, osim Jeveja koji življahu u Gavaonu; sve ih uzeše ratom.
Hakuna hata mji mmoja uliofanya amani na jeshi la Israeli isipokuwa Wahivi walioishi Gibeoni. Israeli ilitwaa miji yote iliyosalia katika vita.
20 Jer od Gospoda bi, te otvrdnu srce njihovo da izidu u boj na Izrailja, da bi ih potro i da im ne bi bilo milosti, nego da bi ih istrijebio, kao što bješe zapovjedio Gospod Mojsiju.
Kwa kuwa alikuwa ni Yahweh ambaye alikuwa ameifanya kuwa migumu mioyo yao ili wapande na kufanya vita dhidi ya Israeli, ili kwamba aweze kuwaangamiza kabisa, na kutowaonesha huruma, kama alivyomwaagiza Musa.
21 U to vrijeme doðe Isus, te istrijebi Enakime iz gora, iz Hevrona, iz Davira, iz Anava i iz sve gore Judine i iz sve gore Izrailjeve, s gradovima njihovijem potr ih Isus.
Kisha Yoshua akaja kwa wakati ule na aliiangamiza Anakimu. Aliyafanya haya katika nchi ya milima, huko Hebroni, Debiri, Anabu, na katika nchi yote ya Yuda, na katika nchi yote ya milima ya Israeli. Yoshua aliwaangamiza kabisa pamoja na miji yao.
22 Nijedan Enakim ne osta u zemlji sinova Izrailjevih; samo u Gazi, u Gatu i u Azotu ostaše.
Hakuna hata mmoja wa watu wa Anakimu aliyeachwa katika nchi ya Israeli, isipokuwa huko Gaza, Gathi na Ashidodi.
23 Tako uze Isus svu zemlju, kao što bješe kazao Gospod Mojsiju; i dade je u našljedstvo Izrailju prema dijelovima njihovijem, po plemenima njihovijem. I zemlja poèinu od rata.
Hivyo Yoshua aliiteka nchi yote, kama vile Yahweh alivyomwambia Musa. Yoshua aliwapa Israeli kama urithi, kila kabila lilipewa sehemu yake. Kisha nchi ikapumzika bila vita.

< Isus Navin 11 >