< Jov 5 >
1 Zovi; hoæe li ti se ko odazvati? i komu æeš se izmeðu svetijeh obratiti?
“Ita kama unataka, lakini ni nani atakayekujibu? Ni yupi kati ya hao watakatifu utakayemgeukia?
2 Doista bezumnoga ubija gnjev, i ludoga usmræuje srdnja.
Kuweka uchungu moyoni humuua mpumbavu, nao wivu humchinja mjinga.
3 Ja vidjeh bezumnika gdje se ukorijenio; ali odmah prokleh stan njegov.
Mimi mwenyewe nimemwona mpumbavu akistawi, lakini ghafula nyumba yake ikawa imelaaniwa.
4 Sinovi su njegovi daleko od spasenja i satiru se na vratima a nema ko da izbavi.
Watoto wake wako mbali na usalama, hushindwa mahakamani bila mtetezi.
5 Ljetinu njegovu jede gladni i ispred trnja kupi je, i lupež ždere blago njihovo.
Wenye njaa huyala mavuno yake, wakiyatoa hata katikati ya miiba, nao wenye kiu huitamani sana mali yake.
6 Jer muka ne izlazi iz praha niti nevolja iz zemlje nièe.
Kwa maana taabu haioti kutoka kwenye udongo, wala udhia hauchipui kutoka ardhini.
7 Nego se èovjek raða na nevolju, kao što iskre iz ugljevlja uzlijeæu u vis.
Lakini mwanadamu huzaliwa ili kutaabika, kwa hakika kama cheche za moto zirukavyo kuelekea juu.
8 Ali ja bih Boga tražio, i pred Boga bih iznio stvar svoju,
“Lakini ingekuwa ni mimi, ningemlalamikia Mungu, ningeliweka shauri langu mbele zake.
9 Koji èini stvari velike i neispitljive, divne, kojima nema broja;
Yeye hutenda maajabu yasiyoweza kutambuliwa, miujiza isiyoweza kuhesabika.
10 Koji spušta dažd na zemlju i šalje vodu na polja;
Yeye huipa nchi mvua, huyapeleka maji kunyesha mashamba.
11 Koji podiže ponižene, i žalosne uzvišuje k spasenju;
Huwainua juu wanyonge, nao wale waombolezao huinuliwa wakawa salama.
12 Koji rasipa misli lukavijeh da ruke njihove ne svrše ništa;
Huipinga mipango ya wenye hila, ili mikono yao isifikie ufanisi.
13 Koji hvata mudre u njihovu lukavstvu, i namjeru opakih obara;
Yeye huwanasa wenye hekima katika hila yao, nayo mipango ya wadanganyifu huifagilia mbali.
14 Danju nailaze na mrak, i u podne pipaju kao po noæi.
Giza huwapata wakati wa mchana; wakati wa adhuhuri hupapasa kama vile usiku.
15 On izbavlja ubogoga od maèa, od usta njihovijeh i od ruke silnoga.
Humwokoa mhitaji kutokana na upanga ulioko kinywani mwao; huwaokoa kutokana na makucha ya wenye nguvu.
16 Tako ima nadanja siromahu, a zloæa zatiskuje usta svoja.
Kwa hiyo maskini analo tarajio, nao udhalimu hufumba kinywa chake.
17 Gle, blago èovjeku koga Bog kara; i zato ne odbacuj karanja svemoguæega.
“Heri mtu yule ambaye Mungu humrudi; kwa hiyo usidharau adhabu yake Mwenyezi.
18 Jer on zadaje rane, i zavija; on udara, i ruke njegove iscjeljuju.
Kwa kuwa hutia jeraha, lakini pia huyafunga; huumiza, lakini mikono yake pia huponya.
19 Iz šest nevolja izbaviæe te; ni u sedmoj neæe te se zlo dotaæi.
Kutoka majanga sita atakuokoa; naam, hata katika saba hakuna dhara litakalokupata wewe.
20 U gladi izbaviæe te od smrti i u ratu od maèa.
Wakati wa njaa atakukomboa wewe na kifo, naye katika vita atakukomboa na pigo la upanga.
21 Kad jezik šiba, biæeš sakriven, niti æeš se bojati pustoši kad doðe.
Utalindwa kutokana na kichapo cha ulimi, wala hutakuwa na sababu ya kuogopa maangamizi yatakapokujia.
22 Smijaæeš se pustoši i gladi, niti æeš se bojati zvijerja zemaljskoga.
Utayacheka maangamizo na njaa, wala hutakuwa na sababu ya kuwaogopa wanyama wakali wa mwituni.
23 Jer æeš s kamenjem poljskim biti u vjeri, i zvijerje æe poljsko biti u miru s tobom.
Kwa kuwa utakuwa na agano na mawe ya mashamba, nao wanyama wa mwitu watakuwa na amani nawe.
24 I vidjeæeš da je mir u šatoru tvom, kuæiæeš kuæu svoju i neæeš se prevariti.
Utajua ya kwamba hema lako li salama; utahesabu mali zako wala hutakuta chochote kilichopungua.
25 Vidjeæeš kako æe ti se umnožiti sjeme tvoje, i porod æe tvoj biti kao trava na zemlji.
Utajua ya kuwa watoto wako watakuwa wengi, nao wazao wako wengi kama majani ya nchi.
26 Star æeš otiæi u grob kao što se žito snosi u stog u svoje vrijeme.
Utaingia kaburini ukiwa na umri wa uzee mtimilifu, kama masuke ya ngano yakusanywapo kwa wakati wake.
27 Eto, razgledasmo to, tako je; poslušaj i razumij.
“Tumelichunguza hili, nalo ni kweli. Hivyo lisikie na ulitendee kazi.”