< Isaija 63 >
1 Ko je ono što ide iz Edoma, iz Vosora, u crvenijem haljinama? krasno odjeven, koraèajuæi u velièini sile svoje? Ja sam, koji govorim pravdu i vrijedan sam spasti.
Ni nani ajaye kutoka Edomu, aliyevaa mavazi rangi nyekundu kutoka Bozra? Ni nani aliye katika mavazi ya kifahari, anayetembea kwa kujiamini kwa sababu ya ukuu wa nguvu zake? Ndiye mimi, nizungumzae haki na uwezo mkubwa wa kuokoa.
2 Zašto ti je crveno odijelo i haljine ti kao u onoga koji gazi u kaci?
Kwa nini umevaa mavazi ya rangi nyekundu, na kwan nini wanaonekana kama akanyagae mizabibu katika vyombo vyake.
3 Gazih sam u kaci, i niko izmeðu naroda ne bješe sa mnom; ali ih izgazih u gnjevu svom i potlaèih u ljutini svojoj; i krv njihova poprska mi haljine i iskaljah sve odijelo svoje.
Nimekanyaga zabibu lililoko katika vyombo vyenyewe, na hakuna hata mmoja kutoka mataifa aliyeungana na mimi. Niliwakanyaga kwa hasira yangu na niliwakanyaga wao kwa hasira yangu. Damu zao zimeruka katika nguo zangu na kuweka madoa nguo zangu zote.
4 Jer je dan od osvete u srcu mom, i doðe godina da se moji iskupe.
Maana niliangalia mbele katika siku ya kisasi, na mwaka wa ukombozi ulikwishawadia.
5 Pogledah, a nikoga ne bješe da pomože, i zaèudih se što nikoga ne bješe da podupre; ali me desnica moja izbavi i jarost moja poduprije me.
Mimi nilitazama, na hapo hapakuwa na mtu mmoja hata wa kutoa msaada, lakini mkono wangu mwenywe uliniletea ushindi mimi, na hasira yangu kubwa iliniongoza mimi.
6 I izgazih narode u gnjevu svom, i opojih ih jarošæu svojom, i prolih na zemlju krv njihovu.
Niliwakanyaga watu wangu chini kwa hasira yangu na kuwafanya wao wanywe laana yangu, na nilimwaga damu zao juu ya nchi.
7 Pominjaæu dobrotu Gospodnju, hvalu Gospodnju za sve što nam je uèinio Gospod, i mnoštvo dobra što je uèinio domu Izrailjevu po milosti svojoj i po velikoj dobroti svojoj.
Nitakusimulia matendo ya agano la Yahwe lenye kuaminika, matendo ya kusifu ya Yahwe. Nitawasimulia yote ambayo Yahwe ametutendea sisi, na ukuu wa uzuri wake katika nyumba ya Israeli. Huruma hii aliyetuonyesha sisi kwa sababu ya rehema zake na matendo ya agano lake la kuaminika.
8 Jer reèe: doista su moj narod, sinovi, koji neæe iznevjeriti. I bi im spasitelj.
Maana alisema, ''Baadhi yao ni watu wangu, watoto ambao sio waaminifu.'' Amekuwa mwokozi wao.
9 U svakoj tuzi njihovoj on bješe tužan, i anðeo, koji je pred njim, spase ih. Ljubavi svoje radi i milosti svoje radi on ih izbavi, i podiže ih i nosi ih sve vrijeme.
Kupitia mateso yao yote, aliteseka pia, na malaika kutoka mbele yake aliwaokoa wao. Katika upendo wake na rehema aliwakomboa wao, na aliwanyanyua juu na aliwabeba wote katika kipindi chote cha kale.
10 Ali se odmetaše i žalostiše sveti duh njegov; zato im posta neprijatelj, i ratova na njih.
Lakini walimuasi na kumuuzunisha roho mtakatifu. Hivyo basi akkawa adui wao na kupigana dhidi yao.
11 Ali se opomenu starijeh vremena, Mojsija, naroda svojega: gdje je onaj koji ih izvede iz mora s pastirem stada svojega? gdje je onaj što metnu usred njih sveti duh svoj?
Watu wake walifikiri kuhushu nyakati za kale za Musa. Walisema, ''Yuko wapi Mungu, aliyewaleta juu nje ya bahari pamoja na mchungaji wa kundi lake? Yuko wapi Mungu, ambaye aliyeweka roho mtakatifu mwiongoni mwenu?
12 Koji ih vodi slavnom mišicom svojom za desnicu Mojsijevu? koji razdvoji vodu pred njima, da steèe sebi vjeèno ime?
Yuko wapi Mungu, aliyeufanya wingi wa utukufu wake kwenda katika mkono wa kuume wa Musa, na ukaganya maji mbele yao, kulifanya jina lake milele yeye mwenyewe?
13 Koji ih vodi preko bezdana kao konja preko pustinje, da se ne spotakoše?
Yuko wapi Mungu, aliyewaongoza katika maji mengi? Kama farasi anayekimbia kwenye aridhi ambayo ni tambarare, hawakua na mashaka.
14 Duh Gospodnji vodi ih tiho, kao kad stoka slazi u dolinu; tako si vodio svoj narod da steèeš sebi slavno ime.
Kama ng'ombe anayeshuka chini kwenye bonde, Roho ya Yahwe imewapa punziko. Hivyo umewaongoza watu wako, kufanya wewe mwenyewe jina la kusifu.
15 Pogledaj s neba, i vidi iz stana svetinje svoje i slave svoje, gdje je revnost tvoja i sila tvoja, mnoštvo milosrða tvojega i milosti tvoje? eda li æe se meni ustegnuti?
Tazama chini kutoka mbinguni na pata taarifa kutoka kwenye makao ya utukufu wako. Iko wapi bidii yenu na matendo makuu? Uruatendo yako ya uruma yamezuiliwaa kutoka kwetu.
16 Ti si zaista otac naš, ako i ne zna Avram za nas, i Izrailj nas ne poznaje; ti si, Gospode, otac naš, ime ti je otkako je vijeka izbavitelj naš.
Maana wewe n baba yetu, Japokuwa Ibrahimu hatujui sisi, na Israeli haitutambui sisi, wewe, Yahwe, wewe ni baba yetu. Mkombozi wetu limekuwa jina lako kutoka nyakati za kale.
17 Zašto si nam dao da zaðemo, Gospode, s putova tvojih? da nam otvrdne srce da te se ne bojimo? Vrati se radi sluga svojih, radi plemena našljedstva svojega.
Yahwe, kwa nini unatufanya tangetange na kuifanya mioyo yetu kuwa migumu, hivyo hatukukuheshimu wewe? Rudi kwa niaba ya watumishi wako, kabila la urithi wako.
18 Za malo naslijedi narod svetosti tvoje; neprijatelji naši pogaziše svetinju tvoju.
Watu wako walirithi mahali patakatifu kwa mda mfupi, halafu maadui zetu waliwakanyaga.
19 Postasmo kao oni kojima nijesi nigda vladao niti je prizivano ime tvoje nad njima.
Tumekuwa kama juu ya wale ambao hawajawai kuongoza, kama wale ambao hawajaitwa kwa jina lako.