< Isaija 27 >
1 Tada æe Gospod pokarati maèem svojim ljutijem i velikim i jakim levijatana, prugu zmiju, i levijatana, krivuljastu zmiju, i ubiæe zmaja koji je u moru.
Katika siku hiyo Yahwe kwa upanga wake ulio mgumu, mkubwa na mkali, atamadhibu Leviathani na nyoka yule anayetambaa kwa kupenya, na atamuua mnyama anayeishi baharini.
2 Tada pjevajte o vinogradu koji raða crvenijem vinom:
Siku hiyo: Shamba la zabibu, litawaimbia.
3 Ja Gospod èuvam ga, u svako doba zaljevaæu ga; dan noæ èuvaæu ga da ga ko ne ošteti.
''Mimi Yahwe ni mlinzi wake; Ninalimwagia maji kila wakati; hivyo hakuna anayelimiza, Ninalilinda usiku na mchana.
4 Nema gnjeva u mene; ko æe staviti u boj nasuprot meni èkalj i trnje? ja æu pogaziti i spaliti sve.
Sina hasira, Oh, kama mbigiri na miiba! Katika vita nitatembea dhidi yao; Nitawachoma wote kwa pamoja;
5 Ili neka se uhvati za silu moju da uèini mir sa mnom; uèiniæe mir sa mnom.
labda wafahamu ulinzi wangu na wafanye amani na mimi, waache wafanye amani na mimi.
6 Jednom æe se ukorijeniti Jakov, procvjetaæe i uzrasti Izrailj, i napuniæe vasiljenu plodom.
Kwa siku inayokuja, Yakobo atachukua mzizi; Israeli itatoa maua na kuchipua; na itaijaza aridhi yote kwa matunda.''
7 Je li ga udario onako kako je udario one koji njega udaraše? je li ga ubio onako kako su ubijeni oni koje je ubio?
Je Yahwe alimshambulia Yakobo na Israeli na hayo mataifa yaliyomshambulia? Je Yakobo na Israeli waliuliwa na wao kama mliowachinja katika mataifa mliowauwa wao?
8 S mjerom ga je karao, kad ga je odbacio, kad ga je odnio silnijem vjetrom svojim istoènijem.
Kitika kipimo halisi cha kuridhisha, watume Yakobo na Israeli mbali; aliwaondosha mbali kwa upepo mkali, katika siku ya upepo wa mashariki.
9 Zato æe se tijem oèistiti bezakonje Jakovljevo i to æe biti sva korist što æe se uzeti grijeh njegov kad sve kamenje oltarno razmetne kao razdrobljeno kreèno kamenje i ne bude više gajeva ni sunèanijeh likova,
Hivyo kwa njia hii, maovu ya Yakobo yatalipiwa, maana hii itakuwa matunda yote yakuomdolewa dhambi zake: pale atakapofanya mathebau ya mawe kama chokaa na kuviangamiza katika vipande vipande, na hakuna nguzo za Ashera au madhebau itakayoachwa imesimama.
10 Jer æe tvrdi grad opustjeti i biæe stan ostavljen i zanemaren kao pustinja; ondje æe pasti tele i ondje æe lijegati, i poješæe mu grane.
Maana mji imara umeharibiwa, makao yake na faragha yake yameachwa kama jangwa. Kuna ndama wanachungwa, na huko ndiko atakapo lala na kuyala matawi yake.
11 Kad se posuše grane, polomiæe se; žene æe dolaziti i ložiti ih na oganj. Jer je narod nerazuman; zato ga neæe žaliti koji ga je stvorio, i koji ga je sazdao neæe se smilovati na nj.
Matawi yake yatakaponyauka yatanguka. Wanawake watakuja na kuyatumia kutengeneza moto, maana hawa sio watu waelewa. Hivyo basi Muumba wao hatakuwa na huruma juu yao, na yeye aliyewaumba atakuwa na huruma juu yao.
12 U to æe vrijeme Gospod ovijati od obale rijeke do potoka Misirskoga, a vi, sinovi Izrailjevi, sabraæete se jedan po jedan.
Na siku hiyo itakuwa kwamba Yahwe atapururua kutoka mto Efrate mpaka Wadi ya Misri na njie, watu wa Israeli, tutakusanyika mahali pamoja mmoja mmoja.
13 I tada æe se zatrubiti u veliku trubu, i koji se bjehu izgubili u zemlji Asirskoj i koji bijahu zagnani u zemlju Misirsku, doæi æe i klanjaæe se Gospodu na svetoj gori u Jerusalimu.
Siku hiyo tarumbeta kubwa litapulizwa; na watu waliopotea katika nchi ya Asiria watakuja, na waliotupwa katika nchi ya Misri, watamuabudu Yahwe katika mlima mtakatifu huko Yerusalemu.