< Isaija 17 >
1 Breme Damasku. Gle, Damasak æe se ukinuti da ne bude više grad, nego æe biti gomila razvalina.
Tamko kuhusu Damaskasi.
2 Gradovi Aroirski biæe ostavljeni, biæe za stada, te æe u njima poèivati, i niko ih neæe plašiti.
Miji ya Aroera itaharibiwa. Patakuwa na nafasi kwa ajili ya kutunzia mifugo, na hakuna hatakayeizuia.
3 Nestaæe gradova Jefremovijeh i carstva u Damasku i ostatku Sirskom, biæe kao slava sinova Izrailjevijeh, veli Gospod nad vojskama.
Miji ilioachwa itatoweka kutoka Efraimu, ufalme katuka Damskasi, na walobaki Aramu-watakuwa kama utukufu wa watu wa Israeli-Hili ni tamko la Yahwe wa majeshi.
4 I u taj æe dan istanèati slava Jakovljeva, i debelo tijelo njegovo omršaæe.
Itakuwa siku hiyo utukufu wa Yakobo utapungua, utakuwa mwembamba na kunona kwa mwili wake utapungua.
5 Jer æe biti kao kad žetelac sabira žito i rukom žanje klasje, i biæe kao kad se kupi klasje u dolini Rafajskoj.
Itakuwa kama mvuna ikusanyavyo mavuno, na mkono wake huvuna maganda ya mazao. Itakuwa kama mtu atoae maganda ya mavuno katika bonde la Refaimu.
6 Ali æe se ostaviti u njoj pabirci kao kad se otrese maslina, pa dvije tri ostanu u vrhu, i èetiri pet na rodnijem granama, veli Gospod Bog Izrailjev.
Masalia yataachwa, hata hivyo, mti wa mzabibu utatingishwa: Mizeituni miwili au mitatu iliyo juu sana matawi yake yako juu, manne au matano katka tawi la juu katika mti unaozaa-hili ni tamko la Yahwe, Mungu wa Israeli.
7 U to æe vrijeme èovjek pogledati na tvorca svojega, i oèi njegove gledaæe na sveca Izrailjeva;
Siku hiyo watu watawangalia Muumba wake, na macho yatamuangalia Mtakatifu wa Israeli.
8 A neæe pogledati na oltare, djelo ruku svojih, niti æe gledati na ono što su naèinili prsti njegovi, ni na lugove ni na likove sunèane.
Hawatangalia madhabahu, kazi za mikono yao, wala hataangalia kile kinachofanywa na vidole vyao, nguzo za Ashera na picha ya jua.
9 U to æe vrijeme tvrdi gradovi njegovi biti kao ostavljen grm i ogranak, jer æe se ostaviti radi sinova Izrailjevijeh, i biæe pustoš.
Siku hiyo miji yenye nguvu itakuwa kama msitu uliotelekezwa na juu ya kilele cha mlima, na palipo achwa kwa sababu ya wana wa Israeli patakuwa ukiwa.
10 Jer si zaboravio Boga spasenja svojega, i nijesi se sjeæao stijene sile svoje; zato sadi krasne sadove i lozu stranu presaðuj;
Maana mmemsahau Mungu wa wakovu wenu, na umeudharau mwamba wa nguvu zako. Hivyo basi umeotesha miti mizuri, na mizabibu mizuri iliyotoka ugenini,
11 Danju radi da uzraste što posadiš, i jutrom gledaj da ti sjeme nikne; ali kad doðe do branja razgrabiæe se, i ostaæe ti ljuta žalost.
Siku hiyo uliootesha na fensi na kulima. Mbegu zako zitaota mapema na kukua, lakini mavuno yatashindikana siku hiyo itakuwa huzuni na kukata tamaa.
12 Teško mnoštvu velikih naroda, što buèe kao što buèe mora, i uzavrelijem narodima, kojih stoji vreva kao silnijeh voda;
Ole! Watu wenye ghasia, Kishindo chake ni kama mngurumo wa bahari, na kasi ya mataifa, wananguruma kama ngurumo ya maji mengi!
13 Vreva stoji naroda kao velikih voda; ali æe povikati na njih, i oni æe pobjeæi daleko, i biæe gonjeni kao pljeva po brdima od vjetra i kao prah od vihora.
Mataifa yataunguruma kama maji mengi yaendao kasi, lakini Mungu atawakemea.
14 Uveèe eto straha, i prije nego svane nema nikoga. To je dio onijeh koji nas gaze, i našljedstvo onijeh koji otimlju od nas.
Watakimbia mbali sana na watafukuzwa kama pumba kwenye mlima mbele ya upepo, kama mavumbi yazungukayo kwenye dhoruba. Wakati wa usiku, ona, hofu! Na kabla ya alfajiri watakwenda; hili ndilo eneo la wale waliotupora, na wale wanaotunyang'anya mali zetu.