< Isaija 13 >
1 Breme Vavilonu, koje vidje Isaija sin Amosov.
Tamko kuhusu Babeli, ambalo Isaya mtoto wa Amozi alipokea:
2 Na gori visokoj podignite zastavu, vièite im iza glasa, mašite rukom, neka uðu na vrata kneževska.
Kwenye mlima wa wazi imewekwa bendera ya ishara, lia kwa sauti kwao, wapungie mikono waende kwenye lango la wenye vyeo.
3 Ja sam zapovjedio izabranima svojim i dozvao sam junake svoje da izvrše gnjev moj koji se raduju s velièine moje.
Nimewamuru watakatifu wangu, ndio, nimewaita watu wangu wenye nguvu kutekeleza asira yangu, na hata watu wangu wanojigmba na kujiinua wenyewe.
4 Vika stoji ljudstva na gorama kao da je velik narod, vika i vreva carstva skupljenijeh naroda; Gospod nad vojskama pregleda vojsku ubojitu.
Kelele za umati wa watu kwenye milima, za watu wengi! Kelele za ghasiaza ufalme kama mataifa mengi yamekusanyika pamoja! Yahwe wa majeshi anapanga jeshi kwa vita.
5 Dolaze iz daljne zemlje, s kraja nebesa, Gospod i oruða srdnje njegove, da zatre svu zemlju.
Wametoka katika nchi ya mbali, kutoka juu ya upeo wa macho. Ni Yahwe na silaha zake za hukumu, kuhiharibu nchi yetu.
6 Ridajte, jer je blizu dan Gospodnji; doæi æe kao pustoš od svemoguæega.
Omboleza maana siku ya Yahwe imekaribia; itakuja na uharibifu kutoka kwa Mwenyenzi.
7 Zato æe svaka ruka klonuti, i svako srce èovjeèije rastopiti se.
Hivyo basi mikono ining'inizwe kama kiwete, na kila moyo ulioyeyuka.
8 I oni æe se smesti, muke i bolovi spopašæe ih, muèiæe se kao porodilja, prepašæe se jedan od drugoga, lica æe im biti kao plamen.
Itawatisha; maumivu na uchungu atawapa wao, kama mwanamke ambaye anajifungua. Watangalia kwa kushangaa kwa kila mmoja mmoja; nyuso zao zitakuwa kama moto.
9 Evo, ide dan Gospodnji ljuti s gnjevom i jarošæu da obrati zemlju u pustoš, i grješnike da istrijebi iz nje.
Tazama, siku za Yahwe zinakuja na laana kali wingi wa hasira, kuifanya nchi yenye ukiwa na kuharibu wenye dhambi katika nchi.
10 Jer zvijezde nebeske i prilike nebeske neæe pustiti svjetlosti svoje, sunce æe pomrèati o roðaju svom, i mjesec neæe pustiti svjetlosti svoje.
Nyota ya mbinguni na matangamano havitatoa nuru yake. Jua litakuwa giza na hata mwenzi hautaangaza.
11 I pohodiæu vasiljenu za zloæu, i bezbožnike za bezakonje; i ukinuæu razmetanje oholijeh, i ponos silnijeh oboriæu.
Nitaihadhibu nchi kwa maovu yake na makosa ya uovu wao. Nitamaliza kiburi cha majivuno na nitawashusha wenye kiburi wasiwe makali.
12 Uèiniæu da æe èovjek više vrijediti nego zlato èisto, više nego zlato Ofirsko.
Nitawafanya watu kuwa nadra zaidi ya dhahabu nzuri na watu kuwa vigumu kupatikana zaidi ya dhahabu safi ya Ofiri.
13 Zato æu zatresti nebo, i zemlja æe se pokrenuti sa svoga mjesta od jarosti Gospoda nad vojskama i u dan kad se raspali gnjev njegov.
Hivyo basi nitazifanya mbingu kutingishika, na dunia itayumba kutoka sehemu iliyoko, Kwa hasira ya Yahwe wa majeshi, na siku ya hasira yake.
14 I biæe kao srna poplašena i kao stado kojega niko ne sabira; svak æe gledati za svojim narodom, i svak æe bježati u svoju zemlju.
Kama Paa anayewindwa au kama kondoo wasio na mchungaji, kila mtu atageukia watu wake na kukimbia kwenye nchi yake.
15 Ko se god naðe, biæe proboden, i koji se god skupe, poginuæe od maèa.
Kwa yeyote atakayeonekana atauliwa, na yeyote atakayekamatwa atauliwa kwa upanga.
16 I djecu æe im razmrskati na njihove oèi, kuæe æe im oplijeniti i žene æe im sramotiti.
Watoto wao watakatwa vipandevipande mbele ya macho yao. Nyumba zao zitavamiwa na wake zao watabakwa.
17 Evo, ja æu podignuti na njih Mide, koji neæe mariti za srebro, niti æe zlata iskati.
Tazama, ninakaribia kuwakoroga Wamede ili wawavamie wao, ambao hawaoni maana ya fedha wala furaha ya dhahabu.
18 Nego æe iz lukova djecu ubijati, ni na plod u utrobi neæe se smilovati, niti æe djece žaliti oko njihovo.
Mishale yao itawachoma vijana wadogo. Hakutakuwa na shimo kwa watoto wao na hawatawacha watoto wao.
19 I Vavilon, ures carstvima i dika slavi Haldejskoj, biæe kao Sodom i Gomor kad ih Bog zatr.
Na Babali ufalme unaovutia zaidi, fahari ya mapambo ya wakaldyo, itaangamizwa na Mungu kama Sodoma na Gomora.
20 Neæe se u njemu živjeti niti æe se ko naseliti od koljena do koljena, niti æe Arapin razapeti u njemu šatora, niti æe pastiri poèivati onuda.
Hapatakuwa na wenyeji wala wakazi kutoka kizazi kimoja hadi kizazi kingine. Mwarabu atapiga hema lake uko wala wachungaji hawatalaza mifugo yao pale.
21 Nego æe poèivati ondje divlje zvijeri, i kuæe æe njihove biti pune velikih zmija, i ondje æe nastavati sove, i aveti æe skakati onuda.
Lakini wanyama pori wa jangwani watalala pale. Nyumba zao zitajaa bundi; na mbuni watakaa huko na mbuzi pori wataruka pale.
22 I dovikivaæe se buljine u pustijem kuæama i zmajevi u dvorima veselijem. A doæi æe njegovo vrijeme, i blizu je, i dani njegovi neæe se protegnuti.
Fisi watalia kwenye ngome yao, na mbeha katika maeneo yao mazuri. Mda wao umekaribia, na siku zao hazitachelewa.