< Osija 3 >

1 Potom reèe mi Gospod: idi opet, ljubi ženu koju ljubi ljubavnik a ona èini preljubu, kao što Gospod ljubi sinove Izrailjeve a oni gledaju za tuðim bogovima i ljube žbanove vinske.
Bwana akaniambia, “Nenda, ukaonyeshe upendo wako kwa mke wako tena, ingawa amependwa na mwingine naye ni mzinzi. Mpende kama Bwana apendavyo Waisraeli, ingawa wanageukia miungu mingine na kupenda mikate mitamu ya zabibu kavu iliyowekwa wakfu.”
2 I kupih je za petnaest sikala srebra i gomor i po jeèma.
Basi nilimnunua huyo mwanamke kwa shekeli kumi na tano za fedha, pia kwa kiasi kama cha homeri moja na nusu ya shayiri.
3 I rekoh joj: sjedi kod mene dugo vremena, i ne kurvaj se, i ne budi drugoga; tako æu i ja biti tvoj.
Kisha nilimwambia, “Utaishi nami kwa siku nyingi, hupaswi kuwa kahaba au kuwa na uhusiano wa karibu na mtu yeyote, nami nitaishi na wewe.”
4 Jer æe dugo vremena sinovi Izrailjevi sjedjeti bez cara i bez kneza i bez žrtve i bez stupa i bez opleæka i likova.
Kwa maana Waisraeli wataishi siku nyingi bila kuwa na mfalme wala mkuu, bila kuwa na dhabihu wala mawe matakatifu, bila kisibau wala sanamu.
5 Poslije æe se obratiti i tražiæe Gospoda Boga svojega i Davida cara svojega, i u strahu æe pristupiti ka Gospodu i blagosti njegovoj u pošljednja vremena.
Baadaye Waisraeli watarudi na kumtafuta Bwana Mungu wao na Daudi mfalme wao. Watakuja wakitetemeka kwa Bwana na kwa baraka zake katika siku za mwisho.

< Osija 3 >