< Jezekilj 4 >

1 A ti, sine èovjeèji, uzmi opeku i metni je preda se, i izreži na njoj grad Jerusalim.
“Lakini wewe, mwana wa adamu, chukua tofali wewe mwenyewe na uliweke mbele yako. Kisha chonga mji wa Yerusalemu juu yake.
2 I postavi oko njega opsadu, i naèini kule prema njemu, i iskopaj oko njega opkop, i postavi vojsku oko njega, i namjesti ubojne sprave oko njega.
Kisha laza kuizunguka, ngome juu yake. Anza kushambulia juu yake na weka makambi kuizunguka. Weka shambulio la ghasia kuizunguka.
3 Potom uzmi tavicu gvozdenu, i metni je kao gvozden zid izmeðu sebe i grada, i okreni lice svoje suprot njemu, i on æe se opsjesti, i ti æeš ga opsjesti. To æe biti znak domu Izrailjevu.
Kisha chukua kwa ajili yako mwenyewe sufuria ya chuma na itumie kama ukuta wa chuma kati yako mwenyewe na mji na weka uso wako dhidi yake. Kwa kuwa utazingirwa, na utaweka ukombozi juu yake. Hii itakuwa alama kwa nyumba ya Israeli.
4 Potom lezi na lijevu stranu svoju, i metni na nju bezakonje doma Izrailjeva; koliko dana uzležiš na njoj, toliko æeš nositi njihovo bezakonje.
Kisha, lala juu upande wako wa kushoto na weka dhambi ya nyumba ya Israeli juu yake; utazibeba dhambi zao kwa hesabu za siku ambazo ulizolala juu ya nyumba ya Israeli.
5 A ja ti dajem godine bezakonja njihova brojem dana, trista i devedeset dana, i toliko æeš nositi bezakonje doma Izrailjeva.
Mimi mwenyewe nakuagiza kwako siku moja kuwakilisha kila mwaka wa adhabu yao: siku 390! Katika njia hii, utachukua dhambi ya nyumba ya Israeli.
6 A kad ih navršiš, onda lezi na desnu stranu svoju, i nosi bezakonje doma Judina èetrdeset dana; po jedan dan dajem ti za godinu.
Wakati utakapomaliza hizi siku, kisha lala chini kwa mara ya pili kwa upande wako wa kulia, kwa kuwa utabeba dhambi ya nyumba ya Yuda kwa siku arobaini. Nakuteua wewe siku moja kwa kila mwaka.
7 I okreni lice svoje prema opkoljenom Jerusalimu zagalivši mišicu svoju, i prorokuj protiv njega.
Weka uso wako chini kuelekea Yerusalemu ambayo ni chini ya ngome, na kwa mkono wako funua unabii dhidi
8 I evo vezaæu te uzicama da se ne prevrneš s jedne strane na drugu dokle ne navršiš dane opsade svoje.
yake. Tazama! naweka vifungo juu yako hivyo hutarudi kutoka upande mmoja kwenda upande mwingine hadi utakapoliza siku zako za kuzingirwa kwako.
9 I uzmi pšenice i jeèma i boba i leæa i prosa i krupnika, i saspi sve u jedan sud, i naèini od toga sebi hljeba prema broju dana u koje æeš ležati na svojoj strani, tri stotine i devedeset dana ješæeš ga.
Chukua ngano kwa ajili yako, shayiri, dengu, mtama, kusemethi; viweke kwenye chombo kimoja na tengeneza mkate kwa ajili yako kulingana na hesabu ya siku ambazo utakazo lala katika ya upande wako. Kwa siku 390 utaula.
10 I jela tvojega što æeš jesti neka bude mjerom dvadeset sikala na dan; na rokove jedi ga.
Chakula utakachokula kitapimwa, shekeli ishirini kwa siku, na utakila kwa mda uliopangwa kila siku.
11 I vodu pij mjerom, po šestinu ina, pij na rokove.
Kisha utakunywa maji, kwa kuyapima sehemu ya sita ya hini, na utayanywa kwa mda uliopangwa.
12 A hljeb prijesan jeèmen jedi, ispekav ga na kalu èovjeèijem na njihove oèi.
Utakila kama keki za shayiri, lakini utaioka kwenye kinyesi kikavu cha mwanadamu mbele ya macho yao!”
13 I reèe Gospod: tako æe jesti sinovi Izrailjevi hljeb svoj neèist meðu narodima u koje æu ih razagnati.
Kwa kuwa Yahwe asema, “Hii inamaana kwamba ule mkate ambao watu wa Israeli watakula kitakuwa kinajisi, huko miongoni mwa mataifa ambapo nitakaowafukuza.”
14 Tada rekoh: ah Gospode Gospode, gle, duša se moja nije oskvrnila, jer od djetinjstva svojega do sada nijesam jeo mrcinoga ni što bi zvjerka razdrla, niti je ušlo u usta moja meso neèisto.
Lakini nikasema, “Ee, Bwana Yahwe! Sijawahi kuwa najisi! sijawahi kula kitu chochote ambacho kimekufa au kitu chochote kilichouawa na wanyama, kutoka mdomoni mwangu hadi sasa, wala nyama ya kunuka haijawahi kuingia kinywani mwangu!”
15 A on mi reèe: vidi, dajem ti goveðu balegu mjesto èovjeèijega kala, da na njoj ispeèeš sebi hljeb.
Ndivyo alivvyo niambia, “Tazama! Nimekupa mbolea ya ng'ombe badala ya kinyesi cha mwanadamu ili uweze kuandaa mkate wako juu ya hayo.”
16 Zatijem reèe mi: sine èovjeèji, evo ja æu slomiti potporu u hljebu u Jerusalimu, te æe jesti hljeb na mjeru i u brizi, i vodu æe piti na mjeru i u èudu.
Pia akanambia, “Mwana wa adamu! Tazama! Nalivunja gongo la mkate katika Yerusalemu, na watakula mkate ukiwa umepimwa katika wasiwasi na kunywa maji kwa kuyapima katika hofu.
17 Jer æe im nestati hljeba i vode da æe se èuditi meðu sobom i sasušiæe se od bezakonja svojega.
Kwa sabau watapungukiwa na mkate na maji, kila mtu atafadhaishwa na ndugu yake na kumpoteza kwa sababu ya udhalimu wao.”

< Jezekilj 4 >