< Jezekilj 35 >

1 Opet mi doðe rijeè Gospodnja govoreæi:
Neno la Bwana likanijia kusema:
2 Sine èovjeèji, okreni lice svoje prema gori Siru i prorokuj protiv nje.
“Mwanadamu, elekeza uso wako juu ya mlima Seiri, utabiri dhidi yake
3 I reci: ovako veli Gospod Gospod: evo me na tebe, goro Sire! i dignuæu ruku svoju na te, i opustiæu te sasvijem.
na useme: ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Mimi ni kinyume nawe, ee mlima Seiri, nami nitanyoosha mkono wangu dhidi yako na kukufanya ukiwa na usiyekaliwa na watu wala kulimika.
4 Gradove æu tvoje opustiti, i ti æeš biti pustoš, i poznaæeš da sam ja Gospod.
Nitaifanya miji yako kuwa magofu nawe utakuwa ukiwa. Ndipo utakapojua kuwa Mimi ndimi Bwana.
5 Što je u tebe vjeèno neprijateljstvo, i rasipaš sinove Izrailjeve maèem u nevolji njihovoj, kad je kraj bezakonju njihovu,
“‘Kwa sababu ulificha moyoni uadui wa siku nyingi nawe ukawatoa Waisraeli wauawe kwa upanga wakati wa maafa yao, wakati adhabu yake ilipofikia kilele chake,
6 Zato, tako ja bio živ, govori Gospod Gospod, krvi æu te predati i krv æe te goniti, jer ne mrziš na krv, krv æe te goniti.
kwa hiyo hakika kama niishivyo, asema Bwana Mwenyezi, nitakutia katika umwagaji damu nao utakufuatia. Kwa kuwa hakuchukia kumwaga damu, kumwaga damu kutakufuatia.
7 I obratiæu goru Sir sasvijem u pustoš, da niko neæe dolaziti ni odlaziti.
Nitaufanya Mlima Seiri ukiwa na usiokaliwa na watu wala kulimika na kuukatilia mbali na wote wanaokuja na wanaokwenda.
8 I napuniæu gore njezine pobijenijeh njezinijeh; na humovima tvojim i u dolinama tvojim i po svijem potocima tvojim padaæe pobijeni od maèa.
Nitaijaza milima yenu kwa watu wake waliouawa, wale waliouawa kwa upanga wataanguka juu ya vilima vyako na katika mabonde yako na katika makorongo yako yote.
9 Vjeènu pustinju naèiniæu od tebe i gradovi se tvoji neæe opraviti, i poznaæete da sam ja Gospod.
Nitakufanya ukiwa milele, watu hawataishi katika miji yako. Ndipo utakapojua kuwa Mimi ndimi Bwana.
10 Što govoriš: ova dva naroda i ove dvije zemlje moje æe biti, i naslijediæemo ih, ako i jest Gospod bio ondje,
“‘Kwa sababu umesema, “Mataifa haya mawili na nchi hizi zitakuwa zetu nasi tutazimiliki,” ingawa hata mimi Bwana nilikuwa huko,
11 Zato, tako ja živ bio, govori Gospod Gospod, uèiniæu po gnjevu tvom i po zavisti tvojoj, s kojom si postupala iz mržnje prema njima, i biæu poznat meðu njima kad ti sudim.
kwa hiyo hakika kama niishivyo, asema Bwana Mwenyezi, nitakutenda kwa kadiri ya hasira na wivu uliouonyesha katika chuki yako juu yao nami nitafanya nijulikane miongoni mwao wakati nitakapokuhukumu.
12 I poznaæeš da sam ja Gospod èuo sve tvoje hule koje si govorila na gore Izrailjeve rekavši: opustješe, nama su dane da ih jedemo.
Ndipo utakapojua kuwa Mimi Bwana nimesikia mambo yote ya dharau uliyosema dhidi ya milima ya Israeli. Ulisema, “Wamefanyika ukiwa na kutiwa mikononi mwetu tuwararue.”
13 I velièaste se suprot meni ustima svojim, i množiste na me rijeèi svoje; èuo sam.
Ulijigamba dhidi yangu na kusema maneno dhidi yangu bila kujizuia, nami nikayasikia.
14 Ovako veli Gospod Gospod: kad se sva zemlja stane veseliti, tebe æu opustiti.
Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Wakati dunia yote inashangilia nitakufanya ukiwa.
15 Kako si se ti veselila našljedstvu doma Izrailjeva što opustje, tako æu i tebi uèiniti: opustjeæeš, goro Sire, i sva zemljo Edomska; i poznaæe se da sam ja Gospod.
Kwa sababu ulishangilia wakati urithi wa nyumba ya Israeli ulipofanyika ukiwa, hivyo ndivyo nitakavyokutendea. Utakuwa ukiwa, ee mlima Seiri, wewe na Edomu yote. Kisha ndipo watajua kuwa Mimi ndimi Bwana.’”

< Jezekilj 35 >